jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,293
Ndio mkuu sasa hapa watu hawataki kujua kama dr ni mtaalamu na aliyakiwa kujibu kitaalamu,Nyalandu ana kasha nyingi sana, ila kwa bahati mbaya zaidi Dr. amejibu kama kada na sio kama mwanataaluma
Ukweli ni dhana tu kulingana na fikra zako!Na hao ndio "Think-tank" ya Tanzania.
"...kuwa mkweli dhidi ya tuhuma kwa watawala sio jambo rahisi...."
Oliver Tambo
Kamuulize Nyalandu hayo maswali tuone kama atashindwa kukujibu!Kuna hoja ya Nyalandu anayodai kuhusu CCM kwa sasa kukosa dira.
Kwanza unaposema kwa sasa CCM imekosa dira wakati umekuwa ndani yake kwa kipindi kirefu inabidi utueleze, kipindi cha nyuma ilikuwa na dira gani?
Je, hiyo dira iliyokuwepo kipindi cha nyuma ilikuwa inaonekana kwenye chama alichojiunga nacho?
Hiyo dira iliyokuwepo kipindi cha nyuma ilimsaidiaje mwananchi hasa mwenye uwezo mdogo kielimu na kiuchumi?
Kuna ugumu gani ya kumwambia mtu swali lako siwezi kulijibu badala yake unamuelekeza sehemu uliyotolea hoja yako.Mkuu;
Weka swali/hoja yenye mantiki ili upate jibu lenye mantiki.
Ninajibu hoja kulingana na aina ya swali/hoja.
Imekosa dira baada ya kufuta vibali vya kuwinda ambavyo vilitolewa kwa magumashi na huyo Nyalandu.Kuna hoja ya Nyalandu anayodai kuhusu CCM kwa sasa kukosa dira.
Kwanza unaposema kwa sasa CCM imekosa dira wakati umekuwa ndani yake kwa kipindi kirefu inabidi utueleze, kipindi cha nyuma ilikuwa na dira gani?
Je, hiyo dira iliyokuwepo kipindi cha nyuma ilikuwa inaonekana kwenye chama alichojiunga nacho?
Hiyo dira iliyokuwepo kipindi cha nyuma ilimsaidiaje mwananchi hasa mwenye uwezo mdogo kielimu na kiuchumi?
Jamaa eti anasema CCM imekosa dira/mwelekeo!Nyarandu hata hivyo alikuwa amecherewa cku zte mda ndo hutoa majibu, tilitegemea kuachwa na Ccm amewahi Ku lisign. Ondoka uligawa vitaru vya loliondo kwa wamarekani wako. Achape raba
Kama suala ni kuhojiwa, Nyalandu angekuwa salama zaidi kuhojiwa akiwa CCM kuliko akiwa Chadema. Kama ulimwangalia usoni Chakubanga wakati akihojiwa na ITV kuhusu kuondoka kwa Nyalandu CCM ni rahisi kuona kwamba kama ni kuhojiwa hilo litafanyika kama njia ya kumkomoa na kumfanyia visasi Nyalandu, wala hilo halikuwepo kabla hajaondoka CCM!Ukitaka kuwa critical soma na mawazo ya wengine. Hakuna lolote jipya alilofanya kwa kuhama na sio mtu wa kwanza. Alishanusa kuwa anaandaliwa vikao vya kumhoji kuhusu mwenendo na msomamo wake. Huko anakikwenda akifika aulize kilichomtoa zito kabwe ni nini. Kila chama kina misingi na taratibu zake. Ukiona hazikufai unaondoka kama alivyofanya.
Kweli fikra za wana ccm zimekwama, kila mtu akija negative ni kibaraka? Basi huenda hata hilo neno maana yake halisi hamlijui!!Nyalandu kwa hisani ya watu wa marekani...another kibaraka at his full potential
Yaani Nyalandu ni mjinga mno kiasi kwamba ajione kuwa ni lazima awe waziri ?Jamaa eti anasema CCM imekosa dira/mwelekeo!
Inawezekana CCM imekosa mweleko/dira kwa mujibu wa fikra zake kwa sababu kuukosa Uwaziri ni kukosa mwelekeo na dira!
Asante kwa shairi.Chama Cha Mapinduzi ni genge la wezi, wala rushwa na wabadhirifu wakubwa nchi hii! Ni genge ndani msitu mnene uliojaa muumiani na monsters!!
Ndani ya genge hili hatari duniani, wanahakikisha kuna vikaragosi wao wa kutosha nje ya msitu huo wa mafedhuli! Vikaragosi hivyo vitakuwa vitapewa kwa vipipi na vibiskuti na wakati mwingine kuishia kudanganywa kwa kauli na baada ya hapo, wataingia duniani kuwatetea mafedhuli na manduli wanaoiangamiza nchi!!
Ni kweli, kwavile ni msitu mnene uliojaa majahiri wa kila aina, haishangazi wengine kujikuta wamezaliwa kwenye hilo limsitu la waovu na kujikuta wakitenda kama manduli mengine yaliyomo humo yanavyotenda!! Hata hivyo, wapo miongoni mwao ambao hatimae wanakuja kupata maono kwamba udhalimu na uovu unaofanywa na jamii yao haukubaliki, sio dunia tu bali hata akhera!
Hawa ni wale wanaoamua kuukumbia msitu huku wakirushiwa kila aina ya silaha kutoka kwa mafedhuli wao ambao hawataki kuona watu wakiungama... wanachotaka ni kuona kizazi chao cha majahiri kikiendelea kushikamana!!!
Andiko lako limejikita kwenye dhana wakati sheria ni ukweli uliokubaliwa na jamii fulani.Ni ujinga kufikiria kuwa kila kosa ni lazima litamkwe na mahakama. Kuna watu ni wajinga kiasi kwamba hata mtu akipigwa na mwenzake au hata na kiongozi wake wa kazi watasema siyo kosa mpaka mahakama itamke kuwa aliyempiga mwenzake ametenda kosa.
Mahakama zinatoa hukumu lakini kinachoeleza nini ni kosa ni katiba na sheria zetu. Mathalani mtu akifukuzwa kazi bila ya kupewa nafasi ya kujitetea/kujieleza, tunajua kuwa hilo ni kosa, hata kama aliyefanyiwa hilo kosa ataamua kutokwenda mahakamani.
Nadhani hujaelewa mantiki ya Dkt. Bushiru kuhusiana na mfano wa Dkt. Slaa.Dr bhana eti haoni ujasiri wa Dr slaa,
Kile kitendo cha mtu kusimamia anachokiamini ninujasiri tosha,
Hatuwezi kuogopa kusimamia tunavyoviamin kwa kuogopa kupotea hizi PhD sijui wanazipataga wap
Halafu habari ya mihimili kuingilia hatuwezi kuendelea kuruhusu kisa kuna nchi nyingi tu zipo hivyo au zamani ilikuwa hivyo,
Hapa simtetei Nyalandu kwa sababu najua naye ana majanga yake ya kutosha tu ila tukitaka kujenga hoja lazima tulete maoni yenye mashiko
Kwani aligawa kwa matakwa yake?! Si kwamba alikuwa anatekeleza ilani ya CCM na maagizo ya baraza la mawaziri chini ya JK?! Mbona sioni mkimuandama Kikwete?! Aliyeidhinisha biashara hiyo?!Nyarandu hata hivyo alikuwa amecherewa cku zte mda ndo hutoa majibu, tilitegemea kuachwa na Ccm amewahi Ku lisign. Ondoka uligawa vitaru vya loliondo kwa wamarekani wako. Achape raba