Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,420
- 4,032
aliwatupia mawe ccm akajisahau na yeye anaishi kwenye jumba la vioo, amebaki kulalama,the strongest survives!
Slaa muongo huyo jamaa,na anawapa sumbu mbaya sana wajinga wake ngoja ashndwe wapa maziwa waone watakavyokata roho
Msafiri Kasan .
Kama hakudanganya angekuwa wazi anawatuhumu nini Usalama wa Taifa
yaani siku hizi JF imekua very funny, wanashindwa hata kujificha kabisa, ni shap-shaaaa wamesharukia thread
TUMEYUMBA SANA AISEE
Naona unamuongelea Jakaya Kikwette maana yeye ndie kanjanja! Soma vizuri...
Bora JK ambaye alipewa udr wa heshima lakini angalau ana bachelor. Huyo Kanjanja hana tofauti na akina Shekhe Ilunga au Farid wenye PHD za islamic laws.
Huyo ni mfamaji haishi kutapatapa. Nashangaa waandishi wetu kuendelea kumuita dokta ilhali hawajawahi kusomea wala kupewa wa heshima. Au ni kwa kuwa ni Kanjanja mwenzao.
unaonekana una matatizo binafsi na Dk. Slaa, kwani yeye amesomea na lishalijibu na kutoa ushahidi kwa vyombo vya habari. udk. wake kama sijasahau alispecialize ktk canon law
kama huna taarifa usiwe kama kunguru au kasutu, uliza upatiwe taarifa ili ujibu suala kwa uhakika
.haka kazee kas...ge kanatufa bwana kwa nguvu
songo zimemuishia, mara uwt wanampa tip offs , mara wanamfuatilia, tuchukue lipi..
Kile kinachoitwa usalama wa taifa chini ya uongozi wa Jk ni wabaya mara kwa wapenda haki mara tano ya alivyokuwa Maliyamungu chini ya utawala wa Idd Amini. Fikiri juu ya waliyotendewa kina Mwakyembe, mwandosi, Ulimboka, Kibanda, wizi mkubwa mkubwa kama Epa, nk hakuna chochote cha maana kilichofanywa na taasisi hii iliyogeuka kuwa chama cha siasa kisichosajiliwa. Sana sana wamekuwa wafanikishaji wa kuwaficha wahusika kwa kueneza propaganda za kisiasa. Nitawalaani usiku na mchana na nitafunga na kuomba Mungu kwa ajili ya ukombozi wa wanyonge kunasuliwa chini ya watawala hawa dhalimu walioungana na dola kuwatafuna raia zake kama mtu alavyo mkate. Nitasimamia neno la Mungu kuwa hakuna amani kwa watendao uovu nione ikiwa Mungu atageuka kuwa kama hawa wadhalimu au ataliheshimu kwa kulitukuza neno lake. Mungu ibariki Tanzania ya wapenda amani kwa kuwatenga kabisa wasiopenda amani hata kizazi chao cha nne.
.
We kweli mpumbavu padri slaa ni raisi wa wapi ?ovyoo kabisa slaa akiwa raisi ni bora nchi ikatike vipande ape we uraisi aw moshi na karatu
Bora JK ambaye alipewa udr wa heshima lakini angalau ana bachelor. Huyo Kanjanja hana tofauti na akina Shekhe Ilunga au Farid wenye PHD za islamic laws.