Dkt. Kigwangalla: Rais Samia anaendelea mpaka mwaka 2030, watakaompinga kukiona

Huyo Viti maalum mwisho wake 2025.
Unaambiwa Bashiru ndio JPM wa pili, mtumishi wa wanyonge, kiboko ya mafisadi, mwanamapinduzi mwenye kubeba falsafa za kijamaa. Chini ya uongozi wake kama katibu mkuu wa chama alikinyoosha chama na kufanikisha kuvunja ngome zote za upinzani na kuondoa makundi ndani ya chama🤸🤣🐒
 
Kavalishwa dela bungeni, wacha anyooshe vidole juu hadi 2025, akalime
 
Wameanza kusifia tena, mpaka inafika hatua kiongozi anakosea hajui kama anakosea maana wote wanasifia.
 
😅😅😅
 
Mi kumi tena kwa mama
 
Kigwangalla hajakosea.... lazima kuwe na consistency, kama mwendazake alipewa vipindi 2 kwa "utamaduni" wa CCM, mama nae apewe.
Consistency gani wakati yeye hajapitia kwenye mamlaka kamili ili ateuliwe. Angine kwenye ushindani na makada wengine kama Mkapa , Kikwete na Magufuli walivyopitia. Achukue fomu kama wenzake
 
Mbona bavicha mmepanic sana?

Kwani nyie hamtaki mama aende hadi 2030? Si mnademka humu kwamba yuko vizuri? Sasa kuna shida gani akienda hadi 2030?

Alafu nyie mwenyekiti wenu si kasma hamshiriki uchaguzi?
 
Nasimama na kigwangala kwa hili mama apite bula kupingwa had 2030 alafu baada ya hapo aongezewe muda wa ziada atake sitake
hii kauli najua inawachoma sana fans wa mwendazake ila ukweli ndio huo kibao kimebadirika Sasa ni zamu yenu kuugulia maumivu makali
 
Tutampinga ndani ya CCM na nje ya CCM
Utampinga ww na nani? Acha kuhara minyoo hapa ,dozi lazima iwakolee kisawa sawa maana mlitaka magu aongezewe muda kisa mna maslah binafs Sasa kibao kimegeuka ,pumbavu zenu
 
Hapo samia anajisikia raha au aibu? Huyu mtu anamdhalilisha rais kwamba tukimpinga tutakiona? Au anamaanisha wabunge wenzake maana sisi nzengo hawatuwezi.

Hata walimu waliomfundisha watakuwa wanaona aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…