Dkt. Mpango aagiza kurejeshwa kwa fedha zilizochukuliwa na Wizara ya Fedha wakati akiwa Waziri

Naona hapa wafaidika mnajibizana tu na kujiliwaza , Tafadhali mjue hakuna fedha ya serikali ya kuchezea hata senti tano ni fedha maana ni jasho la wananchi, sie tunajali kodi zetu zitumike vizuri . VP kazi hapo hapo fedha ni mali ya wananchi wasituchezee hao.
 
Ivi nyie mbwea mnataka mtu afanyaje???kipindi kile mlimsakama dokta Gharibu bilali kuwa anatembea na mkasi wakuzindua vijimiradi, Haya leo Vice president anatoa matamko ya kimamlaka pia mnakosoa mapimbi nyinyi,

Nikujibuje hapa Mpendwa?
 
Back
Top Bottom