Dk. Slaa kurejea ofisini CHADEMA

Dk. Slaa kurejea ofisini CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Mkuu sasa tukisema Dr. Slaa ni mnafki tunakosea (kama hayo unayoyasema ni kweli)

Alikuwa anapigania Watanzania wote ili CCM itoke madarakani, sasa kwanini na yeye sasahivi hasikilizi hizo sauti za Watanzania kama kweli alikuwa na uchungu nazo?? Wanavyama wa UKAWA na Watanzania wengi kwa ujumla wanataka CCM iondoke, kwanini yeye anatusaliti?? Sisi Watanzania tumemridhia huyo Lowassa kwanini yeye hatusikilizi?? Nilidhani ni CDM pekee ndio inaupigania UKAWA lakini jana na juzi nimeona live kwenye TV wanachama wa CUF wakimrushia maneno mazito aliyekuwa mwenyekiti wao LIPUMBA.. Hicho pekee kinaonyesha ni kwa jinsi gani watu wanautegemea UKAWA uwakomboe..

Mimi ningeona Dr. Slaa kama anasema kuna jambo halikuwa sawa, angesaidiana na wenzake kuiondoka CCM kwanza then mwishoni wawe wameshindwa au wameshinda ndio angefanya hayo maamuzi. Angeheshimika sana kwa hilo na daima asingesahaulika na Watanzania. Hii kukimbia nchi na kwenda kuishi huko mbali ni unafki uliopitiliza, askari anafia vitani na kamwe harudi nyuma.

Lakini nikuweke sawa tu, Wananchi wanaitegemea sana UKAWA iwaondolee CCM, hao UKAWA wakizingua au nyie CCM mkichakachua huu mwaka utakuwa mbaya sana kuwahi kutokea kwa wanachama/kada wa CCM. Juzi tu tuliona wanachama wa CCM wakizomewa pale K/koo, kule Mtwara tulishuhudia nyumba za wanavyama na viongozi na ofisi za CCM zikichomwa moto.. Hiyo ni tafsiri ni kwa kiasi gani mnachukiwa. Sasa na hizi ngonjera za kina Slaa na Lipumba ndio zinawaongezea hasira zaidi kwamba watu tuliowaamini wataiondoa CCM kwa boksi la kura wanatugeuka ghafla tena tukibakiza safari ndogo, hapo sasa ndio wenyewe wataamua kuingia barabarani. Siombei haya, lakini tutayaona kama mtaendelea kufanya fitna zenu kuivuruga UKAWA.

Kuna mambo mazito sana Watu hawayajui kuhusu Lowasa

Dr anayafahamu

Lipumba ameyafahamu

Ndio maana Lipumba kachukua maamuzi hayo

Ndio maana Dr alishachukua maamuzi hayo

Lowasa ana mambo mazito nyie acheni tu...hata wewe ukiambiwa hapa hautamsapoti tena

Dr kwa alivyonieleza....Namuunga mkono...Aende tu

Unajua who was behind utekaji,Utesaji na mabomu miaka hii mitano iliyopita?
 
  • Thanks
Reactions: gsu
Simshauri kurudi. Kurudi itakua anafanya uamuzi wa hovyo kabisa katika maisha yake. Ni vizuri afanye kama mwenzake Lipumba sisi haturudi nyuma.

Dr. Slaa Umeshafanya kosa la kususa, NAKUSHAURI USIFANYE KOSA LA KURUDI..
Naaimini umenisoma ila tangaza haraka sana ili iwe ni rasmi.
Mnyika naye akijitoa ila watu walimuuliza kwa umri wake na alipofika kisiasa anadhani atakuwa anafanya jambo sahihi? Akachanganya na zake akaamua kurudi.

Hizi ni habari za magazeti...Dr hana Mpango wa kurudi
 
Kuna mambo mazito sana Watu hawayajui kuhusu Lowasa

Dr anayafahamu

Lipumba ameyafahamu

Ndio maana Lipumba kachukua maamuzi hayo

Ndio maana Dr alishachukua maamuzi hayo

Lowasa ana mambo mazito nyie acheni tu...hata wewe ukiambiwa hapa hautamsapoti tena

Dr kwa alivyonieleza....Namuunga mkono...Aende tu

Unajua who was behind utekaji,Utesaji na mabomu miaka hii mitano iliyopita?


hahahahahaha seriously this is so funny..

Have a nice day brother.. PEACE !
 
Mbona walivyo ulizwa wamefata nini kwa slaa wakasema wamepita kumsalumu na sio kumuomba arudi ofisini. Kila kukicha mnatuletea hadithi tofauti wakati ukweli unajulikana.
 
Mkuu sasa tukisema Dr. Slaa ni mnafki tunakosea (kama hayo unayoyasema ni kweli)

Alikuwa anapigania Watanzania wote ili CCM itoke madarakani, sasa kwanini na yeye sasahivi hasikilizi hizo sauti za Watanzania kama kweli alikuwa na uchungu nazo?? Wanavyama wa UKAWA na Watanzania wengi kwa ujumla wanataka CCM iondoke, kwanini yeye anatusaliti?? Sisi Watanzania tumemridhia huyo Lowassa kwanini yeye hatusikilizi?? Nilidhani ni CDM pekee ndio inaupigania UKAWA lakini jana na juzi nimeona live kwenye TV wanachama wa CUF wakimrushia maneno mazito aliyekuwa mwenyekiti wao LIPUMBA.. Hicho pekee kinaonyesha ni kwa jinsi gani watu wanautegemea UKAWA uwakomboe..

Mimi ningeona Dr. Slaa kama anasema kuna jambo halikuwa sawa, angesaidiana na wenzake kuiondoka CCM kwanza then mwishoni wawe wameshindwa au wameshinda ndio angefanya hayo maamuzi. Angeheshimika sana kwa hilo na daima asingesahaulika na Watanzania. Hii kukimbia nchi na kwenda kuishi huko mbali ni unafki uliopitiliza, askari anafia vitani na kamwe harudi nyuma.

Lakini nikuweke sawa tu, Wananchi wanaitegemea sana UKAWA iwaondolee CCM, hao UKAWA wakizingua au nyie CCM mkichakachua huu mwaka utakuwa mbaya sana kuwahi kutokea kwa wanachama/kada wa CCM. Juzi tu tuliona wanachama wa CCM wakizomewa pale K/koo, kule Mtwara tulishuhudia nyumba za wanavyama na viongozi na ofisi za CCM zikichomwa moto.. Hiyo ni tafsiri ni kwa kiasi gani mnachukiwa. Sasa na hizi ngonjera za kina Slaa na Lipumba ndio zinawaongezea hasira zaidi kwamba watu tuliowaamini wataiondoa CCM kwa boksi la kura wanatugeuka ghafla tena tukibakiza safari ndogo, hapo sasa ndio wenyewe wataamua kuingia barabarani. Siombei haya, lakini tutayaona kama mtaendelea kufanya fitna zenu kuivuruga UKAWA.

Sasa kama mmemsaliti yeye afanyeje hapo?
 
Sasa kama mmemsaliti yeye afanyeje hapo?

My four paragraph essay doesn't deserve such a shit comment..

Kama unajua kusoma vizuri na una uelewa soma then uje na hoja..

Kila kitu nimekiongea hapo, na jibu lako lipo ndani ya hicho nilichokiongea..
 
Kuna mambo mazito sana Watu hawayajui kuhusu Lowasa

Dr anayafahamu

Lipumba ameyafahamu

Ndio maana Lipumba kachukua maamuzi hayo

Ndio maana Dr alishachukua maamuzi hayo

Lowasa ana mambo mazito nyie acheni tu...hata wewe ukiambiwa hapa hautamsapoti tena

Dr kwa alivyonieleza....Namuunga mkono...Aende tu

Unajua who was behind utekaji,Utesaji na mabomu miaka hii mitano iliyopita?

Acha kujidharirisha wewe pimbi, tangu asubuhi unakata viuno hapa kujifanya unamjuwa Dr Slaa, wewe unamjuwa Slaa kuliko Josephine wanayelala kitanda kimoja? Au wewe ni nyumba ndogo ya Dr Slaa?
 
Dr Slaa hawezi kushiriki dhambi ya kuiuza nchi kwa lowassa na kishudia watz wakitaabika zaidi kwa unyama atakaotenda mtu asiye na huruma na tz
 
Mkuu Wewe Ndiyo Leo Unajua au Kutambua Kuwa Watanzania Ni WANAFIKI TULIOTUKUKA? Hao Wote Uliowanukuu Hapo Majuzi Ndiyo Walikuwa Wanamdhihaki Mno Dr.Slaa Leo Ghafla Wamegeuka. Namshukuru Sana Mwenyezi Mungu Kupitia Mwanae Wa Kipekee Yesu Kristo KUNIONYESHA Na KUNITAKA Niwe Mwana CCM DAIMA Hadi Hapo ATAKAPOKUJA KUNICHUKUA Kutoka Huku Duniani Na Kwenda Na Kadi Yangu Ya CCM Paradiso.




Niweke wazi ukiona mtu anasema Dr.slaa kajiondoa kwa sababu ya chadema na Mbowe kumleta Lowassa huyo ni ccm

Ukiona mtu anahangaika kusema Dr.slaa kaonewa alikua anafaa,amekipigania chama leo mtu asiyekisotea chama apewe nafasi ujue huyo ni ccm
Hata ukiona mtu na akili zake na nguo zake anasema Lipumba kasema Ukweli Maadili yamekiukwa huyo ni ccm
 
Kuna mambo mazito sana Watu hawayajui kuhusu Lowasa

Dr anayafahamu

Lipumba ameyafahamu

Ndio maana Lipumba kachukua maamuzi hayo

Ndio maana Dr alishachukua maamuzi hayo

Lowasa ana mambo mazito nyie acheni tu...hata wewe ukiambiwa hapa hautamsapoti tena

Dr kwa alivyonieleza....Namuunga mkono...Aende tu

Unajua who was behind utekaji,Utesaji na mabomu miaka hii mitano iliyopita?

ukweli uliozungumza sitaki niseme kitu hongera kama unajua haya.
 
[
Tunakushauri tu,kamnadi Magufuli,
Wewe uliyemtukana Dr.slaa na ccm yako kuwa hana Elimu,hana mke,chama chake cha kikilristo ni padre Leo unajifanya ccm mnampenda sana Dr.slaa?

Ccm tuambieni ajali ya Mv Bukoba wahanga mliwapa bima ipi?
Watu wanaombwa rushwa barabarani na traffic mmechukua hatua gani?

Wagombea wanatoa rushwa mnataka kuongoza nani?


QUOTE=Freeland;13549137]Kuna mambo mazito sana Watu hawayajui kuhusu Lowasa

Dr anayafahamu

Lipumba ameyafahamu

Ndio maana Lipumba kachukua maamuzi hayo

Ndio maana Dr alishachukua maamuzi hayo

Lowasa ana mambo mazito nyie acheni tu...hata wewe ukiambiwa hapa hautamsapoti tena

Dr kwa alivyonieleza....Namuunga mkono...Aende tu

Unajua who was behind utekaji,Utesaji na mabomu miaka hii mitano iliyopita?[/QUOTE]
 
Akirudi mafisadi watafute mlango wa kutokea mapema maana watakumbwa na mafuriko
 
ukweli uliozungumza sitaki niseme kitu hongera kama unajua haya.

Ccm mjifunze siasa za kisayansi,Lowassa jembe!!!

Propaganda mara kanunua chama,mara kahonga viongozi,mara mabomu who was behind kama mlijua kuwa alishiriki kwa nini hamkumkamata?


Kama mlishindwa kukamata walioiba EPA,kama mlishindwa kumshitaki mwizi wa Escrow,kama mlishindwa kushughulikia wauza unga mkabaki na orodha Ikulu

Mnawezaje kutuaminisha ujinga huu hata mtoto wa chekechea?
 
[
Tunakushauri tu,kamnadi Magufuli,
Wewe uliyemtukana Dr.slaa na ccm yako kuwa hana Elimu,hana mke,chama chake cha kikilristo ni padre Leo unajifanya ccm mnampenda sana Dr.slaa?

Ccm tuambieni ajali ya Mv Bukoba wahanga mliwapa bima ipi?
Watu wanaombwa rushwa barabarani na traffic mmechukua hatua gani?

Wagombea wanatoa rushwa mnataka kuongoza nani?
[/QUOTE]

Ukinionesha ni wapi nimewahi kuyatamka hayo nitakuelewa

Usinizushie

Mimi sio mpenzi wa siasa nyepesi na za majitaka
 
Dr Slaa hawezi kushiriki dhambi ya kuiuza nchi kwa lowassa na kishudia watz wakitaabika zaidi kwa unyama atakaotenda mtu asiye na huruma na tz
walio uza nchi ni akina nani, Lowasa au wale wanao uza meno ya tembo wametumalizia tembo wetu na wanaopakia twiga wazima kusafirisha na walio uza vitalu vya mafuta vya mtwara kwa wachina baada ya watoto wao kutaka kunyongwa huko china baada ya kukamatwa madawa ya kulevya. Heb kuwen na akili hata kidogo, msijidai ni matahira japo kuwa hatuna uhakika kuwa ninyi ni matahira. Mwacheni Lowassa, kwani kawabana nini? yeye si katoka kawaachia hicho chama chenu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom