Dk. Slaa kurejea ofisini CHADEMA

Dk. Slaa kurejea ofisini CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Post #135 @xenaxena amemquote Freeland na wewe uliyejibu post #138 ni Addict, huu ni mshangao mna uhusiano gani? Moderator angalieni hii kitu
 
Last edited by a moderator:
Nikiwa kwenye daladala kama nilimwona vile.........!
 
kuna mambo mazito sana watu hawayajui kuhusu lowasa

dr anayafahamu

lipumba ameyafahamu

ndio maana lipumba kachukua maamuzi hayo

ndio maana dr alishachukua maamuzi hayo

lowasa ana mambo mazito nyie acheni tu...hata wewe ukiambiwa hapa hautamsapoti tena

dr kwa alivyonieleza....namuunga mkono...aende tu

unajua who was behind utekaji,utesaji na mabomu miaka hii mitano iliyopita?

siasa ndivyo ilivyo haina mwenyewe.....acha kuwa jiwe lisilo na thamani lakini halina haki ya kujongea!
 
Mungu tusaidie watanzania mwaka huu wa uchaguzi utusimamie viongozi wetu wapate kuwa wavumilivu wa kisiasa maana tunawakati mgumu sana dhidi wapinzani wetu ccm .ccm wanatumia kila mbinu kutugawa watanzania na viongozi wetu ili tufarekane tusiwe wamoja tena kisiasa
 
Binafsi kama mwenye mapenzi ya kitaifa sina hamu tena na DK Slaa kama ameamua kunywa matapishi yake mwenywewe basi HESHIMA Yangu kwake imekuwa ZERO...Sasa hivi heshima yangu iko kwa LIPUMBA kwa kusimamia DHAMIRA [WILL] na sio MATAMANIO YA VISHIKIKAVYO YANI HUMAN MATERIAL.
 
Warmly welcome Dr slaa,hakika tunahitaji mchango wako,bila wewe tutaweweseka sana,na maadui zetu watatusumbua
 
Mkuu nyamaza tu

Tukubaliane na Ukweli kwamba Dr Hatarudi tena

Tumtakie Heri katika maisha yake nje ya Siasa

Dr is resigning from Politics

Amesema tusimsemee ana mdomo,macho,masikio na miguu yake.Lady Jaydee alisema ...'Usiusemee Moyo wa mtu

Pili tunajua mnatamani sana Dr.slaa atoke CDM sasa hata huko CHICHIEM hawezi kuja.Anasema ni bora huyu mmoja anawezakumuokoa,pili anaogopa kuwa JAMBAZI.

Mko kamafisi asubiriaye mkono wa binadamu udondoke.

Shida yenu mlikuwa mnatarajia basi Prof Lipumba akitoka tu UKAWA kwishney,mmebakina AIBU....Niliwaasa mapema ,sisi wanandugu tukigombana chukueni majembe mkalime ili tukipatana mje kuchukua makapu mkavune,mnaona sasa kulima hamkulima mmebaki kuongea umbea tuuuuuuuuuuuu, mmetufitinisha sasa mwaona AIBu oh Dr or hiki....Tuacheni na nyumba yetu,jengeni ya kwenu!!!!!!!!!
 
Binafsi kama mwenye mapenzi ya kitaifa sina hamu tena na DK Slaa kama ameamua kunywa matapishi yake mwenywewe basi HESHIMA Yangu kwake imekuwa ZERO...Sasa hivi heshima yangu iko kwa LIPUMBA kwa kusimamia DHAMIRA [WILL] na sio MATAMANIO YA VISHIKIKAVYO YANI HUMAN MATERIAL.

Amehamia CCJ aka CCK umfuate..........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom