Dk. Tulia asota Dodoma

Dk. Tulia asota Dodoma

We tokwa na povu tu kila sehemu ya mwili wako,wapumbavu ni wale waliokuwa wanadeki barabara ili fisadi lowassa apite,wapumbavu ni wale waliotoa ahadi kwamba fisadi asipoingia ikulu watakuwa tayari..kuuza line zao za mtandao wa Tigo.
Ukiniambia natoka povu je na wewe unayepepesuka kwajili ya gari la mwendo kasi
 
Sijaelewa, heading yako na ulichoandika ni vitu viwili tofauti. Ulivyoandika kusota nilidhani anapata taabu na kutaabika sana kama yuko sehemu hivi anapokea shuruba kumbe loh tofauti kabsaa na yaliyomo
 
Dr Tulia kila atapokuwepo UKAWA wataondoka! Nimesikia hata ikitokea sherehe au msiba akiwepo tu ukawa wataondoka na hakika hawamtaki! Ila yeye sababu ni robot asiye na busara atalazimisha tu akijua ametumwa kukandamiza demokrasia! Ni aibu sana pandikizi kuvuruga demokrasia!!
Yeye yuko kisheria actually hao wabunge ndio nonsense! wewe kitabu kinahusu hatima ya Taifa letu kwa miaka 5 unaacha kuchukua waende zao huku wanachotaka ni kujaza matumbo yao. Tupa kule!
 
Kanuni ipi wapinzani wamevunja shirikisha ubongo kutaka bunge live nikuvunja kanuni
Inasema hivi. Mbunge atasimama kimya pale alipokaa mpaka spika au mwendesha kikao atakapomtaka kusema alichotka kusema.
Nyingine Kiti kikitoa mwongozo ndio mwisho kama hukuridhika fuata taratibu kupinga uamuzi.
Nyingine Spika au mwenyekiti akisimama mbunge lazima akae.
Kanuni zote zenye maelezo haya zimekiukwa na zilizoeleka kukiukwa na kina Lisu wakadhani ni kawaida. Mwanamke wa shoka kaingia kufundisha sheria kwa vitendo kakataa mazoea haya mabaya.
 
Inasema hivi. Mbunge atasimama kimya pale alipokaa mpaka spika au mwendesha kikao atakapomtaka kusema alichotka kusema.
Nyingine Kiti kikitoa mwongozo ndio mwisho kama hukuridhika fuata taratibu kupinga uamuzi.
Nyingine Spika au mwenyekiti akisimama mbunge lazima akae.
Kanuni zote zenye maelezo haya zimekiukwa na zilizoeleka kukiukwa na kina Lisu wakadhani ni kawaida. Mwanamke wa shoka kaingia kufundisha sheria kwa vitendo kakataa mazoea haya mabaya.
Sheria za Lumumba hizo
 
Ni kama Slaa alivyogomea wakati wa kutangaza matokeo 2010,
Lakini mwisho wa siku akawa anashinda ikulu kunywa ghahawa.

Hiyo ndo SISIEM mbele kwa mbeeeeeeleeeeeeeeeeeeeee, hatunywi sumu hatujinyongi

Mama yako anakunywa uji wa chumvi kijijini kwasababu sukari ni bei ghali wewe inasema mbelekwambele.... Watakudungua nyuma tu.... Na mkmi nasema wakudungue tu kwasababu huna maana
 
mtoa mada wewe umeangalia kwa upande mmoja na kuhisi kuwa nifedhehea kwa CCM lakini kitu ambacho hujakigundua hapo huyo mhe.maji marefu alichokifanya ni kuwataarifu UKAWA kuwa "mkisusa sisi twala"...........
 
Haka ka mdada kana wakati mgumu sana.

Kangeangalia sakata la Kitwanga lilivyokuwa na namna aliyopigwa chini, kasingekuwa na kiburi namna hii.

No one is politically safe with Magufuli...
Ukawa ni sawa na ile mijianaume na misuli yao yote lakini yaliwakimbia panya road. Kwa akina Msigwa, Bwege, Silinde, wabunge toka Pemba na wengineo nisiowafahamu tamaduni zao pengine kumkimbia mdada inaweza kuwa si ajabu sana. Lakini sijui imekuwaje kwa waheshimiwa: Heche, Waitara, yule wa monduli na wengineo wa aina hii nao kukubaliana na aibu hii. Kwa culture yetu na kwa issue yoyote ni aibu sana kufurumishwa nje ya nyumba na mwanamama.
 
Hicho kitabu wamegoma kuchukua lakini kesho utasikia wanauliza maswali kutokana maelezo ya kitabu hicho hicho.
kigeugeu slaa aliyesema nchi haitatawalika kisa kapigwa virungu vya ugoko na hawara yake!!
 
Yaan ukawa wanafanya mambo ambayo sie tulivyokuwa o level tukigoma tunafanya ivo
 
Utoto. UKAWA ni mafundi wa kuchangamkia maiti wapate sifa, kama kule Mwanza. Ngoja kesho wafanye maandamano bila kibali mmoja wao agongwe na lori afe. Hapo utawaona wamejaa, Tulia or no Tulia.
 
Dr Tulia kila atapokuwepo UKAWA wataondoka! Nimesikia hata ikitokea sherehe au msiba akiwepo tu ukawa wataondoka na hakika hawamtaki! Ila yeye sababu ni robot asiye na busara atalazimisha tu akijua ametumwa kukandamiza demokrasia! Ni aibu sana pandikizi kuvuruga demokrasia!!
Kwasasa vi vema Dr Tulia akaongoza vikao vyote kuanzia sasa mpaka mwaka 2020 ili walale nyumbani kabisa hawa nyumbu.
 
Back
Top Bottom