mke wa mkuu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 634
- 277
Tumia Basi Akili Zako Mkuu. Unajidhalilisha Sana Kudhani Magufuli Ataweza Kuibadilisha Tanzania Ambayo Chama Kile Kile Sera Zile Zile, Ambazo Zimeshindwa Kufanya Kitu kwa miaka 50?
Uwezi kusafiri Kwa usafiri wa Kiforokobe. Utegemee utafika Kwa wakati. ccm Imechoka Haifai ipumzike.
Kije Chama Chenye Mtazamo Mbadala, kwa Maendeleo ya Taifa, wale wote Wanaopingana na Mabadiliko basi Watu hao wameridhika na umaskini wa nchi hii chini ya chama cha mapinduzi.
China walitumia chama kilekile kuondoa mfumo wa chama chao kwa kubadilisha kiongozi na kuwa china mpya unaiyoiona leo