mgosi9
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,581
- 261
hatukubali tumepoteza jembe letu professa lipumba na nyinyi mumpoteze hivyo hivyo Slaa haki sawa kwa wote.
hahaha! we una matatizo sio bure
hatukubali tumepoteza jembe letu professa lipumba na nyinyi mumpoteze hivyo hivyo Slaa haki sawa kwa wote.
hahaha! we una matatizo sio bure
Karibu sana baba yetu tunakukubali.
Dr Slaa hana mpango wa kurejea CHADEMA
Source: Mimi nimeongea nae
Sahizi saa5 bado tu hajaenda?
karibu kamanda ili wana wa lumumba wawashwe zaidi
Acheni kufuata propaganda za gazeti la Bashe,Mtanzania
Dr Slaa hana mpango na wala hatarajii muujiza wa kurudi Ofisini,kwa majukumu ya katibu Mkuu wa Chama
Dr Slaa ameshaandika barua ya kujiuzulu nyadhifa zote za chama na amekabidhi ofisi yake rasmi.....
Kinachosubiriwa ni majibu kutoka Uongozi wa Chama
Dr Ni mtu makini...Hakurupuki.......
Wazee walienda kuongea nae kumsihi abaki kuwa kimya....
Hizi habari ninazotoa ni za uhakika...Nimeongea nae uso kwa uso asubuhi ya leo
Nyie nyumbu juzi tu mlikuwa mnamtukana yeye na familiayake...leo mnasema anarudi?? Wanafiki wakubwa nyie
Huna hadhi ya kuongea na Dr. Slaa wewe
Mwambieni Edward Lowassa "akafanye " Mazungumzo na Josephine Mushumbuz nawahakikishia Siku inayofata mtamkuta Dr.anasubiri Mlinzi aje afungue Geti aingie Ofisini.
Huna hadhi ya kuongea na Dr. Slaa wewe
Mie nasikia za Chini Chini Dr wetu anafanya mazungumzo na CCM ili arudi huko
Baada ya hapo Lipumba anafatia.
Ni tetezi tu ..
......Wewe ni Josephine au demu wake mwingine?
Peoplessssss
Mie nasikia za Chini Chini Dr wetu anafanya mazungumzo na CCM ili arudi huko
Baada ya hapo Lipumba anafatia.
Ni tetezi tu ..