Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 771
Dk ulimboka,kwa nini ulianzisha mchakato wa kudai haki za madaktari halafu umekimbia?au na wewe umeshakuwa fisadi?nani ataona tena matatizo ya hospitali zetu?umepewa kiasi gani mpaka umesahau mateso uliyopata kule mabwepande?
View attachment 63502
ulianza kutetea hawa waliolala chini
View attachment 63504
na hawa pia
View attachment 63505
hata hawa pia!
View attachment 63506
mkaanza mijadala ya kututetea
View attachment 63507
wakaanza mambo yao,utafikiri wanatibiwa ulaya!
View attachment 63508
wakakufanya hivi!
View attachment 63509
na pia ulionekana hivi!
View attachment 63510
hospitali ulizokuwa unatetea zikashindwa kukutibu,na wwe ukapelekwa ulaya!
View attachment 63511
ukarudi hivi!
Nakuuliza tena umepewa nini huko ulaya?mbona umewasaliti wenzako?na sisi maskini kwa ujumla?
Nimesikitika sana!na kama wamekupa hela ujasiri wako uliouonyesha hauna maana asilani,na bora ungetulia kimya tangu mwanzo!
View attachment 63502
ulianza kutetea hawa waliolala chini
View attachment 63504
na hawa pia
View attachment 63505
hata hawa pia!
View attachment 63506
mkaanza mijadala ya kututetea
View attachment 63507
wakaanza mambo yao,utafikiri wanatibiwa ulaya!
View attachment 63508
wakakufanya hivi!
View attachment 63509
na pia ulionekana hivi!
View attachment 63510
hospitali ulizokuwa unatetea zikashindwa kukutibu,na wwe ukapelekwa ulaya!
View attachment 63511
ukarudi hivi!
Nakuuliza tena umepewa nini huko ulaya?mbona umewasaliti wenzako?na sisi maskini kwa ujumla?
Nimesikitika sana!na kama wamekupa hela ujasiri wako uliouonyesha hauna maana asilani,na bora ungetulia kimya tangu mwanzo!