Dkt. Bashiru Ally ''amkaanga'' Lazaro Nyalandu

Nyalandu ana kasha nyingi sana, ila kwa bahati mbaya zaidi Dr. amejibu kama kada na sio kama mwanataaluma
Ndio mkuu sasa hapa watu hawataki kujua kama dr ni mtaalamu na aliyakiwa kujibu kitaalamu,

Kibaya zaidi naziona kashfa za Nyalandu zikiishia mtandaoni tu
 
Na hao ndio "Think-tank" ya Tanzania.

"...kuwa mkweli dhidi ya tuhuma kwa watawala sio jambo rahisi...."
Oliver Tambo
Ukweli ni dhana tu kulingana na fikra zako!

Upungufu wa fikra unaweza kusababisha ukadhani suala/jambo fulani ni kweli wakati kwa wenye fikra pana wanajua sio kweli.
 
Kamuulize Nyalandu hayo maswali tuone kama atashindwa kukujibu!
 
Mkuu;
Weka swali/hoja yenye mantiki ili upate jibu lenye mantiki.

Ninajibu hoja kulingana na aina ya swali/hoja.
Kuna ugumu gani ya kumwambia mtu swali lako siwezi kulijibu badala yake unamuelekeza sehemu uliyotolea hoja yako.

Ukija na hoja kuwa mkweli na jipange kwa swali lolote hata kama ni rubbish.

Hekima, ukweli ni vitu muhimu sana
 
Imekosa dira baada ya kufuta vibali vya kuwinda ambavyo vilitolewa kwa magumashi na huyo Nyalandu.
 
Nyarandu hata hivyo alikuwa amecherewa cku zte mda ndo hutoa majibu, tilitegemea kuachwa na Ccm amewahi Ku lisign. Ondoka uligawa vitaru vya loliondo kwa wamarekani wako. Achape raba
Jamaa eti anasema CCM imekosa dira/mwelekeo!

Inawezekana CCM imekosa mweleko/dira kwa mujibu wa fikra zake kwa sababu kuukosa Uwaziri ni kukosa mwelekeo na dira!
 
Bushiru Ally anaona jinsi mwenzao alivyowaacha. Sasa hana jinsi ni kujikomba tu. Wala hawezi akajibu kuwakilisha wananchi, au kuisimamia katiba hataki aonekana hana mkia. Namkumbuka Dr Juani Mwaikusa, Dr Songondo Mvungi. Mungu angekuwa ametuomba mbadala wa hawa watu, walahi mimi ningemchagu huyu!! Wewe je? Acheni uoga tililikeni tu.
 
Kama suala ni kuhojiwa, Nyalandu angekuwa salama zaidi kuhojiwa akiwa CCM kuliko akiwa Chadema. Kama ulimwangalia usoni Chakubanga wakati akihojiwa na ITV kuhusu kuondoka kwa Nyalandu CCM ni rahisi kuona kwamba kama ni kuhojiwa hilo litafanyika kama njia ya kumkomoa na kumfanyia visasi Nyalandu, wala hilo halikuwepo kabla hajaondoka CCM!
 
Asante kwa shairi.
 
Andiko lako limejikita kwenye dhana wakati sheria ni ukweli uliokubaliwa na jamii fulani.

Ukweli huo unatapata tafsiri mahakamani au kwenye chombo kilichopewa mamlaka ya kutafsiri ukweli uliokubaliwa na jamii hiyo.

Wewe ukidai nimevunja sheria kumbuka kuna mwingine atadai sijavunja hiyo sheria. Kwa mantiki hii, lazima kiwepo chombo kilichokubaliwa katika kutafsiri dhana.
 
Nadhani hujaelewa mantiki ya Dkt. Bushiru kuhusiana na mfano wa Dkt. Slaa.

Msome vizuri ili uelewe vizuri.
 
Nyarandu hata hivyo alikuwa amecherewa cku zte mda ndo hutoa majibu, tilitegemea kuachwa na Ccm amewahi Ku lisign. Ondoka uligawa vitaru vya loliondo kwa wamarekani wako. Achape raba
Kwani aligawa kwa matakwa yake?! Si kwamba alikuwa anatekeleza ilani ya CCM na maagizo ya baraza la mawaziri chini ya JK?! Mbona sioni mkimuandama Kikwete?! Aliyeidhinisha biashara hiyo?!
 
Bashiru kama Banna, walishapoteza maana kama wachambuzi wa siasa, hoja za Nyalandu kutokuwa mpya hakuondoi umuhimu wake bali kunasisitiza umuhimu wa kuwa na mjadala wa kitaifa kuirejesha nchi yetu njia kuu. Hoja kwamba hata Marekani kuna tatizo kama hilo haina mashiko, "if you are sick and your friend is sick, does it make you feel better?!"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…