Dk slaa ,anakubalika na media tu kama kweli anakubalika na wengi kwanini haingi zone hizi?

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
2,653
264
Chadema ni chama cha kikuu cha upinzani nchini. ni chama kinachojita ni mbadala wa ccm 2015. lkn cha ajabu sijawahi kusikia viongozi wakuu hasa mkuu wa kupamba na ufisadi akiifanya tu mahusiano na watz wote bila kuangalia dini, kabila na koo.
Lkn tangu 2000- 2010 sijawahi kusikia Chadema kikifanya mawasiliano na mikoa hii, huu ni ujumbe tosha kwamba enapo chadema itafanikiwa kupat 40.5%na CCM 40% na vyama vyengine kugawana % ni wazi tz itakuwa kama Nigeria yaani kusini na kaskazini . hii ni wazi kwamba Chadema inaogopa kuingia zone hiyo ambayo .
jee kukuabalika kwa chadema kwa watz kunatokea wapi?
LINDI
Mkoa wa Lindi Karibu robo ya eneo lake au 18,000 km² ni sehemu ya hifadhi ya wanyama ya Selous.
Mkoa una wilaya sita za Lindi Mjini na Lindi Vijijini, Kilwa, Nachingwea, Liwale na Ruangwa..
Mwaka 2002 idadi ya wakazi ilikuwa 791,306. Karibu asilimia 90 kati hao ndio wakulima. Makabila makubwa zaidi ni hasa Wamwera ambao wanapatikana hasa wilaya ya nachingwea na lindi vijijini katika kata za Rondo halafu Wamachinga ,Wamalaba ambao wako zaidi lindi mjini Wamatumbi na Wangindo huko Kilwa.
Idadi ya wakazi wa wilaya ni (idadi katika mabano): Kilwa (171,850), Lindi Mjini (41,549), Lindi Vijijini (215,764), Liwale (75,546), Nachingwea (162,081), Ruangwa (124,516),
Mkoa wa Pwani

Mkoa wa Pwani una wilaya sita ndizo (idadi ya wakazi katika mabano): Bagamoyo (230,164), Kibaha (132,045), Kisarawe (95,614), Mkuranga (187,428), Rufiji (203,102) na Mafia (40,801).
Mkoa huu una jumla ya majimbo ya uchaguzi yanayofikia (7) ambayo yanajumuisha Bagamoyo, Chalinze, Kibaha, Kisarawe, Mafia, Mkuranga na Rufiji.


Mkoa wa Tanga

WakaziMakabila makubwa mkoani Tanga ni Wasambaa, Wazigua, Wabondei na Wadigo. Wasambaa ndio kabila kubwa lililoko katika milimani ya Usambara, Muheza, Korogwe na Lushoto. Kwa jumla ndio asilimia 40 ya wakazi wote wa mkoa.

 
Mkuu mbona unaanza kuzungumzia ukanda, ukabila na idadi za watu. issue ya msingi ni nini? Ina maana katika maeneo hayo CDM hawakupata hata kura moja wakati wa uchaguzi mkuu 2010?
 
Huko yupo Prof Lipumba na Dr. Slaa anamkubali kwa lengo ni kuwatetea watanzania.
 
Mbona humsemi Prof Lipumba maana yeye ndie anaenda maeneo ya waislamu tu. Chadema mbona wapo Tabora, kigoma, mpanda, kigamboni nk? Chadema kipo nchi nzima lakini kisiasa kuna maeneo ambayo utakuwa na ufuasi zaidi
 
Chadema ni chama cha kikuu cha upinzani nchini. ni chama kinachojita ni mbadala wa ccm 2015. lkn cha ajabu sijawahi kusikia viongozi wakuu hasa mkuu wa kupamba na ufisadi akiifanya tu mahusiano na watz wote bila kuangalia dini, kabila na koo.
Lkn tangu 2000- 2010 sijawahi kusikia Chadema kikifanya mawasiliano na mikoa hii, huu ni ujumbe tosha kwamba enapo chadema itafanikiwa kupat 40.5%na CCM 40% na vyama vyengine kugawana % ni wazi tz itakuwa kama Nigeria yaani kusini na kaskazini . hii ni wazi kwamba Chadema inaogopa kuingia zone hiyo ambayo .
jee kukuabalika kwa chadema kwa watz kunatokea wapi?
LINDI
Mkoa wa Lindi Karibu robo ya eneo lake au 18,000 km² ni sehemu ya hifadhi ya wanyama ya Selous.
Mkoa una wilaya sita za Lindi Mjini na Lindi Vijijini, Kilwa, Nachingwea, Liwale na Ruangwa..
Mwaka 2002 idadi ya wakazi ilikuwa 791,306. Karibu asilimia 90 kati hao ndio wakulima. Makabila makubwa zaidi ni hasa Wamwera ambao wanapatikana hasa wilaya ya nachingwea na lindi vijijini katika kata za Rondo halafu Wamachinga ,Wamalaba ambao wako zaidi lindi mjini Wamatumbi na Wangindo huko Kilwa.
Idadi ya wakazi wa wilaya ni (idadi katika mabano): Kilwa (171,850), Lindi Mjini (41,549), Lindi Vijijini (215,764), Liwale (75,546), Nachingwea (162,081), Ruangwa (124,516),
Mkoa wa Pwani

Mkoa wa Pwani una wilaya sita ndizo (idadi ya wakazi katika mabano): Bagamoyo (230,164), Kibaha (132,045), Kisarawe (95,614), Mkuranga (187,428), Rufiji (203,102) na Mafia (40,801).
Mkoa huu una jumla ya majimbo ya uchaguzi yanayofikia (7) ambayo yanajumuisha Bagamoyo, Chalinze, Kibaha, Kisarawe, Mafia, Mkuranga na Rufiji.


Mkoa wa Tanga

WakaziMakabila makubwa mkoani Tanga ni Wasambaa, Wazigua, Wabondei na Wadigo. Wasambaa ndio kabila kubwa lililoko katika milimani ya Usambara, Muheza, Korogwe na Lushoto. Kwa jumla ndio asilimia 40 ya wakazi wote wa mkoa.


Chadema lazima ifikirie na do something on above issue
 
Sasa mkuu, hayo makabila yana uhusiano gani na Chadema kutowatembelea? Unachotaka kusema ni kuwa hawaendi huko kwa sababu ya kuwepo hayo makabila na hizo dini? Mbona unaturudisha nyuma sana mkuu? Yaani akili yako imevaa miwani ya dini na ukabila. Huwezi kutafsiri mambo tofauti na hapo? Akili kama za kwako mkuu ni za hatari sana kwa usalama wa taifa
 
Chadema ni chama cha kikuu cha upinzani nchini. ni chama kinachojita ni mbadala wa ccm 2015. lkn cha ajabu sijawahi kusikia viongozi wakuu hasa mkuu wa kupamba na ufisadi akiifanya tu mahusiano na watz wote bila kuangalia dini, kabila na koo.
Lkn tangu 2000- 2010 sijawahi kusikia Chadema kikifanya mawasiliano na mikoa hii, huu ni ujumbe tosha kwamba enapo chadema itafanikiwa kupat 40.5%na CCM 40% na vyama vyengine kugawana % ni wazi tz itakuwa kama Nigeria yaani kusini na kaskazini . hii ni wazi kwamba Chadema inaogopa kuingia zone hiyo ambayo .
jee kukuabalika kwa chadema kwa watz kunatokea wapi?
LINDI
Mkoa wa Lindi Karibu robo ya eneo lake au 18,000 km² ni sehemu ya hifadhi ya wanyama ya Selous.
Mkoa una wilaya sita za Lindi Mjini na Lindi Vijijini, Kilwa, Nachingwea, Liwale na Ruangwa..
Mwaka 2002 idadi ya wakazi ilikuwa 791,306. Karibu asilimia 90 kati hao ndio wakulima. Makabila makubwa zaidi ni hasa Wamwera ambao wanapatikana hasa wilaya ya nachingwea na lindi vijijini katika kata za Rondo halafu Wamachinga ,Wamalaba ambao wako zaidi lindi mjini Wamatumbi na Wangindo huko Kilwa.
Idadi ya wakazi wa wilaya ni (idadi katika mabano): Kilwa (171,850), Lindi Mjini (41,549), Lindi Vijijini (215,764), Liwale (75,546), Nachingwea (162,081), Ruangwa (124,516),
Mkoa wa Pwani

Mkoa wa Pwani una wilaya sita ndizo (idadi ya wakazi katika mabano): Bagamoyo (230,164), Kibaha (132,045), Kisarawe (95,614), Mkuranga (187,428), Rufiji (203,102) na Mafia (40,801).
Mkoa huu una jumla ya majimbo ya uchaguzi yanayofikia (7) ambayo yanajumuisha Bagamoyo, Chalinze, Kibaha, Kisarawe, Mafia, Mkuranga na Rufiji.


Mkoa wa Tanga

WakaziMakabila makubwa mkoani Tanga ni Wasambaa, Wazigua, Wabondei na Wadigo. Wasambaa ndio kabila kubwa lililoko katika milimani ya Usambara, Muheza, Korogwe na Lushoto. Kwa jumla ndio asilimia 40 ya wakazi wote wa mkoa.

Na wewe jivue gamba
 
kwa udhaifu huo ndio maana siku zote nasema Chadema itaendelea kuota kuingia ikulu. kuna mchangiaji ameitaja Kigoma napenda kumwambia kuwa kule kwetu Kigoma hatuchagui chama tena, habari hizo kwetu hazina nafasi.sisi tunamchagua mtu anayeonesha nia ya dhati, ndio maana Slaa hakupata kura kigoma mjini na wakati nafasi zingine zote tumewachagua wagombea wa cdm.hata hilo slaa analijua kwa kina kwani alienda kuhamasisha maandamano kigoma alirudi na vumbi zake. masikini weeeeeeeeeeeeee chadema. mistake kubwa ya cdm viongozi wake wamejikita sana kanisani. that is a very big mistake waliyoifanya ambayo kwa wao it will remain never kukanyaga Ikulu.
 
Majina mengine taabu kweli kweli. Kumbe neno busara linaweza kuwa latumika badala ya pumba! Ama kweli vichwa vya panzi ni vingi!
 
bongo hakuna ukabila ila ni watu wachache ambao hawana sela ndo maana wakasingizia udini ili wasidondoshwe kama kuna udini kweli mbona makamu wa rais ni mwislamu na rais wake kwa hiyo sasa sisi tunahitaji mkombozi watz na sio huyu ukabila na udini..
chukua hatua fikiria..
 
MKUU NAONA HABARI INA MUSHKELI KIDOGO,

MIMI MARA NYINGI NINAFANYA KAZI ZA FIELD KISARAWE HATA SASA NINAANDIKA MSG HII BADO SIJARUDI DSM. UKWELI NI KWAMBA, CHADEMA INA VIONGOZI WA WILAYA NA KATA KIBAO HAPA KISARAWE.

ZAIDI SANA KUNA SERIKALI ZA VIJIJJI NA VITONGOJI VILIKUWA CHADEMA NA VINGINE VIKO CHINI YA CHADEMA HADI SASA. Mfano KITONGOJI CHA SANZE KILIKUWA CHADEMA MIAKA 5 ILIYOPITA.VINGINE VIKO MAENEO YA MWANEROMANGO NA MZENGA.

PILI, CHADEMA ILISHINDA UBUNGE KIBAHA WAKACHAKACHULIWA KURA ZAO. WANANCHI WALIANDAMANA HADI WAKATULIZWA NA MGOMBEA WA CHADEMA. JE WAFAHAMU KUWA CHADEMA INA MADIWANI 3 JIMBO LA KIBAHA PAMOJA NA WIZI WOTE WA KURA? BAADHI YA MADIWANI HAO (BOSCO) KATA YA PICHA YA NDEGE MAKALA (KATA YA TUMBI) NK

TATU, SINA DATA KAMAILI ZA TANGA, LAKINI CHADEMA INA NGUVU MAENEO MENGI YA TANGA KWA MUJIBU WA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI.

MWISHO, JE WAJUA KUWA WAPIGA KURA WA MTWARA, LINDI NA PWANI NI SAWANA WAPIGA KURA WA MKOA MMOJA TU WA MWANZA PEKE YAKE?

MIMI NAAMINI JIBU LAKO LITAKUJA TUKISHAPATA TUME HURU YA UCHAGUZI. ASANTE.
 
Anakubalika kwenye mikoa yenye population kubwa..na siyo huko kwenye underpopulation.
 
kwa udhaifu huo ndio maana siku zote nasema Chadema itaendelea kuota kuingia ikulu. kuna mchangiaji ameitaja Kigoma napenda kumwambia kuwa kule kwetu Kigoma hatuchagui chama tena, habari hizo kwetu hazina nafasi.sisi tunamchagua mtu anayeonesha nia ya dhati, ndio maana Slaa hakupata kura kigoma mjini na wakati nafasi zingine zote tumewachagua wagombea wa cdm.hata hilo slaa analijua kwa kina kwani alienda kuhamasisha maandamano kigoma alirudi na vumbi zake. masikini weeeeeeeeeeeeee chadema. mistake kubwa ya cdm viongozi wake wamejikita sana kanisani. that is a very big mistake waliyoifanya ambayo kwa wao it will remain never kukanyaga Ikulu.

Jamani tufumbuane macho, hivi ni kwa nini watu wanasema CHADEDMA ni chama cha udini? Au ni kwa sababu Dr. Slaa ni Padre (Upadre huwa hauachwi)? Naombeni nipate ushahidi mwingine wa udini wa CHADEMA
 
kwa udhaifu huo ndio maana siku zote nasema Chadema itaendelea kuota kuingia ikulu. kuna mchangiaji ameitaja Kigoma napenda kumwambia kuwa kule kwetu Kigoma hatuchagui chama tena, habari hizo kwetu hazina nafasi.sisi tunamchagua mtu anayeonesha nia ya dhati, ndio maana Slaa hakupata kura kigoma mjini na wakati nafasi zingine zote tumewachagua wagombea wa cdm.hata hilo slaa analijua kwa kina kwani alienda kuhamasisha maandamano kigoma alirudi na vumbi zake. masikini weeeeeeeeeeeeee chadema. mistake kubwa ya cdm viongozi wake wamejikita sana kanisani. that is a very big mistake waliyoifanya ambayo kwa wao it will remain never kukanyaga Ikulu.

Pole wewe ndiyo tukuonee huruma hivi huoni Kigoma ilivyo nyuma kimaendeleo na jinsi mlivyogandamizwa na serikali ya CCM, Wenzako wengine wameshtuka umebaki na mambo yako ya dini huku ndugu zako wanakufa na umaskini wa kutupwa hata shule tu tatizo amkaa wewe acha mawazo ya kidini hayana faida kwa watanzania wa sasa!angalieni wengine wamekataa ccm na hawachezewi na mambo ya kidini kama ninyi! kwani kilimanjaro ni wakristo tu? Mbeya je wakristu tu? au mwanza! acha ujinga wako wa kufikili
 
MKUU NAONA HABARI INA MUSHKELI KIDOGO,

MIMI MARA NYINGI NINAFANYA KAZI ZA FIELD KISARAWE HATA SASA NINAANDIKA MSG HII BADO SIJARUDI DSM. UKWELI NI KWAMBA, CHADEMA INA VIONGOZI WA WILAYA NA KATA KIBAO HAPA KISARAWE.

ZAIDI SANA KUNA SERIKALI ZA VIJIJJI NA VITONGOJI VILIKUWA CHADEMA NA VINGINE VIKO CHINI YA CHADEMA HADI SASA. Mfano KITONGOJI CHA SANZE KILIKUWA CHADEMA MIAKA 5 ILIYOPITA.VINGINE VIKO MAENEO YA MWANEROMANGO NA MZENGA.

PILI, CHADEMA ILISHINDA UBUNGE KIBAHA WAKACHAKACHULIWA KURA ZAO. WANANCHI WALIANDAMANA HADI WAKATULIZWA NA MGOMBEA WA CHADEMA. JE WAFAHAMU KUWA CHADEMA INA MADIWANI 3 JIMBO LA KIBAHA PAMOJA NA WIZI WOTE WA KURA? BAADHI YA MADIWANI HAO (BOSCO) KATA YA PICHA YA NDEGE MAKALA (KATA YA TUMBI) NK

TATU, SINA DATA KAMAILI ZA TANGA, LAKINI CHADEMA INA NGUVU MAENEO MENGI YA TANGA KWA MUJIBU WA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI.

MWISHO, JE WAJUA KUWA WAPIGA KURA WA MTWARA, LINDI NA PWANI NI SAWANA WAPIGA KURA WA MKOA MMOJA TU WA MWANZA PEKE YAKE?

MIMI NAAMINI JIBU LAKO LITAKUJA TUKISHAPATA TUME HURU YA UCHAGUZI. ASANTE.

Mkuu kwa hiyo watu wa kusini wanatengwa kwa sababu ya uchache wao? Nao ni binadamu na wanastahili heshima na kama CHADEMA ni chama cha wote basi fanyeni juhudi mfike huko nako ili kuonyesha utaifa. Msikubali kusemwa semwa kwa ukasikazini kumbe mnakiri kuwa kusini hamkutaki kwa kuwa kuna kura chache? Unguja na Pemba je?
 
Huyo jamaa ana mchoko wa akili kwa hizi hoja alizozilita hapa. kwa vile kaamua kuongelea ukanda, Tanzania kijiografia imegwanyika katika kanda saba, Katika hizo kanda saba Chadema imefanikiwa kutoa wabunge katika kanda hizo zote. Sasa ana maanisha nini anaposemakuwa chadema imetanga baadhi ya kanda?!

Chadema ni chama makini kitafika kila mahali na kimeaminiwa na watanzania hapa kuoewa nafasi ya pili kitaifa.
 
Back
Top Bottom