mahakama ya kazi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 1,520
- 243
Huyo ni mfamaji haishi kutapatapa. Nashangaa waandishi wetu kuendelea kumuita dokta ilhali hawajawahi kusomea wala kupewa wa heshima. Au ni kwa kuwa ni Kanjanja mwenzao.
kwani jk anaitwa dokta alisomea wapi? mchimbi mbona aliludi tena darasani baada ya yule jamaa kusema kweli kuwa hakuwa na elimu hiyo?