Dkt. Kipilimba, sasa yatosha!

Dkt. Kipilimba, sasa yatosha!

Yaani muandamanaji mmoja amebeba bango eti Nyie Wasauzi tuliwasaidia kuwashinda makaburu duh!

Sasa ina maana kama uliisaidia nchi kupata uhuru ndo uingilie utaratibu wake wa kujiendesha kama taifa huru?
Hapo kwenye bold, huyo muandamanaji alishindwa kuelewa kwamba huyo mkulima nae ni KABURU and hence kaburu analipiza KISASI!? Anyway, nakubaliana na mleta UZI, TISS ijikite kwa uzalendo wa nchi badala ya kua wazalendo kwa chama, hayo mambo ni ya kijinga, uzalendo kwa chama unatengeneza NYUFA za Umoja wetu cause utawachukia wasio wana ccm na kuwapenda na kuwapendelea wana ccm hata kama ni WAJINGA tu, mfano ni wa hao waandamanaji
 
TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA
Unaijua vizuri idara inafanyaje kazi zake au unaropoka kutokana na kudanganyana kwenye kahawa?
 
Suala la korosho kwako halina uzito wala effect? hivi wewe hao waliokuajiri walikuokota wapi???!!!
Hadi sasa mnadaiwa zaidi ya bilioni 150 na wakulima mmeshindwa kulipa? Ni familia ngapi zinateseka?
Unajua nchi imepoteza pesa za kigeni kiasi gani kwa uamuzi wa ki.senge mlioamua eti mtatuma jeshi likasombe korosho.
Tafuta ripoti ya B.O.T uone vituko vya huyo MEKO unayemuabudu, HALI NI MBAYA.
Wewe ndio unawalisha wakulima wa korosho..hii ndio mara ya kwanza mapato ya pesa za kigeni kushuka, akili ya kunguni kabisa..kazi kupanua domo kulalama hata kwa vitu vidogoo, utakufa masikini nyau wewe..fanya kazi.
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakushauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa na taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Nakubaliana kwa 100% ya maelezo yako yote na sijaribu kuamini kutokujua kwao lkn hoja za mtoa post si za kubeza zina ukweli fikirishi na kama kiongozi mzuri ukimwambia mtu hii ni A akakataa na kukuambia ni B better resgin .

Huyu amemaanisha kuwa aidha
1. Ku resgin kwa kushindwa kuelewa in advance i.e kutojua

2. Ku resgin kwa kushauri professionally ushauri wako ukawa dropped kwa maana kama wewe ni injinia ukasema nondo mm 20 ndio itafaa halafu mtu wa juu asiye professional akasema weka 10mm je jengo likikolapsi nani alaumiwe?

Uki sawa mkuu ila angalia na hoja hizi.

Who can stand Tall . Ndio ngumu
 
Haswaa umenena vyema mkuu tatizo meno
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakushauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa na taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
 
Wewe ndio unawalisha wakulima wa korosho..hii ndio mara ya kwanza mapato ya pesa za kigeni kushuka, akili ya kunguni kabisa..kazi kupanua domo kulalama hata kwa vitu vidogoo, utakufa masikini nyau wewe..fanya kazi.
Maskini ni wewe unayeshinda mitandaoni kutetea uwongo ili mradi wewe NA familia yako mmelipwa mshahara.
Mimi sio maskini ndio maana nipo huru hata kumkosoa huyo mumeo kilaza unayemuabudu. Unaishi kwa kutetea uovu! UTATUMIA NGUVU NYINGI SANA KUTETEA UOVU ILA KILA KITU KIPO WAZI, WATANZANIA SIO WAJINGA.
 
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.

Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako.

Nimeshindwa kuendelea na kazi niliyokuwa naifanya usiku huu kwenye Computer, moyo wangu umekosa amani kabisa hadi niandike hii mada.

Dr. Kipilimba, unadhani bado unastahili kuongoza Idara nyeti na muhimu Kama hii ya TISS?

Kwanini mikononi mwako serikali ya awamu ya tano inadhalilika sana kimataifa?

Kwanini Idara yako imeruhusu uwepo wa watu Kama Musiba wanaokashifu viongozi wakubwa hadharani?

Sikufundishi kazi, ila nashangaa kwanini hujui kuwa idara kama TISS ndo Roho kamili ya Tanzania.

Kifo cha TISS ni kifo cha Tanzania, kwanini hujifunzi magumashi ya CIA, MI5, Mossad na mashirika mengineyo kama TISS?

Ninaposema magumashi nadhani umeelewa vizuri kabisa, maana nikielezea itahitaji kitabu.

Uimara wa TISS ndo Uimara wa Tanzania, na udhaifu wa TISS ndo udhaifu wa Tanzania.

Tunajua ya kwamba dawa ya Deni ni kulipa, lakini ilikuwaje TISS ikashindwa kubaini kuwa Steyn kafungua shauri mahakamani dhidi ya Tanzania kudai mali yoyote ya nchi ikamatwe?

TISS ingeitaarifu serikali basi, ndege isingeenda SA, na hivyo wangetafuta namna nyingine ya ku-solve tatizo.

Ni aibu kubwa mno nchi kudaiwa na raia mmoja Halafu mali ya nchi kukamatwa kwa Deni nje ya nchi, hii fedheha kubwa.

TISS mngeweza kuepusha hii fedheha. Kama TISS, ilishindwa kubaini njama za kutaifisha mali ya nchi, je itaweza kujua nini kinapangwa Somalia na Alshabab kwa mfano juu ya nchi?

Dr Kipilimba, TISS chini yako ni dhaifu mno, nakushauri u resign tu. TISS chini ya Dr Hansy Kitine na hayati Imran Kombe ilikuwa imara kupindukia.

Nakumbuka Tukio moja (siwezi kulitaja) nilikuja kushtuka mission accomplished muda mrefu kumbe yule jamaa alikuwa TISS na akapotea kama jini.

TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.

Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.

CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
Ngoja nami nianzishe thrd ya kutukana serikali ili nipewe likes kibao! Sina uhakika wa ubora wa wanaonipa likes lakini potelea mbali!
 
Ngoja nami nianzishe thrd ya kutukana serikali ili nipewe likes kibao! Sina uhakika wa ubora wa wanaonipa likes lakini potelea mbali!
Kwenye thread yangu hii Kuna tusi lolote?
Highlight tusi lolote Kama lipo, nakupatia sh 500,000 kwa M Pesa
 
Ndo uko sawa kabisa JKT inapaswa kurudi kisawasawa na mimi napendekeza vijana wakae kambini kwa miaka miwili.

Hii wanafanya Israeli na Korea Kusini na baadhi ya nchi zingine.

Hii itasaidia watu kushika moyo na kuonyesha wanaipenda nchi yao na wako tayari kuitumikia "no matter what".

Hata kama kuna kiongozi ambae na kasoro zake lakini linapokuja suala la ndege kuzuiwa nchi nyingine khasa ndege mpya watanzania wanaungana pamoja kutafakari juu ya mstakabali wa mali hiyo ya taifa.

Marekani pamoja na Donald Trump kufanya anayofanya lakini wakaikung'uta Syria kwa mabomu na sasa wanaishughulikia Iran na Korea Kaskazini, hiyo yote ni kwa "maslahi ya taifa" hilo.

Unafahamu hata nchi zilizoendelea likija jambo la "kwa maslahi ya taifa" wanageuka na kuunga mkono, hayo utaona kwenye televisheni, radio na magazaeti.

Masuala kama ya ugaidi na kutishia usalama wa mataifa yao wanaweza wakayaongelea kwa siku kadhaa masaa 24 na ukijaribu kubadilisha chennels habari ni hizohizo mpaka kieleweke mbele ya wananchi.

Viongozi mbalimbali, wasomi na watu wengine wa kada mbalimbali kwenye jamii wataitwa kwa interviews.

Sisi Tanzania kuna kitu kimeharibika ndani ya miaka 20 ilopita na tunapaswa kujitafakari na kujifunza uzalendo na kulinda maslahi ya taifa.
Naunga mkono

Hii hali ya kushangilia mabaya kwa watanzania wenyewe tukielendelea kuilea tunatengeneza raia ma puppet mkuu.

Mwisho jkt iwe miaka miwili kwa wahitimu
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakushauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa na taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Kuna kashfa nyingi za kifisadi zimetokea ktk nchi hii in the open view of what you call Tiss tena wakati mwingine hata wenyewe wakiwa party lkn ikaisha tu hivyo.

So to say, your praise to them is devoid of basis as the institution's right to exist lacks public support. The institution has outlived its usefulness and it's slowly turning out to be a liability rather than an asset to the country's folks.
 
Kula Like mleta mada ingawa nimesahau kubonyeza kitufe husika.

Jambo la msingi ni kukubali udhaifu uliopo, kufanya reforms na kufanya kazi kwa misingi ya kazi na siyo vinginevyo.
Ni vizuri kufikiria kubadili mfumo wa utendaji kazi kulingana na mabadiliko ya teknolojia ya sasa na siyo mfumo wa siasa ya nchi. Aidha si rahisi kujitokeza hadharani na kueleza chanzo cha tatizo, na hapo ndipo hoja ya kujihudhuru inakuja.
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakushauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa na taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!

Umenena kweli kabisa, kwenye maswala ya kuwatafuta watesi wanaowakosoa.... ni wepesi sana....(inawezekana ni kutokana na sababu ya jamaa alosema ya kuwa pamejaa mayuvccm) lakini kwenye maswala ya kutumia akili kwa maslahi ya taifa... wamefeli sanaaaaaaa..... ni kama wameshikwa na bumbuwazi, the dont know what they are doing for this country........

Ili waonekane wanafanya, wafanye maamuzi yanayoleta matokeo ya kuisafisha nchi na si kinyume.

kwa sasa wanachofanya ni ushuzi tu.
 
Back
Top Bottom