Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

Kwahiyo kwenye Wizara ya Afya wameachwa wale Mawaziri wa Nyungu? Hii inaonyesha mama naye anaamini kuwa corona ilishajiondoa baada ya kusimangwa na maombi
Ila Mama ajichunge sana na yule Naibu,siyo mtu mzuri ana karama ya kuwaombea wakubwa wake dua mbaya na zinawapata kweli
Your browser is not able to display this video.
 
Hebu tusubiri mpaka jumanne baada ya hii ''sabatical live'' kwisha.Kuna teuzi raia No.1 aliahidi zitaendelea!
 
Atarudi kwenye ukatibu mkuu sisiemu lakini alipaswa awe demoted kabisa kabisa arudi udsm kumark course work za wanafunzi
Yaani kurudi UDSM ni demotion? No wonder watu wenye mtizamo huu kazi yao kila mara ni kufikiria vyeo ni sehemu ya kwenda kupiga badala ya kutumikia umma...Kwenda UDSM kwake ni promotion siyo demotion kwakua ataendelea na carrier yake...Alipoondolewa kabla ya kufikia nafasi ya juu kwenye taaluma hiyo kwa mwanazuoni ni sadaka kwa nchi yake...Itoshe kusema Dr. Bashiru ameisaidia nchi kwakukubali teuzi hizo na kwakua aliyeona anafaa aliondoka ni sahihi kabisa kama angerudi alikotoka, hata hivyo aliyepo ameona anamfaa bado kwenye bunge pengine kuisaidia nchi kwenye maamuzi...Tusiwe na macho hasi kwa kila jambo....Tabia ya kupenda vyeo bila tija ni hatari kwa taifa; Mh. Rais Samia ametuonya kuwa tunajenga nyumba moja kila nafasi ni muhimu katika kuijenga nyumba yetu Tanzania.
 
Mungu hadhihakiwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…