Kama wewe ni Mungu, basi sawa.Tena ni mihula miwili kupitia uchaguzi Mkuu.
Case closed Samia for Presidential 2025-2035.(10 years).
Kama wewe ni Mungu, basi sawa.Tena ni mihula miwili kupitia uchaguzi Mkuu.
Case closed Samia for Presidential 2025-2035.(10 years).
Kulikuwa na uharaka gani kutoa tamko kama hilo mapema hivyo, hiyo sio dalili njema kwake ya namna ya kuanza kazi......Kwani sio ndio utaratibu rasmi huo? Kwani kuna nini mpaka aseme hivyo?
Akiambiwa atakuwa waziri atabadilika.mimi nawaamini HAMAS tuHuo ni msimamo au uduwanzi? Simamia katiba na kanuni za CCM
Waafrika huwa wanaunda katiba halafu wanaiacha wanafuata utamaduni...
Tuneshakubaliana Fomu ya Urais ni moja tu kwa ajili ya Rais Samia tu.
Kwahiyo mgombea huko ccm anapatikana kwa msimamo wa katibu mkuu na sio katiba Yao?!Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa
Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi
Mungu mbariki Dr Nchimbi
Ni ndoto za mchana hizo hataiona 2026Kwahiyo mama tunae hadi 2030!🙄🙉
Hata mimi nilikuwa naelewa hivyo. Mchakato ufanyike kumpata mgombea. Ndio demokrasia yenyewe.Ninavyoelewa mimi vipindi viwili vya Samia havijaanza.
Anamalizia ngwe ya JPM, Halafu aanze vipindi vyake, hivyo basi 2025 ni kapu la wote, halina mwenyewe,Sandakalawe mwenye kupata na apate.
Ni kama Mbowe alivyomleta LowasaKwahiyo mgombea huko ccm anapatikana kwa msimamo wa katibu mkuu na sio katiba Yao?!
Ule ujinga wa Mbowe hautakaa urudiwe tena, mfano mgombea wa 2020 alipatikana kwa kura halali za wajumbe, japo Mbowe alimtaka Nyalandu.Ni kama Mbowe alivyomleta Lowasa
Kawaida Sana
TISS wakiwa wapi?Inaonekana ndani ya Ccm kuna upinzani mkubwa dhidi ya Dr Samia kuzidi ule wa Membe dhidi ya Magufuli.
Yaani kila move anayochukua Mwenyekiti wa CCM Taifa inalenga ku secure kiti chake.
This time wanamkimbiza Mwizi kimya kimya.
Anaweza kuwa anamaanisha nini mkuu?Tumia akili wewe, there is more than that.
Hii ni kauli tata, hasa kwa Katibu aliyeingia madarakani jana tu.
Boss wao Uhuru kwa namna gani mkuuuzuri wa maisha mambo hujirudia, mlango walioingilia ndio watakao tokea, 2025 tuna raisi mwingine imeshapangwa hivyo na aliyewaweka hapo na ndiye atakayewatoa kama ni wabishi wakamuulize bosi wao uhuru kenyata na raila odinga …
2021-2025,anamalizia ngwe ya Hayati tu, na si rais wa kuchaguliwa na wananchi, 2025-2030, sasa hapa anachaguliwa na watanzania kwa awamu ya kwanza, 2030-2035, hapa ndipo anamalizia vipindi vyake viwili.Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa
Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi
Mungu mbariki Dr Nchimbi