Dr Slaa keshaingia ofisini au ni kesho tena maana mkimsingizia Mke ni chuki zenu
soma Warumi 13:1-2
- Kila mtu na atii Mamlaka iliyo kuu, kwa maana hakuna mamlaka isiyo toka Mungu, na ile iliyopo omeamriwa na Mungu.
- Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu nao washindanao watajipatia hukumu.
Mstari wa 6 unazungumzila 'walipeni Kodi, walipeni ushuru,astahiliye Hofu, hofu, astahiliye heshima, heshima
Ukiona Mamlaka inayotoa ROHO za BINADAMU WENZAKE,wezi wa maliza umma,walarushwa wakubwa,mafisadi wanaotisha.Chukina dharau kwawatanzania.Wanaodhani wao ndiyo pekee wenye uwezo wa kuongoza,basi ujue hakuna utawala tena.
Hata Waisraeli watawala wao walipofika kama huyu wakwetu waliadhibiwa sana,walinyang'anywa ufalme na hata kuuawa.Na huyu je?Anastahili ya kuhemiwa?Bora nikaheshimu na kumtii jiwe kuliko huyu tuliyenaye...
Anayeabudu CHUKI ambayo anaitandaza mpaka kwa raia.Uanayeua watu wake na kujilimbikizia mali kwa kupitiliza.
Bado hujanijibu swali langu la Msingikabisa...Utawala uliofitinika,utawala wenye majungu na chuki,visasi,rushwa,ufisadi ,madawaya kulevya,mauaji ya hata watotowasio na hatia kisa rangi ya ngozi yao,ulemavu wa ngozi yao...Ndiyo utawala unaoataka tuuheshimu?Utawala huu ndiyo uansema tuutii?
Pole hakuna cha kitu hapo.Angejiheshimuna sisi tungemuheshimu,angetuona na sisi ni binadamu basi tungemsikiliza!
Hawa hata Shetani atawakimbia jinsi walivyowaovu.Wamemzidi hata FIRAUNI...