Unaambiwa Bashiru ndio JPM wa pili, mtumishi wa wanyonge, kiboko ya mafisadi, mwanamapinduzi mwenye kubeba falsafa za kijamaa. Chini ya uongozi wake kama katibu mkuu wa chama alikinyoosha chama na kufanikisha kuvunja ngome zote za upinzani na kuondoa makundi ndani ya chama🤸🤣🐒Huyo Viti maalum mwisho wake 2025.
Nimenga like mkuuInaitwa nitoke vp?
Njia ya kukumbukwa
Kavalishwa dela bungeni, wacha anyooshe vidole juu hadi 2025, akalimeUnaambiwa Bashiru ndio JPM wa pili, mtumishi wa wanyonge, kiboko ya mafisadi, mwanamapinduzi mwenye kubeba falsafa za kijamaa. Chini ya uongozi wake kama katibu mkuu wa chama alikinyoosha chama na kufanikisha kuvunja ngome zote za upinzani na kuondoa makundi ndani ya chama🤸🤣🐒
Bora mama aongoze hata miaka mia, kuliko yule mwendazakeWameanza Tena?
Hawajifunzi tu hawa watu dah mwanasiasa sio mtu wa kumuamin akifa ghafla wataanza kumzodoa mama akina gambo Sasa wanatapika tu madudu ya mwendazake
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
😅😅😅Mbunge wa Nzega vijijini Dkt Hamis Kigwangalla leo wakati anachangia hotuba ya bajeti kuu ya serikali amesema rais Samia anatakiwa kupita bila kupingwa mwaka 2025 ili aendelee mpaka 2030.
Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni hasa ikizingatiwa kuwa Chadema walishatangaza kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo Lisu kuendelea kulelewa Ubelgiji.
View attachment 1818634
Mi kumi tena kwa mamaMbunge wa Nzega vijijini Dkt Hamis Kigwangalla leo wakati anachangia hotuba ya bajeti kuu ya serikali amesema rais Samia anatakiwa kupita bila kupingwa mwaka 2025 ili aendelee mpaka 2030.
Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni hasa ikizingatiwa kuwa Chadema walishatangaza kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo Lisu kuendelea kulelewa Ubelgiji.
View attachment 1818634
Consistency gani wakati yeye hajapitia kwenye mamlaka kamili ili ateuliwe. Angine kwenye ushindani na makada wengine kama Mkapa , Kikwete na Magufuli walivyopitia. Achukue fomu kama wenzakeKigwangalla hajakosea.... lazima kuwe na consistency, kama mwendazake alipewa vipindi 2 kwa "utamaduni" wa CCM, mama nae apewe.
Mkuu, chadema siyo chama chenye integrity ya kuweza kuaminiwa kirahisi hivyo. Hapa nyumbani mwenyekiti wao anasema hawatashiriki uchaguzi 2025, siku 3 baadae, makamu wa mwenyekiti, yule mlelewaji aka dish limeyumba, anatangaza kuwa atagombea urais 2025. Sasa hapo utamwamini nani?Chadema walishajitoaView attachment 1818662
Takataka wewe!Akili za Mwenda huko ..hii mijamaa zero kabisa
Unatuaibisha sana tuliosoma PCB Shybush Shinyanga sec
Takataka kabisa....Mataga
Utampinga ww na nani? Acha kuhara minyoo hapa ,dozi lazima iwakolee kisawa sawa maana mlitaka magu aongezewe muda kisa mna maslah binafs Sasa kibao kimegeuka ,pumbavu zenuTutampinga ndani ya CCM na nje ya CCM