Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,906
- 25,177
Unaambiwa Bashiru ndio JPM wa pili, mtumishi wa wanyonge, kiboko ya mafisadi, mwanamapinduzi mwenye kubeba falsafa za kijamaa. Chini ya uongozi wake kama katibu mkuu wa chama alikinyoosha chama na kufanikisha kuvunja ngome zote za upinzani na kuondoa makundi ndani ya chama🤸🤣🐒Huyo Viti maalum mwisho wake 2025.