johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Usaliti maana yake nini?Binafsi nafikiri kuhama chama ni sayansi kwenye siasa, lakini usaliti ni dhambi kubwa ambayo hata shetani hawezi akaitenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Usaliti maana yake nini?Binafsi nafikiri kuhama chama ni sayansi kwenye siasa, lakini usaliti ni dhambi kubwa ambayo hata shetani hawezi akaitenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa sipotezi muda wangu kubishana na madogo kama wwHuna uwezo wa kuelewa, kalisha hilo duara hapo uani chini.
Naona likizo imeisha. Karibu jukwaani.Hapo kuna jinai
Kina mdee jela inanukia sasa
Umefika mtetezi wa majizi na Mafisadi ya chama Cha kijaniHapo kuna jinai
Kina mdee jela inanukia sasa
Usaliti wake ni upi? Unapoongelea demokrasia unamaanisha nini?Msaliti huyu na Alhaji alishasema dawa ya wasaliti ni wauwawe tu.
Huwa sipotezi muda wangu kubishana na madogo kama ww
Hahahaaaaaa..........!
Natafakari tu kwa mtu msomi wa kiwango cha Dr Mashinji kwenda mahakamani kila wiki inamharibia ratiba zake nyingi za kijamii na kiuchumi.
So sitashangaa nikisikia kamwandikia barua DPP kukiri makosa ya kuandamana bila kibali cha polisi.
Narudia tena sitashangaa kama hilo linawezekana kisheria.
Maendeleo hayana vyama!
Kwahiyo Dk mashinji yy haitomuhusu kwasababu kasha hamia upande wenu???Hapo kuna jinai
Kina mdee jela inanukia sasa
Naona likizo imeisha. Karibu jukwaani.
Basi mwambie magufuli ampe mkono Zitto!Mdee anawivu sana
Tujulisheni faida za Maalim seif kumnyima Rais shein mkono
Tujulishe hasara zakeMdee anawivu sana
Tujulisheni faida za Maalim seif kumnyima Rais shein mkono
JPM alipowapiga marufuku wabunge wa CCM kwenda kumtembelea Lema gerezani ilikuwa na maana gani?Kumnyima mtu mkono humpunguzii chochote na wala hujamkomoa