Nadhani hizo Heri zingekuwa na Baraka tele iwapo tu pension / retirement plans zingekuwa ni za ki-utu, sio mzee anazeeka badala yake anaonekana kama mzigo kwa jamii...., si matibabu, si pension wala hata kuomba watoto wake hawezi tena... (ukiniuliza kwanini) jibu ni kwamba hata watoto wake hawana ajira / kipato (tena ndio waliomfilisi mzee huyo kwa kuwekeza kwenye elimu yao)