Dk. Tulia asota Dodoma

Dk. Tulia asota Dodoma

Bajeti zinaendelea kupitishwa tu wao wanaendelea kutafuta popularity za kisiasa. Sijui ni nani anayenitetea katika bajeti hii angalau na mimi nikafaidi keki ya Taifa
 
Wangekuwa wanawake isinge shangaza.

Lakin ni kichekesho kuona mibaba na mibabu inasusa
 
Hicho kitabu wamegoma kuchukua lakini kesho utasikia wanauliza maswali kutokana maelezo ya kitabu hicho hicho.

Nonsense! Kwani umeambiwa wamekataa kukisoma? Mimi sio mbunge nimekipata watashindwa wao?
 
bogus KUB! they better get cognizant, the Kikwete. Makinda era gone forever! It is either they stay in the House or leave for ever. The latter is on their peril; politically and socially. They will finally earn themselves political insignificance status. It seems the entire group lacks political intelligence to guide their whims in and outside the House.
 
upinzani wanaendesha siasa za kitoto zilizokosa ubunifu kwani wakisusia wanafikiri kuna kitu kinabadilika, walitakiwa wabaki bungeni wapambane kwa hoja kiujumla wajue hawana akidi ya kubadilisha maamuzi hivyo wapende wasipende wataburuzwa
 
Dr Tulia kila atapokuwepo UKAWA wataondoka! Nimesikia hata ikitokea sherehe au msiba akiwepo tu ukawa wataondoka na hakika hawamtaki! Ila yeye sababu ni robot asiye na busara atalazimisha tu akijua ametumwa kukandamiza demokrasia! Ni aibu sana pandikizi kuvuruga demokrasia!!
Demokrasia si wengi wape? Kama wapinzani wanatosha tusubiri kura ya maoni ya kumwondoa Tulia.
 
Back
Top Bottom