JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,795
- 9,153
Kwa kweli mm acha niseme ukweli nasema ukweli kabisa, mwaka huu ccm imepita katika wakati mgumu sana lkn watashinda hivyo bac nafikiri watajifunza kutokana na makosa,sasa kwa upande wa Dr Slaa na Lipumba mm nawapa hongera sana,kwa maamuzi magumu, nawaomba wahamie Act CC tutawapa kura mwaka2020,kwani nyinyi mmeonyesha kweli mnataka mabadiliko ya kweli lkn hii chadema ya sasa au ukawa wao wanataka mabadiliko ya bandia sio halisi,kwa kweli nimewakubali.
Huo uhakika wa wao kushinda unaupata wapi!? Baki na ccm yako acha unafiki!