Habari...., Mh uandishi wako inaonesha uelewa wako unashida kidogo maana hata mipaka ya mabara HUIJUI,tuachane na hilo tuje kwenye kwenye mada yako,Dk ulimboka,kwa nini ulianzisha mchakato wa kudai haki za madaktari halafu umekimbia?au na wewe umeshakuwa fisadi?nani ataona tena matatizo ya hospitali zetu?umepewa kiasi gani mpaka umesahau mateso uliyopata kule mabwepande?
View attachment 63502
ulianza kutetea hawa waliolala chini
View attachment 63504
na hawa pia
View attachment 63505
hata hawa pia!
View attachment 63506
mkaanza mijadala ya kututetea
View attachment 63507
wakaanza mambo yao,utafikiri wanatibiwa ulaya!
View attachment 63508
wakakufanya hivi!
View attachment 63509
na pia ulionekana hivi!
View attachment 63510
hospitali ulizokuwa unatetea zikashindwa kukutibu,na wwe ukapelekwa ulaya!
View attachment 63511
ukarudi hivi!
Nakuuliza tena umepewa nini huko ulaya?mbona umewasaliti wenzako?na sisi maskini kwa ujumla?
Nimesikitika sana!na kama wamekupa hela ujasiri wako uliouonyesha hauna maana asilani,na bora ungetulia kimya tangu mwanzo!
Kwa hiyo??Dr Ulimboka anafamilia inayomtegemea.
Dk ulimboka,kwa nini ulianzisha mchakato wa kudai haki za madaktari halafu umekimbia?au na wewe umeshakuwa fisadi?nani ataona tena matatizo ya hospitali zetu?umepewa kiasi gani mpaka umesahau mateso uliyopata kule mabwepande?
View attachment 63502
ulianza kutetea hawa waliolala chini
View attachment 63504
na hawa pia
View attachment 63505
hata hawa pia!
View attachment 63506
mkaanza mijadala ya kututetea
View attachment 63507
wakaanza mambo yao,utafikiri wanatibiwa ulaya!
View attachment 63508
wakakufanya hivi!
View attachment 63509
na pia ulionekana hivi!
View attachment 63510
hospitali ulizokuwa unatetea zikashindwa kukutibu,na wwe ukapelekwa ulaya!
View attachment 63511
ukarudi hivi!
Nakuuliza tena umepewa nini huko ulaya?mbona umewasaliti wenzako?na sisi maskini kwa ujumla?
Nimesikitika sana!na kama wamekupa hela ujasiri wako uliouonyesha hauna maana asilani,na bora ungetulia kimya tangu mwanzo!
Habari...., Mh uandishi wako inaonesha uelewa wako unashida kidogo maana hata mipaka ya mabara HUIJUI,tuachane na hilo tuje kwenye kwenye mada yako,
Dunia nzima inajua jinsi namna Dr Ulimboka alivyojitoa kufanya kazi kubwa ya kupigania wanyonge,mpaka DHAIFU na MAGENGE yake wanatengeneza na kutekeleza mkakati wa kumteka na kumtesa.ni dhahili alifanya sehemu kubwa zaidi ya ilivyo mpasa,
SWALI Wewe unaelalamika,mnyonge uliekuwa ukipiganiwa umefanya nini?
Umetimiza wajibu wako? au we kazi yako ni kukaa chumbani na kuandika hapa JF tu?
kuwa mwelewa na mwenye kupembua mambo kwa mantiki na sababu za kina,
1/Dr Ulimboka alisha ongea mara nyingi
a/kuhusu watu waliomteka na kumtesa tukio lote kwa ujumla huku akiwa kwenye mateso makubwa alivyorudi alishukuru wa TANZANIA na MADAKTARI wenzie kwa kumuombea na kumchangia kwa namna tofauti matibabu yake hapa na nje ya nchi.
b/ Alisha mataja na namba yake ya SIMU na anapofanya kazi, Alie mwita na huko ndo akatekwa(Pamoja na kuwa alitumia jina tofauti ila baadae kubenea kwa umahiri na ujasiri wake KUPITIA mwanaHALISI aliweka mambo yote hadharani).
JIPIME KWANZA: i/Wewe kama mnyonge,Mtanzania ama DAKTARI Umefanya nini (KWENYE MGOMO) kuhakikisha una sapoti mapambano dhidi ya udhalimu na ufedhuli unaofanywa kwa wanyonge nchini,
ii/ kuna madaktari zaidi ya 300 wamesimamishwa,Na huu ni makakati wa madhalimu hao hao na wewe unalijua hili wazi wali si siri tena cha kushangaza haya yote wajifanya huyajui kuwa makini Mh TAO BOLITI KWANZA KWENYE JICHO LAKO NDO UTAFUTE KIBANZI KWA MWENZIO tena uwe na aibu.
HUNA hoja ulikuwa umekaa tu unasubiri mtu alie kuwa mahututi apone alafu aje kukupigania wewe huu ni UJINGA NA UPUMBAVU uliopitiliza.
Yangu macho!Unachanganya mambo,Dr.ulimboka sio daktari wa muhimbili wala muajiriwa wa serikali,madakatari wa muhimbili ndio wasaliti,mbona ulimboka alipopata matatizo wao wakarudi kazini badala ya kujitoa mhanga kama alivyojitoa yeye kuwatetea?acha ulimboka apige zake kimya tu
Sijui tuwatanzania wa aina gani hata kama masuala ya msingi kama haya ya wapiganaji kama Dr kudhihakiwa na watanzania na nina wasiwasi na kwamba miongoni mwao ni wale wanaotetewa naye kwa mpango fulani?Usifanye mchezo na mabwepande halafu si nasikia kina igondhu wamevunja korodani sidhani kama kitu mnara nasikia mtalimbo doro,ni kweli?
Dr Ulimboka anafamilia inayomtegemea.
...umejifungia na mke wako chumbani mmezima na taa,upo ndani ya blanket,nje umefunguli mbwa wakali na kuna uzio wenye geti kali..
Unawasha ka PC kako na jina lako hatulijui hatapicha yako haippo.,.
Wamuamuru DK. aendelee hatarisha uhai wake na familia yake...
Nakushauri.. Toka hapo kwako saasa hivi nenda TBC waambie wewe ni activist unataka endelea alipoachia DK.. Angalau tukufahamu
huu ni udaku sasa,unachokitaka ni story ya kuuzia gazeti tu!
Dr Ulimboka anafamilia inayomtegemea.
Nilisema watu mtaachwa keepleft hamkuamini.YOU SEE NOW?
We kila kitu unasikia tu...dizaini umbea ni jadi yako...karibu kwetu Arabuni tunatafuta watu nyie ili msimulie mengi mtakayoyasikia..!!Usifanye mchezo na mabwepande halafu si nasikia kina igondhu wamevunja korodani sidhani kama kitu mnara nasikia mtalimbo doro,ni kweli?
We kila kitu unasikia tu...dizaini umbea ni jadi yako...karibu kwetu Arabuni tunatafuta watu nyie ili msimulie mengi mtakayoyasikia..!!