Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
- Thread starter
- #41
dah kweli mkuu,alipoanza kutaja idadi ya mifugo ikabidi nibadili chanel,eti tz ina paka 500,kwa hiyo kwa mikoa ishirini ya bara kila mkoa una paka 25 tu dah kweli tz tunavipaji au anamuiga magufuli kutosoma matokeo yake ndo haya kutoa data za uongo.
du wakati ktk miji kuna nyumba zaidi 10 zina paka zaidi ya mmoja, achilia mbalia vijijini na mamlaka ndogo.