Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Nimeanza kugundua kuwa nikiona bandiko la John kulifungua ni wastage of timeNilikuwa sijamuelewa huyu joni basi sawa bandiko limesomeka.
Nimeanza kugundua kuwa nikiona bandiko la John kulifungua ni wastage of timeNilikuwa sijamuelewa huyu joni basi sawa bandiko limesomeka.
Ni kweli mkuu, kigwa ni hovyo sana, hasa anavyolialia kwenye mitandao kila kukicha huyu jamaa ni shidaKigwa Kila siku anazidi kujidhalilisha, angekaa kimya.. shobo kumshindo sio inshu