kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,115
- 16,018
Mjomba kigwa anawafokea!
Huyu hata aue mtoto mwingine hapati tena uwaziri,na hivi anavyojifaragua mwishowe mama atamrukia na kile kimeo chake kilichotipotiwa kwenye ripoti ya CAGameona watu wanamshambulia sn anajipendekeza kwa mama kwa nguvu zote apate uteuzi
Mbunge wa Nzega vijijini Dkt Hamis Kigwangalla leo wakati anachangia hotuba ya bajeti kuu ya serikali amesema rais Samia anatakiwa kupita bila kupingwa mwaka 2025 ili aendelee mpaka 2030.
Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni hasa ikizingatiwa kuwa Chadema walishatangaza kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo Lisu kuendelea kulelewa Ubelgiji.
View attachment 1818634
Mbunge wa Nzega vijijini Dkt Hamis Kigwangalla leo wakati anachangia hotuba ya bajeti kuu ya serikali amesema rais Samia anatakiwa kupita bila kupingwa mwaka 2025 ili aendelee mpaka 2030.
Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni hasa ikizingatiwa kuwa Chadema walishatangaza kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo Lisu kuendelea kulelewa Ubelgiji.
View attachment 1818634
Na wewe utaendelea kuwa shoger hadi mwaka gani??Mbunge wa Nzega vijijini Dkt Hamis Kigwangalla leo wakati anachangia hotuba ya bajeti kuu ya serikali amesema rais Samia anatakiwa kupita bila kupingwa mwaka 2025 ili aendelee mpaka 2030.
Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni hasa ikizingatiwa kuwa Chadema walishatangaza kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo Lisu kuendelea kulelewa Ubelgiji.
View attachment 1818634
Umesahau yule mtoto aliyekuzalisha??Kumbe aliua mtoto?
Mwenda zake alipewa kwa Kura yeye kapewa kwa njia gani? Hebu tuacheni ushabiki katika mambo muhimu ya Nchi! Mwenzake alishindanishwa na wenzie katika Chama mbona Kigwangala hataki ashindanishwe? Hivi nuyu mama watu mumeridhika achukue madaraka kinyemela tu bila ridhaa ya wananchi?Kigwangala hii ni nin?
Lazima ulazimishe uteuzi??
Aibu sana
Huyo Viti maalum mwisho wake 2025.Bashiru 2025, tukiamua tunaweza !✅🇹🇿🔰