Mkuu sasa tukisema Dr. Slaa ni mnafki tunakosea (kama hayo unayoyasema ni kweli)
Alikuwa anapigania Watanzania wote ili CCM itoke madarakani, sasa kwanini na yeye sasahivi hasikilizi hizo sauti za Watanzania kama kweli alikuwa na uchungu nazo?? Wanavyama wa UKAWA na Watanzania wengi kwa ujumla wanataka CCM iondoke, kwanini yeye anatusaliti?? Sisi Watanzania tumemridhia huyo Lowassa kwanini yeye hatusikilizi?? Nilidhani ni CDM pekee ndio inaupigania UKAWA lakini jana na juzi nimeona live kwenye TV wanachama wa CUF wakimrushia maneno mazito aliyekuwa mwenyekiti wao LIPUMBA.. Hicho pekee kinaonyesha ni kwa jinsi gani watu wanautegemea UKAWA uwakomboe..
Mimi ningeona Dr. Slaa kama anasema kuna jambo halikuwa sawa, angesaidiana na wenzake kuiondoka CCM kwanza then mwishoni wawe wameshindwa au wameshinda ndio angefanya hayo maamuzi. Angeheshimika sana kwa hilo na daima asingesahaulika na Watanzania. Hii kukimbia nchi na kwenda kuishi huko mbali ni unafki uliopitiliza, askari anafia vitani na kamwe harudi nyuma.
Lakini nikuweke sawa tu, Wananchi wanaitegemea sana UKAWA iwaondolee CCM, hao UKAWA wakizingua au nyie CCM mkichakachua huu mwaka utakuwa mbaya sana kuwahi kutokea kwa wanachama/kada wa CCM. Juzi tu tuliona wanachama wa CCM wakizomewa pale K/koo, kule Mtwara tulishuhudia nyumba za wanavyama na viongozi na ofisi za CCM zikichomwa moto.. Hiyo ni tafsiri ni kwa kiasi gani mnachukiwa. Sasa na hizi ngonjera za kina Slaa na Lipumba ndio zinawaongezea hasira zaidi kwamba watu tuliowaamini wataiondoa CCM kwa boksi la kura wanatugeuka ghafla tena tukibakiza safari ndogo, hapo sasa ndio wenyewe wataamua kuingia barabarani. Siombei haya, lakini tutayaona kama mtaendelea kufanya fitna zenu kuivuruga UKAWA.
Wewe nani?
Simshauri kurudi. Kurudi itakua anafanya uamuzi wa hovyo kabisa katika maisha yake. Ni vizuri afanye kama mwenzake Lipumba sisi haturudi nyuma.
Dr. Slaa Umeshafanya kosa la kususa, NAKUSHAURI USIFANYE KOSA LA KURUDI..
Naaimini umenisoma ila tangaza haraka sana ili iwe ni rasmi.
Mnyika naye akijitoa ila watu walimuuliza kwa umri wake na alipofika kisiasa anadhani atakuwa anafanya jambo sahihi? Akachanganya na zake akaamua kurudi.
Kuna mambo mazito sana Watu hawayajui kuhusu Lowasa
Dr anayafahamu
Lipumba ameyafahamu
Ndio maana Lipumba kachukua maamuzi hayo
Ndio maana Dr alishachukua maamuzi hayo
Lowasa ana mambo mazito nyie acheni tu...hata wewe ukiambiwa hapa hautamsapoti tena
Dr kwa alivyonieleza....Namuunga mkono...Aende tu
Unajua who was behind utekaji,Utesaji na mabomu miaka hii mitano iliyopita?
Mkuu sasa tukisema Dr. Slaa ni mnafki tunakosea (kama hayo unayoyasema ni kweli)
Alikuwa anapigania Watanzania wote ili CCM itoke madarakani, sasa kwanini na yeye sasahivi hasikilizi hizo sauti za Watanzania kama kweli alikuwa na uchungu nazo?? Wanavyama wa UKAWA na Watanzania wengi kwa ujumla wanataka CCM iondoke, kwanini yeye anatusaliti?? Sisi Watanzania tumemridhia huyo Lowassa kwanini yeye hatusikilizi?? Nilidhani ni CDM pekee ndio inaupigania UKAWA lakini jana na juzi nimeona live kwenye TV wanachama wa CUF wakimrushia maneno mazito aliyekuwa mwenyekiti wao LIPUMBA.. Hicho pekee kinaonyesha ni kwa jinsi gani watu wanautegemea UKAWA uwakomboe..
Mimi ningeona Dr. Slaa kama anasema kuna jambo halikuwa sawa, angesaidiana na wenzake kuiondoka CCM kwanza then mwishoni wawe wameshindwa au wameshinda ndio angefanya hayo maamuzi. Angeheshimika sana kwa hilo na daima asingesahaulika na Watanzania. Hii kukimbia nchi na kwenda kuishi huko mbali ni unafki uliopitiliza, askari anafia vitani na kamwe harudi nyuma.
Lakini nikuweke sawa tu, Wananchi wanaitegemea sana UKAWA iwaondolee CCM, hao UKAWA wakizingua au nyie CCM mkichakachua huu mwaka utakuwa mbaya sana kuwahi kutokea kwa wanachama/kada wa CCM. Juzi tu tuliona wanachama wa CCM wakizomewa pale K/koo, kule Mtwara tulishuhudia nyumba za wanavyama na viongozi na ofisi za CCM zikichomwa moto.. Hiyo ni tafsiri ni kwa kiasi gani mnachukiwa. Sasa na hizi ngonjera za kina Slaa na Lipumba ndio zinawaongezea hasira zaidi kwamba watu tuliowaamini wataiondoa CCM kwa boksi la kura wanatugeuka ghafla tena tukibakiza safari ndogo, hapo sasa ndio wenyewe wataamua kuingia barabarani. Siombei haya, lakini tutayaona kama mtaendelea kufanya fitna zenu kuivuruga UKAWA.
Sasa kama mmemsaliti yeye afanyeje hapo?
Kuna mambo mazito sana Watu hawayajui kuhusu Lowasa
Dr anayafahamu
Lipumba ameyafahamu
Ndio maana Lipumba kachukua maamuzi hayo
Ndio maana Dr alishachukua maamuzi hayo
Lowasa ana mambo mazito nyie acheni tu...hata wewe ukiambiwa hapa hautamsapoti tena
Dr kwa alivyonieleza....Namuunga mkono...Aende tu
Unajua who was behind utekaji,Utesaji na mabomu miaka hii mitano iliyopita?
Mkuu Wewe Ndiyo Leo Unajua au Kutambua Kuwa Watanzania Ni WANAFIKI TULIOTUKUKA? Hao Wote Uliowanukuu Hapo Majuzi Ndiyo Walikuwa Wanamdhihaki Mno Dr.Slaa Leo Ghafla Wamegeuka. Namshukuru Sana Mwenyezi Mungu Kupitia Mwanae Wa Kipekee Yesu Kristo KUNIONYESHA Na KUNITAKA Niwe Mwana CCM DAIMA Hadi Hapo ATAKAPOKUJA KUNICHUKUA Kutoka Huku Duniani Na Kwenda Na Kadi Yangu Ya CCM Paradiso.
Kuna mambo mazito sana Watu hawayajui kuhusu Lowasa
Dr anayafahamu
Lipumba ameyafahamu
Ndio maana Lipumba kachukua maamuzi hayo
Ndio maana Dr alishachukua maamuzi hayo
Lowasa ana mambo mazito nyie acheni tu...hata wewe ukiambiwa hapa hautamsapoti tena
Dr kwa alivyonieleza....Namuunga mkono...Aende tu
Unajua who was behind utekaji,Utesaji na mabomu miaka hii mitano iliyopita?
ukweli uliozungumza sitaki niseme kitu hongera kama unajua haya.
[/QUOTE][
Tunakushauri tu,kamnadi Magufuli,
Wewe uliyemtukana Dr.slaa na ccm yako kuwa hana Elimu,hana mke,chama chake cha kikilristo ni padre Leo unajifanya ccm mnampenda sana Dr.slaa?
Ccm tuambieni ajali ya Mv Bukoba wahanga mliwapa bima ipi?
Watu wanaombwa rushwa barabarani na traffic mmechukua hatua gani?
Wagombea wanatoa rushwa mnataka kuongoza nani?
walio uza nchi ni akina nani, Lowasa au wale wanao uza meno ya tembo wametumalizia tembo wetu na wanaopakia twiga wazima kusafirisha na walio uza vitalu vya mafuta vya mtwara kwa wachina baada ya watoto wao kutaka kunyongwa huko china baada ya kukamatwa madawa ya kulevya. Heb kuwen na akili hata kidogo, msijidai ni matahira japo kuwa hatuna uhakika kuwa ninyi ni matahira. Mwacheni Lowassa, kwani kawabana nini? yeye si katoka kawaachia hicho chama chenu?Dr Slaa hawezi kushiriki dhambi ya kuiuza nchi kwa lowassa na kishudia watz wakitaabika zaidi kwa unyama atakaotenda mtu asiye na huruma na tz