Dkt. Mwakyembe: Tumefungulia soka pekee michezo mingine itasubiri baadaye

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,874
Waziri wa michezo Dkt. Mwakyembe amesema wamefungulia mchezo wa soka kwanza ili ligi zikamilike ila michezo mingine itasubiri kidogo.

Chanzo: Channel ten!
 
Hata Seoul wamefungua ila watazamaji sasa
Wameweka midoli maana uwanjani hakuna watu kabisa
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Wataje basi na tarehe ya kuanza ligi kuu ili wadau wenye kumbi wajipange ki-corona! Pia utaratibu wa timu zote kucheza bila mashabiki hauna tija, mfano ukienda kule viwanja vya mikoani utaona uwanja una capacity ya kubeba mashabiki zaid ya 60,000 lakini wanaoingia hata 6,000 hawafiki! Sasa hawa nao muwazuie wa nini? Si kiasi tu cha kuweka utaratibu wa kuwapanga wakae katika namna ya mtawanyiko?....Kwa hili la mashabiki tusiige tu wenzet wa Ulaya bali tujiangalie katika utamaduni wetu, kiukweli wapenzi wa soka hasa mikoani bado ni wachache!
 
Wataje basi na tarehe ya kuanza ligi kuu ili wadau wenye kumbi wajipange ki-corona! Pia utaratibu wa timu zote kucheza bila mashabiki hauna tija, mfano ukienda kule viwanja vya mikoani utaona uwanja una capacity ya kubeba mashabiki zaid ya 60,000 lakini wanaoingia hata 6,000 hawafiki! Sasa hawa nao muwazuie wa nini? Si kiasi tu cha kuweka utaratibu wa kuwapanga wakae katika namna ya mtawanyiko?....Kwa hili la mashabiki tusiige tu wenzet wa Ulaya bali tujiangalie katika utamaduni wetu, kiukweli wapenzi wa soka hasa mikoani bado ni wachache!
Kama unasubiri ligi ianze ili mabanda umiza muonyeshe mpira hiyo imekula kwenu. Mikusanyiko hairuhisiwi maana ni ngumu kuthibiti idadi ya watu vibandani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom