BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
Baada ya ziara yake ya kutembelea Wananchi kwenye Vijiji mbalimbali Jimboni kwake kusikiliza na kutatua kero zao, Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi alifanya mkutano wa mwisho wa kushukuru wananchi katika Kata ya Kibondo Mjini ambapo alishukuru Kata zote 19 na vijiji vyake.
Dkt. Samizi alitumia Mkutano huo pia kueleza Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Muhambwe kwa kudadavua mipango yote inayokuja ya Serikali ya Awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa Wana- Muhambwe huku Wana- Muhambwe wakimshukuru sana Rais Samia na kumkaribisha Muhambwe.
#MuhambweKaziInaendelea
#DktSamizinaMaendeleo
#MwakaMmojawaRaisSamia
Dkt. Samizi alitumia Mkutano huo pia kueleza Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Muhambwe kwa kudadavua mipango yote inayokuja ya Serikali ya Awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa Wana- Muhambwe huku Wana- Muhambwe wakimshukuru sana Rais Samia na kumkaribisha Muhambwe.
#MuhambweKaziInaendelea
#DktSamizinaMaendeleo
#MwakaMmojawaRaisSamia