Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

Nimesoma habari za kuaminika za upigaji na hata hela ya msiba amelamba

Source:Kigogo14
 
Nimesoma habari za kuaminika za upigaji na hata hela ya msiba amelamba

Source:Kigogo14
Unaikumbuka hii post?


Tunautaabisha mwili kwa manufaa ya nani?
 
Jamaa katoka kukaa front seat hadi Back bench....kwani kati ya Katibu mkuu wa chama na mbunge..yupi ana masilahi makubwa?
 
Vipi Hamis Kingwangwala ?? yupo mji huu
yupo nje ya box...HK uchawa umemponza sana..moja ya post zake za kumpamba mwendazake wakati wa taharuki ya wananchi kutaka kujua wapi alipo mwendazake, bwana HK katika ukurasa wake wa instgram alisema amefunga kwa ajili ya mwendazake (kabla hajaondoka) na mwendazake ndiye alikuwa waziri kipenzi cha hk kuliko wote enzi za Jk.....sasa hk hakujua kuwa atakaekuja kuwa mkuu wa chi nae alikuwa ni waziri enzi za JK na hakuwa kipenzi cha hk....

Siku zote, busara ni kukaa kimya.
 
Usiishie kuwaza anza kuuza unga wa kupima kisha ingia kwenye jumla utafika tuu..hata mbuyu ulianza kama mchicha ...KIKUBWA NIA, MIPANGO SAHIHI, MATUMIZI SAHIHI, NIDHAMU KAZINI, NIDHAMU YA MUDA NA NADHIMU YA PESA... KISHA IBADA
Kweli shekhe
 

Sasa google uone mafanikio ya watu wasioamini kabisa uwepo wa Mungu na wanakula bata hadi siku ya mwisho ya maisha yao ndo utajua kusali/kutosali hakuna athari yoyote kwa mwanadamu, maisha yapo on autopilot.
 
Mkuu umeongea jambo la msingi sana. Huyu jamaa anapaswa atubu na akanushe maneno yake ndipo atapanda kutoka hapa alipo. Sasa amekuwa demoted kutoka Ukatibu Kiongozi hadi Ubunge wa viti maalumu. Atajuuuuuuuta kumtukana mamba kabla hajavuka mto.
 
Mkuu umeongea jambo la msingi sana. Huyu jamaa anapaswa atubu na akanushe maneno yake ndipo atapanda kutoka hapa alipo. Sasa amekuwa demoted kutoka Ukatibu Kiongozi hadi Ubunge wa viti maalumu. Atajuuuuuuuta kumtukana mamba kabla hajavuka mto.
Mjomba kaondoka[emoji29][emoji29][emoji29]
 
Sasa google uone mafanikio ya watu wasioamini kabisa uwepo wa Mungu na wanakula bata hadi siku ya mwisho ya maisha yao ndo utajua kusali/kutosali hakuna athari yoyote kwa mwanadamu, maisha yapo on autopilot.

Kweli sikatai ila kila jambo lina sababu
Wapo wengi wasio amini na wana mafanikio ila kufuru ni mbaya sana
Karma is bitch
 
Methali 18:20
Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake,
Atashiba mazao ya midomo yake.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Watoto yatima mapema, kabla ya siku 40, wanafukuzwa kwenye nyumba ya marehemu baba yao. Kweli dunia haina huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…