Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,808
- 110,047
Hivi katiba inasemaje juu ya mambo haya Rais wa bara kuhamia zanzibar?
Hayo ni mambo ya CCM wanaweza kukutana popote...
Hivi katiba inasemaje juu ya mambo haya Rais wa bara kuhamia zanzibar?
Usicheze na onyo la Col. Augustine Polepole. Kila akikumbuka Magogoni na Chamwino anaziona ni shimo la kuzimu.Huku bara pameshakuwa pa moto naona ana Amani zaidi akiwa nchini kwao
WauajiMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Zanzibar tarehe 25 Januari, 2026.
Kwenye sifa za kihabari, hii sio habari bali ni uchawa tuu wa kumfanyia uchawa PM!.DKT. MWIGULU ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Zanzibar leo tarehe 25 Januari, 2026.
Kikao hicho kimeongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Taifa, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Maajabu haya, au hii ID imedukuliwa leo??Kwenye sifa za kihabari, hii sio habari bali ni uchawa tuu wa kumfanyia uchawa PM!.
P
nywinywi imegeuka na kuishi kama digidigiMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Zanzibar tarehe 25 Januari, 2026.
Nchimbi yupo kwa wapi? Simuoni.
Mchunga Ngombe alivyohamishia Ikulu Chatoo ilikuwa sawa tu ila mama kukaa Tunguu, Zanzibar tayari NongwaHivi katiba inasemaje juu ya mambo haya Rais wa bara kuhamia zanzibar?
Weka post watu wakisifia ule use@nge wa dhalimu magu kufanyia mambo ya nchi chattle.Mchunga Ngombe alivyohamishia Ikulu Chatoo ilikuwa sawa tu ila mama kukaa Tunguu, Zanzibar tayari Nongwa
Nyie Vipi aisee!
Huyu ndie pasco ninaye mfahamu juzi na jana na sio Pascal Mayalla wa leo hii.Kwenye sifa za kihabari, hii sio habari bali ni uchawa tuu wa kumfanyia uchawa PM!.
News ingekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt Samia Suluhu Hassan leo ameendesha kikao cha Kamati kuu Zanzibar, na miongoni mwa waliohudhuria ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu, na wajumbe wengine!.
Huwezi kufanya PM awe lead story wakati kuna watu yeye ni mtu wa 6 kwa seniority kwenye kikao hicho!
Haya ya kumfanyia mtu uchawa kutaka kumpandisha hadi kumu outshine boss wake, mtakuja kumponza bure hilo kasha lenu mwishowe 2030 akaishia kuisikia tuu kwenye bomba!.
Kuna mtu alitumbuliwa kwa kosa tuu la kupiga picha na mtu fulani, huku boss wake hajawahi kupiga picha kama hiyo!, mtu akanuna, akampiga chini!.
Sipingi uchawa ndio ajira mpya ya vijana ila fanyeni basi uchawa kwa akili, unamsifu na kumkuza mdogo huku bosi wake yupo unamdogosha!
Kama ndio hivi si mwaka 2030 majabali yote nchini yaandikwa jina...!.
P
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Zanzibar tarehe 25 Januari, 2026.
Sidhani kama hii ndio sababu pekee ya kutumbuliwa.Kuna mtu alitumbuliwa kwa kosa tuu la kupiga picha na mtu fulani, huku boss wake hajawahi kupiga picha kama hiyo!, mtu akanuna, akampiga chini!.
Bado amebanwa kwenye kona asubilie kombora moja tu lenye nguvu atakuwa chaliMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Zanzibar tarehe 25 Januari, 2026.