Dk. Slaa kurejea ofisini CHADEMA

Dk. Slaa kurejea ofisini CHADEMA

Status
Not open for further replies.
sheeeeeeeda! kwelikweli "SI HASA"kweli ni balaa leo utasikia hili kesho lile lkn mpaka october 30 zitabaki kelele za kuibiana kura tu mengineyo yatakua yameisha.
 
Ccm haiko fair. Imeingiza Tim (a)makufuli (b) lowassa (c) khaji duni . chedema 0.nccr 0.nld 0.
 
Binafsi kama mwenye mapenzi ya kitaifa sina hamu tena na DK Slaa kama ameamua kunywa matapishi yake mwenywewe basi HESHIMA Yangu kwake imekuwa ZERO...Sasa hivi heshima yangu iko kwa LIPUMBA kwa kusimamia DHAMIRA [WILL] na sio MATAMANIO YA VISHIKIKAVYO YANI HUMAN MATERIAL.

We ----- kweli, lipumba kapigwa hela na ndiyo maana kakimbia na nchi; hiyo ni mbinu ya ccm kutaka kuwadhoofisha ukawa, ila imegonga mwamba, ukawa ni wananchi siyo lipumba
 
Binafsi kama mwenye mapenzi ya kitaifa sina hamu tena na DK Slaa kama ameamua kunywa matapishi yake mwenywewe basi HESHIMA Yangu kwake imekuwa ZERO...Sasa hivi heshima yangu iko kwa LIPUMBA kwa kusimamia DHAMIRA [WILL] na sio MATAMANIO YA VISHIKIKAVYO YANI HUMAN MATERIAL.

Tangu lini unamuuga mkono Slaa?
 
mkuu sana tetty usiseme hivyo lumumba tumejipanga vilivyoo....!

Umejipanga kwa PESA za UMMA KUHONGA viongozi wa UPINZANI you are so Stu......!Yaani hamfai hata kidogo.Chezeni mpira with FAIR Ground!!!!!!!Acheni ujinga wa kuhonga viongozi ni aibu kubwa.........Pole haji ng'oooooooooooooooooooo huko haji ,hata mwanangu wa miaka tisa ukimpa hesabu hii anashinda...

Hebu fikiria CDM kaingia FISADI mmoja tu huko kwenu wamebaki mafisadi lukuki,wazee wa madawa ya kulevya,majingili yaani ni aibu kusema,wazee wa ESCROW akiongozwa na Mwenyekigoda..........Bado unawaza eti Dr.Slaa atakuja huko duh!!!!!!!Kama Fisi vile akisubiri mkono wa binadamu udondoke.................Pole sana anaweza kuondoka CDM lakini kuhamia CCM hata mfunge Ramadhani ya Mwaka mzima HAJIIIIIIIIIIIIIIII NG'OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO pesa hizo waoneeni huruma wafanyakazi wa serikalini hawajalipwa....Mmekula imetoshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Unajua nyie NYINYIEM ndiyo mliowafanya VIJANA wakubali hata kumpigia Kura Fisadi kwa sababu wamewachokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mwaka huuu MKATWEEEEEEEEEEEE TUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
 
We ----- kweli, lipumba kapigwa hela na ndiyo maana kakimbia na nchi; hiyo ni mbinu ya ccm kutaka kuwadhoofisha ukawa, ila imegonga mwamba, ukawa ni wananchi siyo lipumba

Yaani Mwenyekiti amechanganyikiwa baada ya deal kutofanikiwa kaishia kusema ....Wapinzani Mtakiona cha Mtema kuni.........'Itabidi atuambie alikuwa anamaana gani kabla ya uchaguzi kuanza..............
 
slaa awekwe chini ya uangalizi maalum.haaminiki tena.

Kama ulivyo wewe..........Hivi nilitoa Ofa ya Tshirt za CDM nikuletee wapi?Maana ni zawadi baada ya kuamua kubadili dini yako ya CCM kwenda CDM
 
Umejipanga kwa PESA za UMMA KUHONGA viongozi wa UPINZANI you are so Stu......!Yaani hamfai hata kidogo.Chezeni mpira with FAIR Ground!!!!!!!Acheni ujinga wa kuhonga viongozi ni aibu kubwa.........Pole haji ng'oooooooooooooooooooo huko haji ,hata mwanangu wa miaka tisa ukimpa hesabu hii anashinda...

Hebu fikiria CDM kaingia FISADI mmoja tu huko kwenu wamebaki mafisadi lukuki,wazee wa madawa ya kulevya,majingili yaani ni aibu kusema,wazee wa ESCROW akiongozwa na Mwenyekigoda..........Bado unawaza eti Dr.Slaa atakuja huko duh!!!!!!!Kama Fisi vile akisubiri mkono wa binadamu udondoke.................Pole sana anaweza kuondoka CDM lakini kuhamia CCM hata mfunge Ramadhani ya Mwaka mzima HAJIIIIIIIIIIIIIIII NG'OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO pesa hizo waoneeni huruma wafanyakazi wa serikalini hawajalipwa....Mmekula imetoshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Unajua nyie NYINYIEM ndiyo mliowafanya VIJANA wakubali hata kumpigia Kura Fisadi kwa sababu wamewachokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mwaka huuu MKATWEEEEEEEEEEEE TUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU

Inasikitisha sana badala ya pesa kupelekwa sehemu muhimu wanatumia ili wabaki madarakani. Mungu ni mwema atatuepusha na hili zimwi!
 
Hata mimi nilifurahi sana baada ya kusikia kuwa ataingia ofisini,ikiwa ni pamoja na kuendelea kufanya kazi za chama.
 
Hata mimi nilifurahi sana baada ya kusikia kuwa ataingia ofisini,ikiwa ni pamoja na kuendelea kufanya kazi za chama.
kwani bado hajaingia mpka usiku huu
basi km hajavuta naye mshiko asubuhi atakuwepo msikate tamaa

 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom