Na aulete huo ushahidi maana kwa wanavyomshambulia back to backUjinga tu, sasa Mwaka aje na ushahidi... hapo Ngoma imeisha,
Muulize huyo aseme vizuriWalikutapeli nini?
Pole sana mkuu walikutapeli nini ? Wana jukwaa tupate kufahamu na kujikingaHao wote na shehe wa mkoa ni matapeli zaidi ya shwetani
Kumbe ni ugomvi wa ndugu, hayà tubebe majembe tukalime sie....tuwaachie wavaa kobazi mambo yaoMwaka kachafua hali ya hewa😀😀Alisema masheikh wacha Mungu wapo,lakini pia kuna masheikh waovu akasisitiza ushahidi upo!
Wanaofahamu huyu Mwaka kakinukisha nini tena wafunguke hapa, maana mpaka Bi Eshe aseme maneno haya, huyo Mwaka lazima kafanya madudu ya mwaka:
Wanaofahamu huyu Mwaka kakinukisha nini tena wafunguke hapa, maana mpaka Bi Eshe aseme maneno haya, huyo Mwaka lazima kafanya madudu ya mwaka:
Wanaofahamu huyu Mwaka kakinukisha nini tena wafunguke hapa, maana mpaka Bi Eshe aseme maneno haya, huyo Mwaka lazima kafanya madudu ya mwaka: