kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Serikali inawekwa na watu sasa iweje eti pawepo na nyaraka eti za serikali tena zenye mpango wa kuwahujumu wale tu walio wapenzi wa upinzani??
Hakuna nyaraka ya serikali kwa nchi inafuata democrasia ya kweli! huu ni ukoloni tu (Udikteta). Ikitokea cdm wakakamata uongozi wa nchi hii hakutakuwa na nyaraka tena za serikali kila kitu kitakuwa wazi kwa kila mwananchi na kwa yale mambo muhimu serikali ya cdm haiwezi kutoa maamuzi bila kuwauliza wananchi. Hiyo ndiyo serikali ya cdm itakavyokuwa. Wewe bakia na fikra zako mfu zenye mtazmo wa utawala wa kikoloni.
Ukwetu mtupu.