Alwatan Mabruki
Senior Member
- Sep 20, 2020
- 132
- 116
Dkt. Mwinyi aonya ubaguzi wa kidini.
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) amesema bado kuna chembechembe za ubaguzi wa kidini kati ya wapemba na waunguja, wa Tanzania bara na Wazanzibari. Ikiwamo pia ubaguzi wa kijinsia, lakini aahidi atajitahidi kadri Mungu atakavyomsaidia kupambana na suala hili la (ubaguzi).
Asema jukumu la Serikali ni kuhakikisha inakuza Uchumi, inaweka sera nzuri za kuwawezesha Wananchi kutimiza majukumu yao ya kila siku, na viongozi wa dini jukumu lao ni kuendeleza maadili kwa jamii.
Asema angependa kuona kila mtu ana uhuru wa kuabudu dini aitakayo. Alisema changamoto nyingine za ardhi, mali, taasisi za dini na unyanyasaji, zinaweza kupatiwa ufumbuzi na kufanyiwa kazi.
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) amesema bado kuna chembechembe za ubaguzi wa kidini kati ya wapemba na waunguja, wa Tanzania bara na Wazanzibari. Ikiwamo pia ubaguzi wa kijinsia, lakini aahidi atajitahidi kadri Mungu atakavyomsaidia kupambana na suala hili la (ubaguzi).
Asema jukumu la Serikali ni kuhakikisha inakuza Uchumi, inaweka sera nzuri za kuwawezesha Wananchi kutimiza majukumu yao ya kila siku, na viongozi wa dini jukumu lao ni kuendeleza maadili kwa jamii.
Asema angependa kuona kila mtu ana uhuru wa kuabudu dini aitakayo. Alisema changamoto nyingine za ardhi, mali, taasisi za dini na unyanyasaji, zinaweza kupatiwa ufumbuzi na kufanyiwa kazi.