Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Chadema ni chama cha kikuu cha upinzani nchini. ni chama kinachojita ni mbadala wa ccm 2015. lkn cha ajabu sijawahi kusikia viongozi wakuu hasa mkuu wa kupamba na ufisadi akiifanya tu mahusiano na watz wote bila kuangalia dini, kabila na koo.
Lkn tangu 2000- 2010 sijawahi kusikia Chadema kikifanya mawasiliano na mikoa hii, huu ni ujumbe tosha kwamba enapo chadema itafanikiwa kupat 40.5%na CCM 40% na vyama vyengine kugawana % ni wazi tz itakuwa kama Nigeria yaani kusini na kaskazini . hii ni wazi kwamba Chadema inaogopa kuingia zone hiyo ambayo .
jee kukuabalika kwa chadema kwa watz kunatokea wapi?
LINDI
Mkoa wa Lindi Karibu robo ya eneo lake au 18,000 km² ni sehemu ya hifadhi ya wanyama ya Selous.
Mkoa una wilaya sita za Lindi Mjini na Lindi Vijijini, Kilwa, Nachingwea, Liwale na Ruangwa..
Mwaka 2002 idadi ya wakazi ilikuwa 791,306. Karibu asilimia 90 kati hao ndio wakulima. Makabila makubwa zaidi ni hasa Wamwera ambao wanapatikana hasa wilaya ya nachingwea na lindi vijijini katika kata za Rondo halafu Wamachinga ,Wamalaba ambao wako zaidi lindi mjini Wamatumbi na Wangindo huko Kilwa.
Idadi ya wakazi wa wilaya ni (idadi katika mabano): Kilwa (171,850), Lindi Mjini (41,549), Lindi Vijijini (215,764), Liwale (75,546), Nachingwea (162,081), Ruangwa (124,516),
Mkoa wa Pwani
Mkoa wa Pwani una wilaya sita ndizo (idadi ya wakazi katika mabano): Bagamoyo (230,164), Kibaha (132,045), Kisarawe (95,614), Mkuranga (187,428), Rufiji (203,102) na Mafia (40,801).
Mkoa huu una jumla ya majimbo ya uchaguzi yanayofikia (7) ambayo yanajumuisha Bagamoyo, Chalinze, Kibaha, Kisarawe, Mafia, Mkuranga na Rufiji.
Mkoa wa Tanga
WakaziMakabila makubwa mkoani Tanga ni Wasambaa, Wazigua, Wabondei na Wadigo. Wasambaa ndio kabila kubwa lililoko katika milimani ya Usambara, Muheza, Korogwe na Lushoto. Kwa jumla ndio asilimia 40 ya wakazi wote wa mkoa.
Lkn tangu 2000- 2010 sijawahi kusikia Chadema kikifanya mawasiliano na mikoa hii, huu ni ujumbe tosha kwamba enapo chadema itafanikiwa kupat 40.5%na CCM 40% na vyama vyengine kugawana % ni wazi tz itakuwa kama Nigeria yaani kusini na kaskazini . hii ni wazi kwamba Chadema inaogopa kuingia zone hiyo ambayo .
jee kukuabalika kwa chadema kwa watz kunatokea wapi?
LINDI
Mkoa wa Lindi Karibu robo ya eneo lake au 18,000 km² ni sehemu ya hifadhi ya wanyama ya Selous.
Mkoa una wilaya sita za Lindi Mjini na Lindi Vijijini, Kilwa, Nachingwea, Liwale na Ruangwa..
Mwaka 2002 idadi ya wakazi ilikuwa 791,306. Karibu asilimia 90 kati hao ndio wakulima. Makabila makubwa zaidi ni hasa Wamwera ambao wanapatikana hasa wilaya ya nachingwea na lindi vijijini katika kata za Rondo halafu Wamachinga ,Wamalaba ambao wako zaidi lindi mjini Wamatumbi na Wangindo huko Kilwa.
Idadi ya wakazi wa wilaya ni (idadi katika mabano): Kilwa (171,850), Lindi Mjini (41,549), Lindi Vijijini (215,764), Liwale (75,546), Nachingwea (162,081), Ruangwa (124,516),
Mkoa wa Pwani
Mkoa wa Pwani una wilaya sita ndizo (idadi ya wakazi katika mabano): Bagamoyo (230,164), Kibaha (132,045), Kisarawe (95,614), Mkuranga (187,428), Rufiji (203,102) na Mafia (40,801).
Mkoa huu una jumla ya majimbo ya uchaguzi yanayofikia (7) ambayo yanajumuisha Bagamoyo, Chalinze, Kibaha, Kisarawe, Mafia, Mkuranga na Rufiji.
Mkoa wa Tanga
WakaziMakabila makubwa mkoani Tanga ni Wasambaa, Wazigua, Wabondei na Wadigo. Wasambaa ndio kabila kubwa lililoko katika milimani ya Usambara, Muheza, Korogwe na Lushoto. Kwa jumla ndio asilimia 40 ya wakazi wote wa mkoa.