Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,304
- 12,854
Kiongozi anayegetialongi na kila mtu hafai.
Nasikia hakuwa haafiki uhuni wa bimkubwa na DP World, kama ni kweli wazanzibari watakuwa wamevuka mstari mwekunduDr Mpango hajawahi kuwa na shida na mtu, ni mtu mstaarabu na kiongozi bora sana.
Ukimya wa Dr mpango unazua taharuki sana, lakini tunasahau huyu kiongozi ni miongoni mwa watu wastaarabu, wapole, wanyenyekevu sana nchi hii.
Personally kuna majukumu au mambo ambayo yamewahi kunikuta nikajikuta nipo karibu na maisha ya huyu Kiongozi kipindi hicho akiwa ni waziri, aiseee ni mtu mmoja mstaarab, mpole, asiye na makuu,mchamungu na asiye na majivuno,huyu kiongozi ni mtu anayeishi maisha ya kipekee sana na ya kawaida sana, hajikwezi na huwezi kumuona akijitapa kama mtu mwenye pesa.
Maombi yangu ni huko alipo kama anaumwa apone haraka sana, nilichogundua Tanzania kuna "wahuni" ambao wanakaa na kuombea watu vifo, imagine kuna watu wanamuombea mabaya Dr Mpango
Maswali ni mengi sana nawauliza hao watu?
Dr mpango kawafanyia nini?Mbona hanaga ubaya na mtu?
Dr mpango kosa lake ninini au ni kwasababu hana makandokando au hapendi hulka za wahuni za ufisadi?
Au ni kwasababu Dr mpango ana misimamo ya kizalendo ndo maana genge la walafi wanamchukia?
Mpango ni mpango wa Mungu.Kwanza mpango mwenyewee hajawia kuomba kuwa mwanasiasa Ni jiwe ndio alimlazimishaa kuingia kwenye siasa na Sasa bahat ikamdondokeaa kapata umakamu.
Huyu ilitakiwa aondoke hata kabla ya Magu,aliponea chupuchupu sana,fuatilia hoja za Boss kuhusu Mpango utaelewaDr Mpango hajawahi kuwa na shida na mtu, ni mtu mstaarabu na kiongozi bora sana.
Ukimya wa Dr mpango unazua taharuki sana, lakini tunasahau huyu kiongozi ni miongoni mwa watu wastaarabu, wapole, wanyenyekevu sana nchi hii.
Personally kuna majukumu au mambo ambayo yamewahi kunikuta nikajikuta nipo karibu na maisha ya huyu Kiongozi kipindi hicho akiwa ni waziri, aiseee ni mtu mmoja mstaarab, mpole, asiye na makuu,mchamungu na asiye na majivuno,huyu kiongozi ni mtu anayeishi maisha ya kipekee sana na ya kawaida sana, hajikwezi na huwezi kumuona akijitapa kama mtu mwenye pesa.
Maombi yangu ni huko alipo kama anaumwa apone haraka sana, nilichogundua Tanzania kuna "wahuni" ambao wanakaa na kuombea watu vifo, imagine kuna watu wanamuombea mabaya Dr Mpango
Maswali ni mengi sana nawauliza hao watu?
Dr mpango kawafanyia nini?Mbona hanaga ubaya na mtu?
Dr mpango kosa lake ninini au ni kwasababu hana makandokando au hapendi hulka za wahuni za ufisadi?
Au ni kwasababu Dr mpango ana misimamo ya kizalendo ndo maana genge la walafi wanamchukia?
Na kuhusu hili kuna member anaitwa Boss alimzushia mambo mengi sanaHivi aliwahi comment chochote juu ya DP World!!?
Mpango yupo wapi ? Ni swali ambalo linatakiwa lijibiwe na siyo longo longo Magufuli alifichwa kama alivyofichwa Mpango baadae watu wanatangaziwa Tanzia.Ni ukweli ulio wazi kwamba Dkt. Mpango hana makuu na wala hana matatizo na mtu. Ni miongoni mwa viongozi wachache sana ktk nchi hii ambao hawana 'makandokando' ya kutisha.
Tatizo ninaloliona Mimi ni kwamba Serikali yenyewe ndio ambayo imesababisha uvumi huu mbaya wa kumchuria mtu huyu kwa kufanya Usiri wa kipuuzi usiokuwa na ulazima. Pale ambapo habari za ukweli zinafichwa basi habari za uongo na uzushi hupata nguvu zaidi na kuaminika na watu.
Jamaa ni president material!Dr Mpango hajawahi kuwa na shida na mtu, ni mtu mstaarabu na kiongozi bora sana.
Ukimya wa Dr mpango unazua taharuki sana, lakini tunasahau huyu kiongozi ni miongoni mwa watu wastaarabu, wapole, wanyenyekevu sana nchi hii.
Personally kuna majukumu au mambo ambayo yamewahi kunikuta nikajikuta nipo karibu na maisha ya huyu Kiongozi kipindi hicho akiwa ni waziri, aiseee ni mtu mmoja mstaarab, mpole, asiye na makuu,mchamungu na asiye na majivuno,huyu kiongozi ni mtu anayeishi maisha ya kipekee sana na ya kawaida sana, hajikwezi na huwezi kumuona akijitapa kama mtu mwenye pesa.
Maombi yangu ni huko alipo kama anaumwa apone haraka sana, nilichogundua Tanzania kuna "wahuni" ambao wanakaa na kuombea watu vifo, imagine kuna watu wanamuombea mabaya Dr Mpango
Maswali ni mengi sana nawauliza hao watu?
Dr mpango kawafanyia nini?Mbona hanaga ubaya na mtu?
Dr mpango kosa lake ninini au ni kwasababu hana makandokando au hapendi hulka za wahuni za ufisadi?
Au ni kwasababu Dr mpango ana misimamo ya kizalendo ndo maana genge la walafi wanamchukia?
Mpango ni mpango wa Mungu.
AmeenMungu ingilia kati
Kuna nini mkuu?
Acha ujinga! Humjui huyo mtu! Ni mbaya hakuna mfanowe. Alitutenda, Mungu ndiye anajuaDr Mpango hajawahi kuwa na shida na mtu, ni mtu mstaarabu na kiongozi bora sana.
Ukimya wa Dr mpango unazua taharuki sana, lakini tunasahau huyu kiongozi ni miongoni mwa watu wastaarabu, wapole, wanyenyekevu sana nchi hii.
Personally kuna majukumu au mambo ambayo yamewahi kunikuta nikajikuta nipo karibu na maisha ya huyu Kiongozi kipindi hicho akiwa ni waziri, aiseee ni mtu mmoja mstaarab, mpole, asiye na makuu,mchamungu na asiye na majivuno,huyu kiongozi ni mtu anayeishi maisha ya kipekee sana na ya kawaida sana, hajikwezi na huwezi kumuona akijitapa kama mtu mwenye pesa.
Maombi yangu ni huko alipo kama anaumwa apone haraka sana, nilichogundua Tanzania kuna "wahuni" ambao wanakaa na kuombea watu vifo, imagine kuna watu wanamuombea mabaya Dr Mpango
Maswali ni mengi sana nawauliza hao watu?
Dr mpango kawafanyia nini?Mbona hanaga ubaya na mtu?
Dr mpango kosa lake ninini au ni kwasababu hana makandokando au hapendi hulka za wahuni za ufisadi?
Au ni kwasababu Dr mpango ana misimamo ya kizalendo ndo maana genge la walafi wanamchukia?
Kama kweli! Mungu mkubwa.Kuna nini mkuu?
Nakazia SanaHakuna anayependwa na kila mtu, kawaida hiyo usijipe shida.
Kuna watu wanamchukia kwa chama chake, kwa nafasi yake na kuna wanaompenda kwa sababu hizohizo.
Ndio maisha na ulimwengu ulivyo.
Ziliwagusa kina nani ?Hata mimi huyu Mheshimiwa ninamkubali sana. Wakati alipokuwa Waziri wa Fedha na Mipango, sera zake nyingi zilikuwa hazimgusi moja kwa moja mwananchi wa kawaida, kama sera za huyu Mr. Misifa.
Sio chadema mkuu....Wahuni mnawajua waliopo ndani ya Chama
Walipo Wawili Ama Watatu Mungu Yupo Katikati YetuMungu ingilia kati
Nyie mlimjua vizuri Mrundi huyo? Waulize sie aliowavictimize kutokana na cheo chake. Roho mbaya hakuna Mfano. Muulize Balozi Mulamula etc.Ni ukweli ulio wazi kwamba Dkt. Mpango hana makuu na wala hana matatizo na mtu. Ni miongoni mwa viongozi wachache sana ktk nchi hii ambao hawana 'makandokando' ya kutisha.
Tatizo ninaloliona Mimi ni kwamba Serikali yenyewe ndio ambayo imesababisha uvumi huu mbaya wa kumchuria mtu huyu kwa kufanya Usiri wa kipuuzi usiokuwa na ulazima. Pale ambapo habari za ukweli zinafichwa basi habari za uongo na uzushi hupata nguvu zaidi na kuaminika na watu.
Lakini swali linabakia lilelile: yuko wapi?Ndg Kimsboy hongera sana kwa andiko zuri nami niungane nawe kama mzee wetu anaumwa basi Mola ampe nafuu na aweze kuwa nasi tena. Ni jambo la ajabu sana na inasikitisha kuona watu wanazungumza kitu ambacho si cha kiungwana. Yes ni kiongozi na ni binadamu siyo malaika. Nilitegemea hao wangekuja na wazo la kuomba kwa kila imani yake ili hata kama kuna ukweli wowote kiafya aweze kupona haraka.Fikiria anafamilia yake, Mke,watoto,wazazi pengine, ndugu na jamaa , je ingekuwa ni baba yetu au kaka yetu tungejisikiaje? Tuwe na utu mzee wetu hana tatizo na mtu kwanini tunamfanyia haya , tumpe heshima yake na utu
Wewe naye sijuhi umeibukia shimo gani, tayari umeshatoka kwa ayatollah wenu baada ya kuona gaza inazidi kudidimia.Dr Mpango hajawahi kuwa na shida na mtu, ni mtu mstaarabu na kiongozi bora sana.
Ukimya wa Dr mpango unazua taharuki sana, lakini tunasahau huyu kiongozi ni miongoni mwa watu wastaarabu, wapole, wanyenyekevu sana nchi hii.
Personally kuna majukumu au mambo ambayo yamewahi kunikuta nikajikuta nipo karibu na maisha ya huyu Kiongozi kipindi hicho akiwa ni waziri, aiseee ni mtu mmoja mstaarab, mpole, asiye na makuu,mchamungu na asiye na majivuno,huyu kiongozi ni mtu anayeishi maisha ya kipekee sana na ya kawaida sana, hajikwezi na huwezi kumuona akijitapa kama mtu mwenye pesa.
Maombi yangu ni huko alipo kama anaumwa apone haraka sana, nilichogundua Tanzania kuna "wahuni" ambao wanakaa na kuombea watu vifo, imagine kuna watu wanamuombea mabaya Dr Mpango
Maswali ni mengi sana nawauliza hao watu?
Dr mpango kawafanyia nini?Mbona hanaga ubaya na mtu?
Dr mpango kosa lake ninini au ni kwasababu hana makandokando au hapendi hulka za wahuni za ufisadi?
Au ni kwasababu Dr mpango ana misimamo ya kizalendo ndo maana genge la walafi wanamchukia?