Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Dr kaongea ukweli,walimu pambana na serikali!
It would better sound "Alitoka kwa Magamba amerudi kwa Magamba"Alitoka kwa mavumbi amerudi kwa mavumbi
Jana wakati npitia vyombo vya habari usiku nilishangzwa na kauli ya Dr Slaa kugeuka kuwa mpiga debe wa Jakaya Kikwete kwakuhamasisha wana igunga wajitokeze kuhesabiwa.
Swali
Kwanzia lini Slaa amekua mpiga debe wa CCM? au yupo kwenye Pay roll ya kikwete?
Karibuni ila tusitukanane jengen hoja
Jana wakati npitia vyombo vya habari usiku nilishangzwa na kauli ya Dr Slaa kugeuka kuwa mpiga debe wa Jakaya Kikwete kwakuhamasisha wana igunga wajitokeze kuhesabiwa.
Swali
Kwanzia lini Slaa amekua mpiga debe wa CCM? au yupo kwenye Pay roll ya kikwete?
Karibuni ila tusitukanane jengen hoja
Jana wakati npitia vyombo vya habari usiku nilishangzwa na kauli ya Dr Slaa kugeuka kuwa mpiga debe wa Jakaya Kikwete kwakuhamasisha wana igunga wajitokeze kuhesabiwa.
Swali
Kwanzia lini Slaa amekua mpiga debe wa CCM? au yupo kwenye Pay roll ya kikwete?
Karibuni ila tusitukanane jengen hoja
Jambo lolote la kupinga maendeleo ambalo chadema hailiungi mkono Slaa lazima alikemee.
slaa ni kada wa CCM mzuri yupo upinzani kwa ajili ya kuyumbisha wapinzani, yupo kwa maslahi ya tumbo lake.