Hicho kitabu wamegoma kuchukua lakini kesho utasikia wanauliza maswali kutokana maelezo ya kitabu hicho hicho.
Posho wanchukua mkuu kwa mujibu wa ibara ya 73 ya katiba vipi ulitaka apewe mkeo ambaye hata katiba ya 73 haimtambui?




mbavu zanguPumba tupu , mmezoea siasa za shortcut
safi saaana ameokoa jahazi kidogo lisizameHahahahaha! Maji marefu
Mkuu Mwanahabari huru unatisha kama mvua, magamba yakikuona..yana changanyikiwa.Siyo kosa lako
Ni kosa la aliyemzaa kwenye mikesha ya mbio za mwengeSiyo kosa lako
Maigizo pesa wanataka Kazi hawataki.Posho ni haki yao ya msingi acha wivu mkuu, wasusie posho kwa sababu gani?Posho ni kodi yako mzee, posho sio hisani ya Bunge
Hatujaanza mikutano meanza kuweweseka je tukianza.? Kweli maigizo hayalipiNdio zinawapa utaahira chadema huko Dodoma na Mwanamke wa shoka hawapi pumzi.
Tutawanywesha dawa mpaka ukitwanga uwatojeMkuu Mwanahabari huru unatisha kama mvua, magamba yakikuona..yana changanyikiwa.
Poshi imepinga demokrasia?Maigizo pesa wanataka Kazi hawataki.
Mkuu Mwanahabari huru Magufuli ni dikteta ndio maana anaogopa mikutano ya vyama vya upinzaniTutawanywesha dawa mpaka ukitwanga uwatoje
Mikutano, maandamano na matamko.Hatujaanza mikutano meanza kuweweseka je tukianza.? Kweli maigizo hayalipi
Demokrasia si wengi wape? Kama wapinzani wanatosha tusubiri kura ya maoni ya kumwondoa Tulia.Dr Tulia kila atapokuwepo UKAWA wataondoka! Nimesikia hata ikitokea sherehe au msiba akiwepo tu ukawa wataondoka na hakika hawamtaki! Ila yeye sababu ni robot asiye na busara atalazimisha tu akijua ametumwa kukandamiza demokrasia! Ni aibu sana pandikizi kuvuruga demokrasia!!
Wewe jamaa nilikuwa nimeku categorize kwenye ngazi ya juu sana kumbe ngazi yako ni ya chini sanaWazile- wasizile shauri yao, nani anayejali? tuna mambo mengi ya kufanya siyo hayo ya kubembelezana kama watoto yatima