Mwendo kasi umewapumbazaMheshimiwa Tulia kaza uzi .usicheke na hiyo misukule kutoka UFIPA tena mwambie Speaker vikao vyote awe anakuachia wewe wasuse wasisuse vikao vinaendelea na mwisho wa siku watarejea kama ilivyo kawaida yao.
Kweli? Mbona wanashiriki kuchukua malipo ambayo huyu Mwanamke wa shoka ameidhinisha ushiriki wao kwa mujibu wa kanuni?Kila anapokuwepo Dk. Tulia, UKAWA wanaondo na hata kusababisha protokali kuvurugika. Ni kwa kuwa, UKAWA wameweka msimamo wa kutoshirikiana ama kutoshiriki shughuli ambayo yeye (Dk. Tulia) anashiriki.
Hivi ndivyo ilivyotokea leo katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma muda mfupi baada ya Kasimu Majaliwa, Waziri Mkuu kumaliza kuzindua Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano.
Baada ya Waziri Mkuu kumaliza hotuba yake na kufuatia zoezi la ugawaji vitabu vinavyoelezea mpango huo kwa ajili ya kujisomea katika taasisi na baadhi ya viongozi mbalimbali. Katika uzinduzi huo mshehereshaji aliyefahamika kwa jina moja la Mzee Mavunde, alianza kuita viongozi mbalimbali ili kuchukua vitabu kwa ajili ya taasisi ama makundi yao.
Ulipofika wakati wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwenda kuchukua kitabu kuwakilisha kambi hiyo, mshereheshaji alimwita mnadhimu mkuu wa kambi hiyo ambapo hakutokea. Baada ya kuonekana kwamba, hakuna anayejitokeza kupokea kitabu hicho, haraka haraka Steven Hillary Ngonyani,Mbunge wa Korogwe Vijijini maarufu kwa jina la Prof. Maji Marefu alichomoka moja kwa moja na kwenda kupokea kitabu cha mpango huo wa miaka 5 kwa niaba ya kambi ya upinzani bungeni.
Kitendo hicho kiliwafanya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao walikuwa ukumbini hapo pamoja na wageni wengine kuangua kicheko. UKAWA wamekuwa wakitoka bungeni pale Dk. Tulia anapoongoza bunge hilo. Hatua hiyo inatokana na malalamiko yao kwamba, kiongozi huyo wa Bunge anaendesha taasisi hiyo kwa kupendelea CCM.
Hela hazikandamizi demokrasiaKweli? Mbona wanashiriki kuchukua malipo ambayo huyu Mwanamke wa shoka ameidhinisha ushiriki wao kwa mujibu wa kanuni?
Hawa wapumbavu hawakuwa na taarifa tu na muda huenda baadhi walikuwa wakivunja amri ya sita na wengine kwenye pombe. Wengine walikuwa wanafuata virungu vya polisi huko Kahama.
Kuvuja kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi. Kukosekana kwao hakukuharibu shughuli husika.
Naona mwendo kasi umekuadhiriKwa sasa Maji marefu ndio nshauri nkuu wa ukawa
Demokrasia bila kufuata taratibu ni vurugu. Mwanamke wa shoka ameamua kusimamia ufuataji wa kanuni za kidemokrasia.Hela hazikandamizi demokrasia
Kanuni ipi wapinzani wamevunja shirikisha ubongo kutaka bunge live nikuvunja kanuniDemokrasia bila kufuata taratibu ni vurugu. Mwanamke wa shoka ameamua kusimamia ufuataji wa kanuni za kidemokrasia.
Hii ilitakiwa ifanyike kwa wale wote waliofanya maovu...ya kifisadi na tunawajua na tuna uhakika walifanya ingawa hawajatiwa hatiani na mahakama zetu.Dr Tulia kila atapokuwepo UKAWA wataondoka! Nimesikia hata ikitokea sherehe au msiba akiwepo tu ukawa wataondoka na hakika hawamtaki! Ila yeye sababu ni robot asiye na busara atalazimisha tu akijua ametumwa kukandamiza demokrasia! Ni aibu sana pandikizi kuvuruga demokrasia!!
Ccm ni mtambo wakuzalisha mafisadiHii ilitakiwa ifanyike kwa wale wote waliofanya maovu...ya kifisadi na tunawajua na tuna uhakika walifanya ingawa hawajatiwa hatiani na mahakama zetu.
Nimemwona leo Dr. Tulia hapa Dodoma kumbe maashallah! Ameniharibia swaum yangu wallahMpaka kieleweke.....Dr.Tulia akawe private secretary wa baba Jesi
We tokwa na povu tu kila sehemu ya mwili wako,wapumbavu ni wale waliokuwa wanadeki barabara ili fisadi lowassa apite,wapumbavu ni wale waliotoa ahadi kwamba fisadi asipoingia ikulu watakuwa tayari..kuuza line zao za mtandao wa Tigo.Mwendo kasi umewapumbaza
Mkuu kweli uliangalia vizuri mbona usemacho kama vile sicho mkuuNimemwona leo Dr. Tulia hapa Dodoma kumbe maashallah! Ameniharibia swaum yangu wallah
Posho haijakandamiza demokrasiaWangekuwa wanagomea na posho ingeleta maana zaidi.