Mhh siasa hazina formula, hivi unategemea Magufuli awambie wananchi kuwa ni raisi wa maisha wakati anatafuta kura za kupata tena miaka mitano?Ndugai anasemaje? Maana ana mpango wa kumlazimisha aendelee..
Wewe mara nyingi contributions zako are essentially biased.Kati ya watu wasiokwazika na wanaenjoy JF ni mimi na Sky
Ni kweli kabisa. Kwa kutumia NEC na DEDsNi punguani pekee anayeamini JPM atashindwa
angekuwa anajiamini asingefungia mitandao lazima kuna ulakini na uharamia unafanyikamitano tena hiyo
WADANGANYE WAJINGAWAJINGA WENZAKO WA LUMUMBA BUKU SABA HUKOHata marekani mtandao huwa unasumbua
Mkuu hao wamechanganyikiwa kwasasa...CCM ni malegend wa siasa za TanzaniaHata marekani mtandao huwa unasumbua