Dk. Slaa kurejea ofisini CHADEMA

Dk. Slaa kurejea ofisini CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Makene umeibukia wapi? bado una imani Dr. anarudi ofisini? ukumbuke Dr. alituonya tuwapuuze nyie vijana wa UFIPA, angalia na wewe Dr. asije akakushukia. tumeshawagundua hakuna hata jambo moja mlilowahi kuripoti juu ya sakata lenu hili na SLAA.
 
Mwambieni Edward Lowassa "akafanye " Mazungumzo na Josephine Mushumbuz nawahakikishia Siku inayofata mtamkuta Dr.anasubiri Mlinzi aje afungue Geti aingie Ofisini.
 
Mwambieni Edward Lowassa "akafanye " Mazungumzo na Josephine Mushumbuz nawahakikishia Siku inayofata mtamkuta Dr.anasubiri Mlinzi aje afungue Geti aingie Ofisini.

Hahaha
 
Tumaini MAEKENE afisa propaganda wa CHADEMA anazidi kuwafariji siyo?
Wewew TataMadiba umemeza malimaooo yateme basi uongee vizuri maana unashabikia sana magazeti ya udaku kama vile mdaku original. Jiunge na Team wema mkapambe magazeti ya udaku.
 
Sijawahi kuona Prof. anaye-Dessa ... Professor Lipumba umedessa kwa Dr. Slaa sasa imekula kwako
 
Mwanzoni huyo Makene alisema Dr Slaa yuko ofisini anaendelea na majukumu yake ya kuandaa kikao cha CC, na kwamba walikuwa wamegawana majukumu. Sasa haya madai ya kwamba Dr Slaa anarudi ofisini yanatoka wapi wakati tulishaambiwa kuwa yuko ofisini? Mficha maradhi kifo kitamuumbua! Vipande thelathini walivyokula Mbowe na walafi wenziwe vinauwa CHADEMA na vinaharibu ustawi mzima za vyama vya upinzani. Lowassa hawajahi kukaa mahali watu wakabakia salama, lazima wagawanyike!
 
Mambo yanaiva UKAWA, Mzee wetu Slaa rejea CDM
 
Kama walimpumzisha wenyewe inakuwaje tena waongozane kwenda kufanya mazungumzo ya kumshauri arudi kazini? Acheni utoto!!! Hakuna hata mmoja kati yenu ajayeweza kumnadi lowasa tofauti na Dr Slaa.
 
hatukubali tumepoteza jembe letu professa lipumba na nyinyi mumpoteze hivyo hivyo Slaa haki sawa kwa wote.
 
halafu huyu mzee sura yake inatisha mtoto akimuona lazma alie,chezea kuzini na mke wa mtu na kujihalalishia infact pia gongo inammaliza huyu mzee
 
Acheni kufuata propaganda za gazeti la Bashe,Mtanzania

Dr Slaa hana mpango na wala hatarajii muujiza wa kurudi Ofisini,kwa majukumu ya katibu Mkuu wa Chama

Dr Slaa ameshaandika barua ya kujiuzulu nyadhifa zote za chama na amekabidhi ofisi yake rasmi.....

Kinachosubiriwa ni majibu kutoka Uongozi wa Chama

Dr Ni mtu makini...Hakurupuki.......

Wazee walienda kuongea nae kumsihi abaki kuwa kimya....

Hizi habari ninazotoa ni za uhakika...Nimeongea nae uso kwa uso asubuhi ya leo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom