Dkt. AshaRose Migiro kutoka Naibu Katibu UN hadi kuwa katibu wa CCM ya wauaji; anaishije na aibu hii?

Dkt. AshaRose Migiro kutoka Naibu Katibu UN hadi kuwa katibu wa CCM ya wauaji; anaishije na aibu hii?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,946
Reaction score
38,656
Kwa mtazamo wangu.
Huyu binti anachoangalia ni pesa anayopata bila kujali njia anayotumia kuzipata.

Asha Rose Migiro miongoni mwa waanzilishi wa Tanzania Gender Network Program (TGNP) akaja baadaye kupata teuzi enzi za Kikwete na hata kufikia kupata nafasi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.

Amerudi nchini na baada ya miaka mingi ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amekuwa kimya kabisa kuhusu haya yanayoendelea ilihali anafahamu msimamo wa mikataba ya Kimataifa kuhusu mauaji ya kimbari na kuhusu uchezeaji wa mifumo ya demokrasia.

Kwa haya yanayoendelea nchini chini ya CCM ni wazi huyu mama hajali CV yake kuchafuka. Hakuna CCM aliye afadhali maana wanaamini tatizo ni Watanzania na siyo ujambazi wao

Uzi tayari
 
Kwa mtazamo wangu.
Huyu binti anachoangalia ni pesa anayopata bila kujali njia anayotumia kuzipata.

Asha Rose Migiro miongoni mwa waanzilishi wa Tanzania Gender Network Program (TGNP) akaja baadaye kupata teuzi enzi za Kikwete na hata kufikia kupata nafasi ya kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.

Amerudi nchini na baada ya miaka mingi ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amekuwa kimya kabisa kuhusu haya yanayoendelea ilihali anafahamu msimamo wa mikataba ya Kimataifa kuhusu mauaji ya kimbari na kuhusu uchezeaji wa mifumo ya demokrasia.

Kwa haya yanayoendelea nchini chini ya CCM ni wazi huyu mama hajali CV yake kuchafuka. Hakuna CCM aliye afadhali maana wanaamini tatizo ni Watanzania na siyo ujambazi wao

Uzi tayari
Asili yake ni Mtandao, na hayo mafanikio yote kayapata kwa sababu ya uhusiano wake na Mkuu wa Mtandao JK. Na hayo whusiano inaweza kujunuisha na zile hobby za JK wakati ule. You understand what I mean "hobby"
 
Back
Top Bottom