Pascal Mayalla,
Conclusion yako si sahihi! Ili kuonesha kuwa CCM imeshinda lazima ihakikishe hayo majimbo inayachukua na hata Iringa Mjini. Isipoyachukua itakuwa haijashinda ila imeonea wanyonge tu. Uchaguzi ni mbinu na anayekushinda unampa mkono maisha yanaendelea.
Conclusion yako si sahihi! Ili kuonesha kuwa CCM imeshinda lazima ihakikishe hayo majimbo inayachukua na hata Iringa Mjini. Isipoyachukua itakuwa haijashinda ila imeonea wanyonge tu. Uchaguzi ni mbinu na anayekushinda unampa mkono maisha yanaendelea.