Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

ahahaha,hapo unachangia uku machozi yakikulenga lenga!

Walijifanya kukimbilia kenya jana kimenuka bandari ya Mombasa sasa wanajaribu kuanza kutumi wenye njaa wapige kelele ili Magufuli alegeze hakuna kulegeza ni kukaza tu sasa waende wakapitishie msumbiji
 
Kama kufukuza fukuzeni wote majengo tufugie kuku ilo ndo tutakalo weza[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mjomba bhn waga ana manenoooo
 
Mkuu wenu alishasema hataki kuona mizigo na wasilete. Endeleeni hivyo Hivyo na uchwara wenu
 
Ndiyo imeshatoka hiyo
 
Mkuu ni wachache watakuelewa lakini hali ni mbaya sana.
 


Sio kila kitu nichakupinga wala sio kila kitu nichakutetea kisa wewe ni kada.
 
hawa watu was bandari watoe ripoti zinazo eleweka kama wasomi. waseme wazi kuwa mapato yamepungua kiasi gani, swala la idadi ya magari halitoi picha sahihi.
 
Wewe naona unaongelea hapo bongo tembelea bandari ya mombasa uone jinsi mimeli inavyo pishana na ukienda bandari ya beira nako ni meli kibao
wakwepa kodi hatuna haja nao , wacha waende zao tuna vyanzo vingi vya mapato
 
Binafsi hii habari nimeiona. Lakini, imepungukiwa kitu kimoja. Wangetuambia na mlinganyo wa mapato wakati wa magari 3,500 na mapato ya magari 1,500. Kama na mapato yamepungua, hapo ni tatizo. Kama ni kinyume, tatizo nini?
Sasa hapo kigumu kiko wapi? Au hesabu kwako ni ngumu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…