Mimi hapa ni chadema ya Dr. Slaa, hivyo siukubali mfumo wa ccm, najua hilo, ila mtu anapokuwa waziri mkuu (wote wawili ni jumla ya miaka 13), walikuwa na nafasi kubwa sana ya kuleta mabadiliko, mikataba michafu chafu ya awamu ya tatu ilipitia kwa Sumaye, mingine kwa Lowassa, kama ni hayo mambo, wangegoma kuisaini kisha kung'atuka, ila waliisaini na wakakaa kimya, leo nao wanalalamika hasa Sumaye kuwa maisha bora hayapo, wakati ni upofu wake wa kusaini mikataba mibovu ndo unanyonya wananchi, HAWA WAWILI WASITHUBUTU KABISA, hasa huyo mouthpiece Sumaye kuongea suala la mfumo. Kama ukikubaliana nao mimi pia nitaona hauko sawa!