unaonekana una matatizo binafsi na Dk. Slaa, kwani yeye amesomea na lishalijibu na kutoa ushahidi kwa vyombo vya habari. udk. wake kama sijasahau alispecialize ktk canon law
kama huna taarifa usiwe kama kunguru au kasutu, uliza upatiwe taarifa ili ujibu suala kwa uhakika
utakoma na ulalamishi wenu
Kama anatudanganya tusisema kwakuwa wapo wengine wanadanganya....!
Unapigwa nini!
upo sawa mkuu,muda mwingine njia bora ya kuwasilisha mawazo/maoni ni kukaa kimya...mtu anakurupuka,amekariri u'dokta ni wa magonjwa tu.
mnapigwa nyie tena na mahabusu kule segerea...
kumbe mnamihemko hivi kama ng'ombe anataka dume
siasa ni uvumulivu na si matusi kama yako...unaonekana hata ndoa yako ina matatizo huko ulikoolewa utaachika muda si mrefu
mnapigwa nyie tena na mahabusu kule segerea...
kumbe mnamihemko hivi kama ng'ombe anataka dume
siasa ni uvumulivu na si matusi kama yako...unaonekana hata ndoa yako ina matatizo huko ulikoolewa utaachika muda si mrefu
Anatoa tuhuma zisizo na ushahidi....! ama haujasoma vizuri kwa mleta uzi
Mandown unakosea sana, we unafiri mtu akitaka kukudhuru ni lazima uwe na ushahdi? Au unataka hadi wamng'oe kucha, wamtoe macho ndo uamini?
Fikiria vizuri kwanza, usishabikie bla kutizama hoja.
Tuwe wakweli jamani, Slaa muongo! Mie naju Kikwete ndie muongo nama1 TZ anasema maisha bora kwa kila Mtz ilihali umasikini umetamalaki nchini.
Kikwete ni muongo aliyekubuhu kwani alituongopea kuwa ANGETENGANISHA SIASA NA WAFANYABIASHARA kwa kupeleka muswada bungeni lakini mpaka leo wafanyabiashara wamejaa bungeni na serikalini!!! Gamba hili halo limemuishia kiunoni ameshindwa kulivua.
Huu ni uongo wa kishetani kabisa!! Laana kum!!