johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Najiuliza Huyu Dkt. Bashiru ni mjamaa? Maana wajamaa ndio hupenda kutumia hili Neno Wanyonyaji
Wakati wa Nyerere tuliimba
"Mabepari walia kukatiwa mirija ya unyonyaji walipotangaziwa Azimio la Arusha"
Dkt. Bashiru amesema Wakulima ndio wanawalisha Watawala hivyo ni lazima wawafanye wawaheshimu wasikubali unyonyaji
Labda angeyasema awamu ile angeeleweka zaidi lakin CCM back ni ile ile
Mungu ni mwema!
Wakati wa Nyerere tuliimba
"Mabepari walia kukatiwa mirija ya unyonyaji walipotangaziwa Azimio la Arusha"
Dkt. Bashiru amesema Wakulima ndio wanawalisha Watawala hivyo ni lazima wawafanye wawaheshimu wasikubali unyonyaji
Labda angeyasema awamu ile angeeleweka zaidi lakin CCM back ni ile ile
Mungu ni mwema!