Dk slaa ,anakubalika na media tu kama kweli anakubalika na wengi kwanini haingi zone hizi?

kwa udhaifu huo ndio maana siku zote nasema Chadema itaendelea kuota kuingia ikulu. kuna mchangiaji ameitaja Kigoma napenda kumwambia kuwa kule kwetu Kigoma hatuchagui chama tena, habari hizo kwetu hazina nafasi.sisi tunamchagua mtu anayeonesha nia ya dhati, ndio maana Slaa hakupata kura kigoma mjini na wakati nafasi zingine zote tumewachagua wagombea wa cdm.hata hilo slaa analijua kwa kina kwani alienda kuhamasisha maandamano kigoma alirudi na vumbi zake. masikini weeeeeeeeeeeeee chadema. mistake kubwa ya cdm viongozi wake wamejikita sana kanisani. that is a very big mistake waliyoifanya ambayo kwa wao it will remain never kukanyaga Ikulu.

Nyie ndiyo mnaifanya CDM ing'are.
 
kwa udhaifu huo ndio maana siku zote nasema Chadema itaendelea kuota kuingia ikulu. kuna mchangiaji ameitaja Kigoma napenda kumwambia kuwa kule kwetu Kigoma hatuchagui chama tena, habari hizo kwetu hazina nafasi.sisi tunamchagua mtu anayeonesha nia ya dhati, ndio maana Slaa hakupata kura kigoma mjini na wakati nafasi zingine zote tumewachagua wagombea wa cdm.hata hilo slaa analijua kwa kina kwani alienda kuhamasisha maandamano kigoma alirudi na vumbi zake. masikini weeeeeeeeeeeeee chadema. mistake kubwa ya cdm viongozi wake wamejikita sana kanisani. that is a very big mistake waliyoifanya ambayo kwa wao it will remain never kukanyaga Ikulu.
Hapo kwenye red,jitahidi kushirikisha ubongo,au kama vipi jivue gamba.
 
Kwanza nakupa pole kwa mawazo mgando.
Pili nipe data ni chama gani cha siasa zaidi ya CCM kilichoenea nchi nzima(kumbuka CCM ilikuwepo tangu zama hizo na unajua kilivyoenezwa na ilikuwa ni lazima kuwa na kadi ya umoja wa vijana ukiingia secondary na soma la siasa lilifundishwa na makada wa CCM.

mtu huzaliwa na baadae hukua na kukua na kuendelea kukua.......

Chadema kilizaliwa, kilianza kukua na kinaendelea kukua na kitaendelea kukua.

Kabla ya uchaguzi wa mwaka jana chama kikuu cha upinzani kilikuwa ni CUF, unajua ni kwa nini!? ni kwa sababu ya wabunge kutoka Pemba amabo nafikiri walikuwa 19 na kwa ujumla wao kura zao zilizowapeleka bungeni haziwezi kuzidi kura laki mbili.

kukuonyesha kwamba chadema imekuwa na itaendela kukua nakupa data zifuatazo.

1. Chama kikuu cha Upinzani
2. kimechukua Majimba naweza diriki kusema ni makubwa ( Mwanza Mjini, Mbeya Mjini, Arusha Mjini,Moshi Mjini, Iringa Mjini) hayo ni majimbo ambayo si tu kwamba CCM wangependa kuwa nayo ila pia yalikuwa yanashikiliwa na Mawaziri na Vigogo mbali mbali wa CCM lakini wote walibwagwa chali.
3. Kimekuwa mwiba mkali kwa serikali na chama tawala.
4. Chadema kimesababisha kitu cha ajabu kutokea yani ulisikia wapi vyama vya upinzani vinaungana na chama tawala eti kushindana na chama kingine cha upinzani, na mbaya zaidi eti spika anataka vyama vya upinzani viungane na kujenga kambi yenye nguvu juu ya chama chake Kweli!!? uliona wapi kama sio nguvu ya Chadema hiyo?
5. Kimeelimisha wananchi juu ya haki na wajibu wao
6. Kimevuta hisia za Vijana na sasa wanaona umuhimu wa kupiga kura.

hiyo ndiyo Chadema.

Huko unakosema Chadema kipo na kitaendelea kujiimarisha kadri muda unavyokwenda, mimi nimebahatika kutembelea maeneo hayo, tatizo sio chadema kutofika huko, tatizo ni viongozi wa CCM waliowengi bado wanafikiri wao ni wafalme na wamezaliwa kuongoza nchi hii, wanawatisha wanachi wa maeneo ya vijijini na wanatumia uelewa wao mdogo wa siasa kuwadanganya, lakini taratibu watu wanaanza kujua haki zao na mageuzi yatakuja tu.

Hitimisho.

nyie mnasema Chadema ni Chama cha Kanda na udini kanda ipi na Dini ipi

Mwanza, Shinyanga,Iringa,Mbeya,Kilimanjaro,Arusha,Kigoma,Mara,Dar, Rukwa, maana huko kote chadema washinda viti kadhaa ya ubunge na Udiwani walishinda karibu kila mkoa na hapo ni baada ya kuchakachuliwa sana tena sana!.

Chadema kiko juu na kitaendelea kuwa juu.

Mlianza chama cha kanda mmeshindwa
mkaja mara mke wa mtu mmeshindwa
mmekuja udini na sasa mnashindwa,
mnadandia kuropoka mtashindwa

Mtasema mengi sana mwaka huu lakini ngoja tuone mwisho wenu wa kujivua gamba mtaishia wapi, hii itakula kwenu tu, ngoja tusubiri!
 
Pole wewe ndiyo tukuonee huruma hivi huoni Kigoma ilivyo nyuma kimaendeleo na jinsi mlivyogandamizwa na serikali ya CCM, Wenzako wengine wameshtuka umebaki na mambo yako ya dini huku ndugu zako wanakufa na umaskini wa kutupwa hata shule tu tatizo amkaa wewe acha mawazo ya kidini hayana faida kwa watanzania wa sasa!angalieni wengine wamekataa ccm na hawachezewi na mambo ya kidini kama ninyi! kwani kilimanjaro ni wakristo tu? Mbeya je wakristu tu? au mwanza! acha ujinga wako wa kufikili

we nakushangaa sana. kigoma kutokuendelea siyo ccm ila ni udini wa nyerere, maeneo yote ambayo aliona kuna waislam hakuyaendeleza. Ivi we kwa akili zako Arusha pameendelea kwa kuwa kule hapakutawaliwa na ccm? acha propaganda za kitoto. Na kwa hilo ndio maana nimekuambia hatuchagui chama tunachagua mtu mwenye maslahi na sisi.
 
Jamani hivi katika karne hii ya teknohama bado tunalishwa makombo ya udini kwa maslahi ya watu walioishiwa kisiasa tunayameza mchana kweupe. Hakika safari ni ndefu ktk kuleta mapinduzi ndani ya bara la Afrika, hasa hasa Tanzania.

Siamini kama kuna mtu amesahau vituko hivi:

CUF iliwahi kuingiza nchini majambia yenye nembo ya chama hicho ili kuvuruga amani ya waheshimiwa (wao wakibanwa ktk kona utafuta stahili ya kutokea, na wamegundua watz wengi awafikiri outside the box) na watu tukawa na hofu na chama hicho; mara baada ya uchakachuaji wa matokeo ya kura; hadi leo hii hakuna aliyeonyesha kwa ufasahau yalipopelekwa hayo majambia. Kisha tukaambiwa kuwa ni chama cha waislam, ili kuwatenganisha na kura za wakristu. Sina imani kama CUF wanaamini hivyo mpaka leo au ndo msingi wake.

Na leo hiii tunaauziwa mbuzi kwenye gunia na watu wale wale kuwa CDM ni chama cha kanisani, watu wangine wanameza bila kutafakari. Kazi kweli kweli
 
Hapo kwenye red,jitahidi kushirikisha ubongo,au kama vipi jivue gamba.

hiyo red yako sihuiamini? sasa subiri uone kama hata siku moja cdm itaingia ikulu. na uchaguzi ujao cdm itapoteza viti vingi sana. we subiri utaona.chama kukifanya wasemaji wake ni maaskofu ndio walikiua na kupoteza dira ya chama, japo mtakanusha lakini ukweli hubaki pale pale
 
Hiyo mikoa uliyoitaja ki kweli ni mikoa ambayo kwashakoo imejaa pamoja na ardhi nzuri waliyonayo , Jiulize ni kwa nini?
 
ccm pamoja na makuwadi wake humu jamvini watafrahi!! Na hawataamini ktk uchaguzi wa serikali za mitaa hilo big blow tutakayowapa mtakimbia afu hiyo ni trailer bado movie nasema hivo coz tumejipanga kwa mfano chuga town tunategemea kutwaa asilimia 80 ya vijiji na mitaa na inawezekena na ni uhakika watu washawachoka yani hamtaamini jombaa kitu itakayotokea si huwa mnajifariji mnapendwa hata synovate na redet wawape asilimia zooote tutawabwaga na ni promise mark my words
 
Kwahiyo unapenda lipi?

  • (a)CDM isipate sifa ili isiendekeze sifa ili IPAE JUU ZAIDI au
  • (b)Ipate sifa ili iendekeze sifa ili "IRUDI DOWN"?
Kama jibu ni a, asante sana kwa maoni yako,kisha punguza kuitajataja ili isipate sifa bure. N kama jibu ni b, basi imwagie misifa mizuri mizuri hapa kedekede,ili ivimbe kichwa ife upesi, unaonaje ndugu?
umesahau kitu kimoja kuwa kuwa sifa inaua? kawaida kitu kinachopata sifa na kikahendekeza hizo sifa huwa hakichukui time lazima kirudi down
 
kwa udhaifu huo ndio maana siku zote nasema Chadema itaendelea kuota kuingia ikulu. kuna mchangiaji ameitaja Kigoma napenda kumwambia kuwa kule kwetu Kigoma hatuchagui chama tena, habari hizo kwetu hazina nafasi.sisi tunamchagua mtu anayeonesha nia ya dhati, ndio maana Slaa hakupata kura kigoma mjini na wakati nafasi zingine zote tumewachagua wagombea wa cdm.hata hilo slaa analijua kwa kina kwani alienda kuhamasisha maandamano kigoma alirudi na vumbi zake. masikini weeeeeeeeeeeeee chadema. mistake kubwa ya cdm viongozi wake wamejikita sana kanisani. that is a very big mistake waliyoifanya ambayo kwa wao it will remain never kukanyaga Ikulu.

Ndg yangu nadhani ni muda wako sasa kuondoa tongotongo machoni mwako na utando wa buibui ubongoni mwako.Hivi wewe hujiulizi kwa nini ikitajwa mikoa mitano hapa tz iliyoko nyuma kabisa kimaendeleo Kigoma a.k.a mwisho wa reli haikosi kuwemo kwenye list?Ikiwa TZ nzima inamwelewa Dr.Slaa kuwa jemedali wa mabadiliko na mwenye chachu ya kuleta maendeleo sidhani kama kuja kwake KGM na kuitisha maandamano ilikuwa kwa manufaa yake binafsi matumaini yangu ni kuwa alitaka hata kigoma ibadilike,sasa kama unasema alikuja huko mkam-egnore akarudi na vumbi zake mi nawapeni pole kwani inaonesha ni jinsi gani msivyojua kusoma alama za nyakati.AMA KWELI ALIYE LALA MWACHENI AENDELEE KUUCHAPA ndg huu si muda ya ku-base kwenye udini tz ni moja.
 
A dog is always a dog, ila CUF ndio inawasiliana na mikoa mingine? CCM ingekua ianawasiliana na mikoa mingine huko kwenu mngekua mnakula mizizi na kunya vichakani? hebu potelea huko jitu kubwa akili huna kazi kuendekeza matumbo tu rudi kule kwa michuzi ndio kuna lugha hizi za kujikombakomba
 
Kwanza nakupa pole kwa mawazo mgando.<br />
Pili nipe data ni chama gani cha siasa zaidi ya CCM kilichoenea nchi nzima(kumbuka CCM ilikuwepo tangu zama hizo na unajua kilivyoenezwa na ilikuwa ni lazima kuwa na kadi ya umoja wa vijana ukiingia secondary na soma la siasa lilifundishwa na makada wa CCM.<br />
<br />
mtu huzaliwa na baadae hukua na kukua na kuendelea kukua.......<br />
<br />
Chadema kilizaliwa, kilianza kukua na kinaendelea kukua na kitaendelea kukua.<br />
<br />
Kabla ya uchaguzi wa mwaka jana chama kikuu cha upinzani kilikuwa ni CUF, unajua ni kwa nini!? ni kwa sababu ya wabunge kutoka Pemba amabo nafikiri walikuwa 19 na kwa ujumla wao kura zao zilizowapeleka bungeni haziwezi kuzidi kura laki mbili.<br />
<br />
kukuonyesha kwamba chadema imekuwa na itaendela kukua nakupa data zifuatazo.<br />
<br />
1. Chama kikuu cha Upinzani<br />
2. kimechukua Majimba naweza diriki kusema ni makubwa ( Mwanza Mjini, Mbeya Mjini, Arusha Mjini,Moshi Mjini, Iringa Mjini) hayo ni majimbo ambayo si tu kwamba CCM wangependa kuwa nayo ila pia yalikuwa yanashikiliwa na Mawaziri na Vigogo mbali mbali wa CCM lakini wote walibwagwa chali.<br />
3. Kimekuwa mwiba mkali kwa serikali na chama tawala.<br />
4. Chadema kimesababisha kitu cha ajabu kutokea yani ulisikia wapi vyama vya upinzani vinaungana na chama tawala eti kushindana na chama kingine cha upinzani, na mbaya zaidi eti spika anataka vyama vya upinzani viungane na kujenga kambi yenye nguvu juu ya chama chake Kweli!!? uliona wapi kama sio nguvu ya Chadema hiyo?<br />
5. Kimeelimisha wananchi juu ya haki na wajibu wao<br />
6. Kimevuta hisia za Vijana na sasa wanaona umuhimu wa kupiga kura.<br />
<br />
hiyo ndiyo Chadema.<br />
<br />
Huko unakosema Chadema kipo na kitaendelea kujiimarisha kadri muda unavyokwenda, mimi nimebahatika kutembelea maeneo hayo, tatizo sio chadema kutofika huko, tatizo ni viongozi wa CCM waliowengi bado wanafikiri wao ni wafalme na wamezaliwa kuongoza nchi hii, wanawatisha wanachi wa maeneo ya vijijini na wanatumia uelewa wao mdogo wa siasa kuwadanganya, lakini taratibu watu wanaanza kujua haki zao na mageuzi yatakuja tu.<br />
<br />
Hitimisho.<br />
<br />
nyie mnasema Chadema ni Chama cha Kanda na udini kanda ipi na Dini ipi<br />
<br />
Mwanza, Shinyanga,Iringa,Mbeya,Kilimanjaro,Arusha,Kigoma,Mara,Dar, Rukwa, maana huko kote chadema washinda viti kadhaa ya ubunge na Udiwani walishinda karibu kila mkoa na hapo ni baada ya kuchakachuliwa sana tena sana!.<br />
<br />
Chadema kiko juu na kitaendelea kuwa juu.<br />
<br />
Mlianza chama cha kanda mmeshindwa<br />
mkaja mara mke wa mtu mmeshindwa<br />
mmekuja udini na sasa mnashindwa,<br />
mnadandia kuropoka mtashindwa<br />
<br /> Mbogo wewe ni Mwisho. Nimependa sana statement. Endelea kutuelimisha...
Mtasema mengi sana mwaka huu lakini ngoja tuone mwisho wenu wa kujivua gamba mtaishia wapi, hii itakula kwenu tu, ngoja tusubiri!
<br />
<br />
 
Wewe ni muongo tena mkubwa,hata kikwete 2005 hakufika kila mahala lakini alishinda kwa kishindo,Dr.Slaa 2010 hakufika pote lakini alishinda uchaguzi kwa 64% lakini akanyimwa urais....usijali kabla Dr.Slaa hajawa rais wa Tanzania 2015 atakuwa amefika mpaka kijijini na wewe naamini utampa kura yako .Lakini mbona hata kwenye hyo mikoa uloitaja bado tulikuwa na wagombea nafasi mbalimbali na hata kura za uraisi tulizipata? Dr. anaweza asifike pote lakini elewa huyu ni Dr.wa ukweli na hapo alipo hata wazee wa miaka 80 tayari wanamtambua Dr. na wanakikubali CDM
 
Chadema ni chama cha kikuu cha upinzani nchini. ni chama kinachojita ni mbadala wa ccm 2015. lkn cha ajabu sijawahi kusikia viongozi wakuu hasa mkuu wa kupamba na ufisadi akiifanya tu mahusiano na watz wote bila kuangalia dini, kabila na koo.
Lkn tangu 2000- 2010 sijawahi kusikia Chadema kikifanya mawasiliano na mikoa hii, huu ni ujumbe tosha kwamba enapo chadema itafanikiwa kupat 40.5%na CCM 40% na vyama vyengine kugawana % ni wazi tz itakuwa kama Nigeria yaani kusini na kaskazini . hii ni wazi kwamba Chadema inaogopa kuingia zone hiyo ambayo .
jee kukuabalika kwa chadema kwa watz kunatokea wapi?
LINDI
Mkoa wa Lindi Karibu robo ya eneo lake au 18,000 km² ni sehemu ya hifadhi ya wanyama ya Selous.
Mkoa una wilaya sita za Lindi Mjini na Lindi Vijijini, Kilwa, Nachingwea, Liwale na Ruangwa..
Mwaka 2002 idadi ya wakazi ilikuwa 791,306. Karibu asilimia 90 kati hao ndio wakulima. Makabila makubwa zaidi ni hasa Wamwera ambao wanapatikana hasa wilaya ya nachingwea na lindi vijijini katika kata za Rondo halafu Wamachinga ,Wamalaba ambao wako zaidi lindi mjini Wamatumbi na Wangindo huko Kilwa.
Idadi ya wakazi wa wilaya ni (idadi katika mabano): Kilwa (171,850), Lindi Mjini (41,549), Lindi Vijijini (215,764), Liwale (75,546), Nachingwea (162,081), Ruangwa (124,516),
Mkoa wa Pwani

Mkoa wa Pwani una wilaya sita ndizo (idadi ya wakazi katika mabano): Bagamoyo (230,164), Kibaha (132,045), Kisarawe (95,614), Mkuranga (187,428), Rufiji (203,102) na Mafia (40,801).
Mkoa huu una jumla ya majimbo ya uchaguzi yanayofikia (7) ambayo yanajumuisha Bagamoyo, Chalinze, Kibaha, Kisarawe, Mafia, Mkuranga na Rufiji.


Mkoa wa Tanga

WakaziMakabila makubwa mkoani Tanga ni Wasambaa, Wazigua, Wabondei na Wadigo. Wasambaa ndio kabila kubwa lililoko katika milimani ya Usambara, Muheza, Korogwe na Lushoto. Kwa jumla ndio asilimia 40 ya wakazi wote wa mkoa.


Pole sana. Hivi ww ni mwanafunzi wa OUT ai? JF siku zote nasema fanya lakini usiwe na akili za kushikiwa.

Nje ya akili za kushikiwa ni rahisi sana kuona kuwa CDM wanaweza kuenea kila kona TZ kwa kutumia ukabila period. Lakini kwa sababu watu mnasomeshwa mambo yasio na ukweli mpka mnakua oblivious...

Mara CDM ni chama kikuu cha upinzani mara hakiko mkoa fulani. Hivi do U ever listen to urself?

Title yako Slaa anakubalika na media! If that is the case so what? Please for once be objective
 
Chadema ni chama cha kikuu cha upinzani nchini. ni chama kinachojita ni mbadala wa ccm 2015. lkn cha ajabu sijawahi kusikia viongozi wakuu hasa mkuu wa kupamba na ufisadi akiifanya tu mahusiano na watz wote bila kuangalia dini, kabila na koo.
Lkn tangu 2000- 2010 sijawahi kusikia Chadema kikifanya mawasiliano na mikoa hii, huu ni ujumbe tosha kwamba enapo chadema itafanikiwa kupat 40.5%na CCM 40% na vyama vyengine kugawana % ni wazi tz itakuwa kama Nigeria yaani kusini na kaskazini . hii ni wazi kwamba Chadema inaogopa kuingia zone hiyo ambayo .
jee kukuabalika kwa chadema kwa watz kunatokea wapi?
LINDI
Mkoa wa Lindi Karibu robo ya eneo lake au 18,000 km² ni sehemu ya hifadhi ya wanyama ya Selous.
Mkoa una wilaya sita za Lindi Mjini na Lindi Vijijini, Kilwa, Nachingwea, Liwale na Ruangwa..
Mwaka 2002 idadi ya wakazi ilikuwa 791,306. Karibu asilimia 90 kati hao ndio wakulima. Makabila makubwa zaidi ni hasa Wamwera ambao wanapatikana hasa wilaya ya nachingwea na lindi vijijini katika kata za Rondo halafu Wamachinga ,Wamalaba ambao wako zaidi lindi mjini Wamatumbi na Wangindo huko Kilwa.
Idadi ya wakazi wa wilaya ni (idadi katika mabano): Kilwa (171,850), Lindi Mjini (41,549), Lindi Vijijini (215,764), Liwale (75,546), Nachingwea (162,081), Ruangwa (124,516),
Mkoa wa Pwani

Mkoa wa Pwani una wilaya sita ndizo (idadi ya wakazi katika mabano): Bagamoyo (230,164), Kibaha (132,045), Kisarawe (95,614), Mkuranga (187,428), Rufiji (203,102) na Mafia (40,801).
Mkoa huu una jumla ya majimbo ya uchaguzi yanayofikia (7) ambayo yanajumuisha Bagamoyo, Chalinze, Kibaha, Kisarawe, Mafia, Mkuranga na Rufiji.


Mkoa wa Tanga

WakaziMakabila makubwa mkoani Tanga ni Wasambaa, Wazigua, Wabondei na Wadigo. Wasambaa ndio kabila kubwa lililoko katika milimani ya Usambara, Muheza, Korogwe na Lushoto. Kwa jumla ndio asilimia 40 ya wakazi wote wa mkoa.


Hii hoja yako inadhihirisha jinsi udini ulivyoimalika maeneo hayo uliyoyataja, tatizo sio chadema bali ni wananchi wa maeneo hayo kukomazwa kwenye kasumba ya udini. Wananchi wa huko hawana tena uhuru wa kisiasa, wamegeuka watumwa wa ukoloni wa kidini, wanafundishwa kuwa na msimamo mmoja wa kisiasa na kuchukia watanzania wenzao wenye imani tofauti. Huko nyuma Mwl Nyerere alitufundisha kwamba watanzania tuwe huru kisiasa, kiutamaduni, kielimu, kidini nk. Enzi za mwalimu watanzania tulikuwa na uhuru wa kufanya maamuzi binafsi, mfano kwenye familia moja mama alikuwa anaweza kumpigia kura mbunge au diwani tofauti na chaguo la mme wake.
 
we nakushangaa sana. kigoma kutokuendelea siyo ccm ila ni udini wa nyerere, maeneo yote ambayo aliona kuna waislam hakuyaendeleza. Ivi we kwa akili zako Arusha pameendelea kwa kuwa kule hapakutawaliwa na ccm? acha propaganda za kitoto. Na kwa hilo ndio maana nimekuambia hatuchagui chama tunachagua mtu mwenye maslahi na sisi.
you sound like KALI.H.O.SE, pumba mwanzo mwisho
 
we nakushangaa sana. kigoma kutokuendelea siyo ccm ila ni udini wa nyerere, maeneo yote ambayo aliona kuna waislam hakuyaendeleza. Ivi we kwa akili zako Arusha pameendelea kwa kuwa kule hapakutawaliwa na ccm? acha propaganda za kitoto. Na kwa hilo ndio maana nimekuambia hatuchagui chama tunachagua mtu mwenye maslahi na sisi.
ushuzi
 
Back
Top Bottom