Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Ktk mwendelezo namarudio ya dkk 45 za ITV tumeshuhudia jinsi kipindi hiki kinavyotaka jijenga ili kije fanya kazi ya CCM kuelekea 2015.Wanasiasa wa CCM na wafanyakazi wa taasisi ambazo CCM wanadhani kuwa wanazisafisha au hata kujivunia wamekuwa wakirudia rudia sana.Sidhani kama ni vibaya JF wakipiga kambi siku hiyo na kuchambua vitu critically.