hassankilanga2
New Member
- Jul 30, 2015
- 4
- 0
Mnalishwa uchafu eti wasaliti,bora hao kuliko wezi na mafisadi,wasaliti niwale waliowaita wengine mafisadi,Leo haohao wanawasafisha mafisadi walewale,
Mtashindana sana lakini hamtashinda ccm inanuka !
Sasa Dk.Slaa Atapanda Jukwaani Kama Nani? Au Ndo Amejiunga Huko?
lowasa ,sumaye kufanaya kazi kwenye jukwaa moja eti ni mashujaa ila zitto na dr.slaa kufanya kazi kwenye jukwaa moja ni wasaliti,msijitoe ufaham nyinyi mazwazwa na misukule
Mbona hupambanui hayo mabadiliko? Dr.Makufuri yeye anataka kuleta mabadiliko ya kimaendeleo, UKAWA wao wanataka mabadiliko ya kubalidili chama. Ni vema kuwa wazi ili wapiga kura watambue hivyo, ss naona mnajitahidi sana kufichaficha hayo mabadiliko kama ni ajenda ya kimyakimya!
Wote wana sifa moja inayofanana, USALITI!
Too late!Hili litakuwa ni pigo kubwa kwa wapinzani.
Hongera sana CCM kwa kuwapata wasasiasa hawa mahiri na wabinafsi.
Sasa Dk.Slaa Atapanda Jukwaani Kama Nani? Au Ndo Amejiunga Huko?
Aliyekuwa Katibu Mkuu Wa Chadema Dk.Wilbroad Slaa, Na Kiongozi Mkuu Wa Chama Cha ACT-Wazalendo Ndg. Zitto Kabwe Wanatarajia Kupanda Jukwaa Moja Sasa Kwa Ajili Ya Kufanya Kampeni.
Karibuni Wadau