Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 737
- 476
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameongoza Matembezi ya kuhamasisha mazoezi ili kulinda afya ya moyo katika kampeni maalumu ya kuzuia magonjwa yasiyoambukiza, pia amefunga kambi ya uchunguzi na tiba ya magonjwa ya moyo yenye kauli mbiu: Tembea na Wizara ya afya na JKCI linda afya ya moyo wako yaliyoandaliwa na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Leo Jumamosi, 28 Januari 2023, Uwanja wa Amaan.View attachment 2497966View attachment 2497968View attachment 2497967View attachment 2497971View attachment 2497969View attachment 2497970