Dk. Slaa na Zitto kupanda jukwaa moja

Dk. Slaa na Zitto kupanda jukwaa moja

Naona dozi inakuingia sawia...!

Kati ya mimi na wewe ni nani dozi inamuingia vizuri? mi mfuasi wa chadema ya Dr. Slaa, nafikiri nipo uzi sahihi, wewe unatafuta nini huku kama sio imekuuma mpaka uamue kuja kutapika huki?
 
mie nasubir tar 25 tuu nijifanyie mabadilikooooooo

Mabadiliko yapi wakati wana mabadiliko ya kweli ndo wanataka kuunda timu? kwa sasa Magufuli atawashikia nchi mpaka 2020 kisha wana mabadiliko ya kweli watachukulia hapo.
 
Wote hao ni vijakazi wa ccm wanahisi wanaweza isaidia ccm tunawasubiri kwa hamu huku mitaani ole wao!
 
lowasa ,sumaye kufanaya kazi kwenye jukwaa moja eti ni mashujaa ila zitto na dr.slaa kufanya kazi kwenye jukwaa moja ni wasaliti,msijitoe ufaham nyinyi mazwazwa na misukule
 
Ivi Ni Kweli Dk.Slaa Hakukubali Kumruhusu Lowassa Agombee,au Mke Wa Dr.Slaa Ndiye Alishinikiza??
 
Uruka pamoja,kama lowasa, mbowe, mbatia na sumaye hawa jamaa hata wakiwa jukwaani wanahutubia lakini wakisikia mlio wa hela tu wanasitisha kuongea na kuanza kujisachi wakiamini ni yao, sasa leo uwape ikulu na hazina itakuwaje!

Uwe na heshima kwa viongozi wako watarajiwa
 
Lowassa na Sumaye wana sifa zinazofanana na zile zile za watanzania wapenda mabadiliko, wanaoichukia CCM na kazi zake zote za kishetani! Huwezi kuwafananisha na hao Zitto na Dr.W.Slaa ambao wamejipambanua kama wapinga mabadiliko na Tanzania yote inawafahamu kama vibaraka wa CCM.

Lowassa na Sumaye wote wanafanana kwa sifa kuu mbili; Wizi wa mali ya umma na tamaa ya madaraka.

Halafu sifa yao kuu kubwa ni kutokuwa na msimamo dhabiti.
Rejea kauli zao wakati wanatangaza nia kuteuliwa na CCM. Hapo ndio utajua hawa jamaa wawili ni wasanii wa maigizo.
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu Wa Chadema Dk.Wilbroad Slaa, Na Kiongozi Mkuu Wa Chama Cha ACT-Wazalendo Ndg. Zitto Kabwe Wanatarajia Kupanda Jukwaa Moja Sasa Kwa Ajili Ya Kufanya Kampeni.

Karibuni Wadau

Hivi hapa unataka tuchangie nini au tuwazuwie?
 
Mimi hapa ni chadema ya Dr. Slaa, hivyo siukubali mfumo wa ccm, najua hilo, ila mtu anapokuwa waziri mkuu (wote wawili ni jumla ya miaka 13), walikuwa na nafasi kubwa sana ya kuleta mabadiliko, mikataba michafu chafu ya awamu ya tatu ilipitia kwa Sumaye, mingine kwa Lowassa, kama ni hayo mambo, wangegoma kuisaini kisha kung'atuka, ila waliisaini na wakakaa kimya, leo nao wanalalamika hasa Sumaye kuwa maisha bora hayapo, wakati ni upofu wake wa kusaini mikataba mibovu ndo unanyonya wananchi, HAWA WAWILI WASITHUBUTU KABISA, hasa huyo mouthpiece Sumaye kuongea suala la mfumo. Kama ukikubaliana nao mimi pia nitaona hauko sawa!

Kuwaelimisha watu wengine mpaka unywe panadol kwanza. Nini usichoelewa?
 
Sumaye na lowasa wanajumla ya miaka 13 katika nafasi ya uwaziri Mkuu,lipi wamefanya,zito na silaa wamefanya makubwa,yoyote mwenye akili anajua,
 
Back
Top Bottom