Dk. Slaa akamata nyaraka ya siri ya serikali

Serikali inawekwa na watu sasa iweje eti pawepo na nyaraka eti za serikali tena zenye mpango wa kuwahujumu wale tu walio wapenzi wa upinzani??
Hakuna nyaraka ya serikali kwa nchi inafuata democrasia ya kweli! huu ni ukoloni tu (Udikteta). Ikitokea cdm wakakamata uongozi wa nchi hii hakutakuwa na nyaraka tena za serikali kila kitu kitakuwa wazi kwa kila mwananchi na kwa yale mambo muhimu serikali ya cdm haiwezi kutoa maamuzi bila kuwauliza wananchi. Hiyo ndiyo serikali ya cdm itakavyokuwa. Wewe bakia na fikra zako mfu zenye mtazmo wa utawala wa kikoloni.

Ukwetu mtupu.
 
Yaani hapo umenena ndugu, kwanza yeye mwenyewe anajuta kuacha kugombea Ubunge, kwa sababu anazikosa posho. Hujachelewa mzee Slaa gombea tu 2015 ubunge maana uraisi huupati ng'oooo. Labda Zitto Kabwe sio wewe ambaye umejaa Ukatoliki na Uchaga na Ukanda. Tunataka aliyeshiba U-Tanzania.

Endelea tu kula hizo 5,000 zitokanazo na kodi zetu kila siku kwa kuandika pumba zako humu siku hiyo utatapikia nyuma na utanyea mdomo! noah mkubwa wewe!
 
Sheria ni msumeno.sasa kama ni msumeno kwa nini unakata upande mmoja?Mkuu wa mkoa/wilaya ni mtumishi wa umma kwa nini sifa za kuteuliwa kwake ni ukada wa chama?Kwa nini lecturers wa kiipendelea ccm wanaachwa waendelee na utumishi lakini wakipendelea upinzani wanasitishiwa mikataba yao? Hii haikubaliki tunapenda haki itendeke kwa wote.CCM itapata uchungu mkubwa sana watakapo kuwa nje ya ulingo wa uongozi kisha waonje taabu tunazopata wananchi tulio nje ya wateule. Naomba MUNGU anijaliee maisha marefu ili nishuudie watakapokuwa wanajuta.
 
Acha unafiki wa kiccm, waraka unakuwa siri pale unapokuwa hujamfikia mlengwa, mlengwa wa waraka akishaupokea na kuusoma sio siri tena ila kinachobaki ni utekelezaji. Sasa uwezi kufanya utekelezaji kimya kimya inabidi ushirikishe watu wengine ndo hapa waraka unasomwa kwa wale wanaotakiwa kutekeleza. so, hapo hakuna siri tena.

Pili na kushangaa unaposema tusikubali kwa watumishi wa serikali kuwa viongozi wa vyama, hivi hii ni kwa upinzani pekee yake? mbona kuna watumishi wengi wa serikali ni viongozi wa ccm? wapo ambaoni wenyeviti wa umoja wa vijana ccm , wenyeviti wa wilaya, wajumbe wa kamati za siasa za wilaya na mikoa. kwanini kwa upande wa upinzani wa zuiwe?

wewe ni miongoni mwa magamba ambao unaona wakiruhusiwa ccm haitakuwa na chake

Mfano hai, AMANI NYEKELE member wa jf ni mwenyekiti uvccm mkoa singida na ni mtumishi wa umma. JAKAYA MRISHO KIKWETE ni mwenyekiti wa ccm na ni mtumishi wa umma, kwa hiyo huo waraka ni batili, bom, kombora.......
 
Hawa ccm wajinga kweli, ukiwa mtumishi wa serikali halafu ni kiongozi wa ccm sawa. Ukiwa mtumishi wa serikali halafu ni shabiki tu wa upinzani si sawa, hivi hawajui kuwa mwisho wao unakuja?

Hivi ni vituko, mnafahamu kuna Mtumishi wa Serikali anafanya kazi Hazina, alikuwa Hazina ndogo Tanga, baadaye akajitosa kugombea Udiwani wa Kibamba kwa tiketi ya CCM aliposhinda tuu, ikaagizwa ahamishiwe Hazina ndogo Pwani ili awe karibu na wananchi wake Kibamba. Kwa hiyo huyu jamaa ni Mhasibu wa Hazina Ndogo Pwani wakati huohuo ni diwani wa Kibamba, anatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja na hili halina taabu maana yupo CCM. Ndiyo maana nawashangaa wanaodhani CCM ina nia nzuri na suala la Katiba mpya, hawa watu hatatoka madarakani kwa njia ya kura hata kama Watanzania woote hawawataki, nadhani zitafutwe njia mbadara.
 
Nchi hii tunacheza michezo ya hatari kweli. Hainiingii akilini kama tunaweza kuthubutu kushabikia kitendo cha mtu kuiba nyaraka ya serikali wenyewe tunasema 'akamata'. Kuiba nyaraka ya serikali ni jambo la hatari kwa uhai wa taifa lolote haijalishupi umefanywa na nani? Leo Dr. Slaa anaiba nyaraka ya Serikali na tunamshangilia.

Mbinu hii itatumika dhidi ya Serikali ya CHADEMA siku itakapojaaliwa kuingia madarakani. Mchezo huu ukiendelea, hakuna Serikali itakayotawala. Kitendo hiki kinadhoofisha Serikali na sio kitendo ch kushabikia hata kidogo, na ndio maana kuna sheria ya bunge dhidi ya kitendo hicho. Bahati nzuri Serikali yenyewe in huruma huruma hivi.

Lakini la pili ni kuwa, tunataka sasa kuhalalisha ushiriki wa watumishi wa umma kwenye siasa. Hii ni hatari nyingine. Kitendo cha kunajisi utumishi wa umma na siasa, aidha kusaidia Chama Tawala au Chama cha Upinzani ni kitendo cha hatari na kukemea. Watumishi wa umma wakifanya kazi kisiasa hakuna maendeleo yatakayopatikana na hatari ya hujuma aidha dhidi ya wapinzani au serikali inaweza kuwa kitu cha kawaida.

Sioni tatizo lolote kuhusu Waraka huo wa kukataza watumishi wa umma kutoshiriki shughuli za siasa. Waraka haukatazi mtumishi wa umma kuwa mwanachama, kinachokatazwa ni kuwa kiongozi wa chama au kufanya shughuli za chama cha siasa mahala pa kazi. Waraka huu unawasaidia pia CHADEMA kuliko tunavyotaka kuaminishwa.

Watumishi wa Umma wakiamua kutumika dhidi ya CHADEMA ustawi wa Chama hicho utakuwa mashakani. Inawezekana walioko kwenye utumishi wa umma wakawa CCM wengi kuliko CHADEMA kama ambavyo inawezekana pia wakawa CHADEMA wengi kuliko CCM. Lengo la Waraka huu ni kulinda maslahi ya umma wote na haki yao ya kupata haki na huduma kutoka katika utumishi wa umma bila kujali itikadi.

Pengine nielezwe humu ni nchi gani na wapi ambapo utumishi wa umma wanaruhusiwa kujihusisha na siasa za vyama mahala na wakati wa kazi? Kwa nini sisi tuwe wa kwanza?

Tusikubali kutumiwa kuhalalisha mbinu haramu kwa sababu tu ya kutaka kufikia maslahi yetu ya kisiasa. CHADEMA wakumbuke, mbinu hizo hizo zitatumika dhidi yao wakiwa madarakani.

Wapi wewe? Kwani hao magamba kwenye vyeo vya mashirika na taasisi zingine si makada wa CCm? Wengine si wajumbe wa NEC au unajifanya hujui?
 
Nchi hii tunacheza michezo ya hatari kweli. Hainiingii akilini kama tunaweza kuthubutu kushabikia kitendo cha mtu kuiba nyaraka ya serikali wenyewe tunasema 'akamata'. Kuiba nyaraka ya serikali ni jambo la hatari kwa uhai wa taifa lolote haijalishupi umefanywa na nani? Leo Dr. Slaa anaiba nyaraka ya Serikali na tunamshangilia.
Sasa wewe ndugu, Serikali imesema imeibiwa? kama haijasema imeibiwa, kwa nini unasema wewe kwamba nyaraka imeibiwa?
na kama imeibiwa............serikali legelege inashindwa kumfungulia mwizi mashtaka kwa mujibu wa sheria?

Kula yai lililo chemshwa ni ............, lakini kenge akila yai lililochemshwa..................!!!
 
Ha kumbe kweli, last 2 wks, DED wa wilaya fulani mkoani Tanga alipigiwa simu na afisa usalama wa taifa kumuuliza ni wapi alipo mtumishi fulani, DED alimjibu yuko nje kwa ruhusa ya kumuuguza mama yake.

Yule jamaa wa usalama wa taifa akamwambia kwa taarifa yako mtumisi wako anahudhuria mkutano wa chama cha upinzani sehemu fulani na kumuacha ded mdomo wazi.

Kesho yake ded akachimba mkwara wa nguvu kwenye kikao cha watu mishi wake. Hi tabia inajaribu kufifisha uhuru wa watu kikatiba, na hawajui wanafunika moto kwa matakataka.

Hv wanajua uchaguzi wa serikali za vijiji zilizofanyika Ukwega moja kati ya vijiji v4 cdm ilivyoshinda na ccm kuambulia kijiji kimoja tu ni dalili kuwa hata wakiwazuia na kufuatilia watu, bado mihuri ya mabadiliko itabaki mioyoni mwa watu?
 
Nchi hii tunacheza michezo ya hatari kweli. Hainiingii akilini kama tunaweza kuthubutu kushabikia kitendo cha mtu kuiba nyaraka ya serikali wenyewe tunasema 'akamata'. Kuiba nyaraka ya serikali ni jambo la hatari kwa uhai wa taifa lolote haijalishupi umefanywa na nani? Leo Dr. Slaa anaiba nyaraka ya Serikali na tunamshangilia.

Mbinu hii itatumika dhidi ya Serikali ya CHADEMA siku itakapojaaliwa kuingia madarakani. Mchezo huu ukiendelea, hakuna Serikali itakayotawala. Kitendo hiki kinadhoofisha Serikali na sio kitendo ch kushabikia hata kidogo, na ndio maana kuna sheria ya bunge dhidi ya kitendo hicho. Bahati nzuri Serikali yenyewe in huruma huruma hivi.

Lakini la pili ni kuwa, tunataka sasa kuhalalisha ushiriki wa watumishi wa umma kwenye siasa. Hii ni hatari nyingine. Kitendo cha kunajisi utumishi wa umma na siasa, aidha kusaidia Chama Tawala au Chama cha Upinzani ni kitendo cha hatari na kukemea. Watumishi wa umma wakifanya kazi kisiasa hakuna maendeleo yatakayopatikana na hatari ya hujuma aidha dhidi ya wapinzani au serikali inaweza kuwa kitu cha kawaida.

Sioni tatizo lolote kuhusu Waraka huo wa kukataza watumishi wa umma kutoshiriki shughuli za siasa. Waraka haukatazi mtumishi wa umma kuwa mwanachama, kinachokatazwa ni kuwa kiongozi wa chama au kufanya shughuli za chama cha siasa mahala pa kazi. Waraka huu unawasaidia pia CHADEMA kuliko tunavyotaka kuaminishwa.

Watumishi wa Umma wakiamua kutumika dhidi ya CHADEMA ustawi wa Chama hicho utakuwa mashakani. Inawezekana walioko kwenye utumishi wa umma wakawa CCM wengi kuliko CHADEMA kama ambavyo inawezekana pia wakawa CHADEMA wengi kuliko CCM. Lengo la Waraka huu ni kulinda maslahi ya umma wote na haki yao ya kupata haki na huduma kutoka katika utumishi wa umma bila kujali itikadi.

Pengine nielezwe humu ni nchi gani na wapi ambapo utumishi wa umma wanaruhusiwa kujihusisha na siasa za vyama mahala na wakati wa kazi? Kwa nini sisi tuwe wa kwanza?

Tusikubali kutumiwa kuhalalisha mbinu haramu kwa sababu tu ya kutaka kufikia maslahi yetu ya kisiasa. CHADEMA wakumbuke, mbinu hizo hizo zitatumika dhidi yao wakiwa madarakani.

Kuiba nyaraka za Serikali siyo kitu kizuri, lakini ikiwa ni kwa maslahi ya Taifa haina tatizo hebu fikiria bila wizi wa nyara za Serikali leo hii fedha za EPA zingekuwa zinarudishwa?? Bila wizi wa nyaraka za Serikali leo hii Lowassa angekaa pembeni? Leo hii Rostam, Kalamaghi na watu kama hao wangekuwa wapo wapi?? Hata kama una maslahi ni bora ukae kimya kuliko kukaa unalinda ugonjwa mkubwa uliolipata taifa letu?
 
Upuuuzi tu,mimi nikajua nyaraka ya maana kumbe ni ngojera ya Tanzania daima na dr slaa tu! Mbona inajulikana wazi watumishi hawaruhusiwi kujiingiza kwenye siasa! Kufirisika kisiasa ni kubaya sana! Padre Slaa kajipange upya naona huna jipya

Naungana na wewe.

Hata ukipitia CV ya Padre Dr Slaa utaona kabisa wala hafai kuwa rais wa nchi kama Tanzania. yeye alifa zaidi kuwa PAPA wa wakatoliki. Na Cv yake inamsapoti kwa hilo.

 
Nchi hii tunacheza michezo ya hatari kweli. Hainiingii akilini kama tunaweza kuthubutu kushabikia kitendo cha mtu kuiba nyaraka ya serikali wenyewe tunasema 'akamata'. Kuiba nyaraka ya serikali ni jambo la hatari kwa uhai wa taifa lolote haijalishupi umefanywa na nani? Leo Dr. Slaa anaiba nyaraka ya Serikali na tunamshangilia.

Mbinu hii itatumika dhidi ya Serikali ya CHADEMA siku itakapojaaliwa kuingia madarakani. Mchezo huu ukiendelea, hakuna Serikali itakayotawala. Kitendo hiki kinadhoofisha Serikali na sio kitendo ch kushabikia hata kidogo, na ndio maana kuna sheria ya bunge dhidi ya kitendo hicho. Bahati nzuri Serikali yenyewe in huruma huruma hivi.

Lakini la pili ni kuwa, tunataka sasa kuhalalisha ushiriki wa watumishi wa umma kwenye siasa. Hii ni hatari nyingine. Kitendo cha kunajisi utumishi wa umma na siasa, aidha kusaidia Chama Tawala au Chama cha Upinzani ni kitendo cha hatari na kukemea. Watumishi wa umma wakifanya kazi kisiasa hakuna maendeleo yatakayopatikana na hatari ya hujuma aidha dhidi ya wapinzani au serikali inaweza kuwa kitu cha kawaida.

Sioni tatizo lolote kuhusu Waraka huo wa kukataza watumishi wa umma kutoshiriki shughuli za siasa. Waraka haukatazi mtumishi wa umma kuwa mwanachama, kinachokatazwa ni kuwa kiongozi wa chama au kufanya shughuli za chama cha siasa mahala pa kazi. Waraka huu unawasaidia pia CHADEMA kuliko tunavyotaka kuaminishwa.

Watumishi wa Umma wakiamua kutumika dhidi ya CHADEMA ustawi wa Chama hicho utakuwa mashakani. Inawezekana walioko kwenye utumishi wa umma wakawa CCM wengi kuliko CHADEMA kama ambavyo inawezekana pia wakawa CHADEMA wengi kuliko CCM. Lengo la Waraka huu ni kulinda maslahi ya umma wote na haki yao ya kupata haki na huduma kutoka katika utumishi wa umma bila kujali itikadi.

Pengine nielezwe humu ni nchi gani na wapi ambapo utumishi wa umma wanaruhusiwa kujihusisha na siasa za vyama mahala na wakati wa kazi? Kwa nini sisi tuwe wa kwanza?

Tusikubali kutumiwa kuhalalisha mbinu haramu kwa sababu tu ya kutaka kufikia maslahi yetu ya kisiasa. CHADEMA wakumbuke, mbinu hizo hizo zitatumika dhidi yao wakiwa madarakani.

Hoja tete,zingekuwa ni nyaraka za kujenga nchi no body i mean no body angejishughulisha na kuizungumzia hata kuitafuta na kuiweka hadharani,lakini CCM imekuwa ikitumia ujasusi katika kuongoza nchi na kuifilisi,kwa maana hiyo hatuta sita kuzitafuta mbinu na mipango mibivu ya chama chako,tutaendelea kupambana ili watoto wetu wasije baki na magofu kwani watatuuliza mlifanya nini.

Swala / mawazo hayo uliyonayo kwanza kaanze kuyazungumzia ndani yua viongozi wenzako,ili msithubutu kuendeleza mipango michafu ndani ya mipaka ya nchi yetu.

Tena nakwambia hata kama Dr Slaa hatasema kunguru wa Zanzbar watakuja kutueleza uchafu wenu.You need to Stop,mwaka huu si wakubembelezana tena ni mwaka wa vitendo na uwajibikaji.
 
Yaani hapo umenena ndugu, kwanza yeye mwenyewe anajuta kuacha kugombea Ubunge, kwa sababu anazikosa posho. Hujachelewa mzee Slaa gombea tu 2015 ubunge maana uraisi huupati ng'oooo. Labda Zitto Kabwe sio wewe ambaye umejaa Ukatoliki na Uchaga na Ukanda. Tunataka aliyeshiba U-Tanzania.
Umejuaje kama anajuta uliwahi kumhoji?
Umejuaje kama amejaa hizo sifa ulizombambikia?
Je tutajuaje kama mtu/kiongozi fulani amejaa udini/ukanda/ukabila?
 
Nchi hii tunacheza michezo ya hatari kweli. Hainiingii akilini kama tunaweza kuthubutu kushabikia kitendo cha mtu kuiba nyaraka ya serikali wenyewe tunasema 'akamata'. Kuiba nyaraka ya serikali ni jambo la hatari kwa uhai wa taifa lolote haijalishupi umefanywa na nani? Leo Dr. Slaa anaiba nyaraka ya Serikali na tunamshangilia.

Mbinu hii itatumika dhidi ya Serikali ya CHADEMA siku itakapojaaliwa kuingia madarakani. Mchezo huu ukiendelea, hakuna Serikali itakayotawala. Kitendo hiki kinadhoofisha Serikali na sio kitendo ch kushabikia hata kidogo, na ndio maana kuna sheria ya bunge dhidi ya kitendo hicho. Bahati nzuri Serikali yenyewe in huruma huruma hivi.

Lakini la pili ni kuwa, tunataka sasa kuhalalisha ushiriki wa watumishi wa umma kwenye siasa. Hii ni hatari nyingine. Kitendo cha kunajisi utumishi wa umma na siasa, aidha kusaidia Chama Tawala au Chama cha Upinzani ni kitendo cha hatari na kukemea. Watumishi wa umma wakifanya kazi kisiasa hakuna maendeleo yatakayopatikana na hatari ya hujuma aidha dhidi ya wapinzani au serikali inaweza kuwa kitu cha kawaida.

Sioni tatizo lolote kuhusu Waraka huo wa kukataza watumishi wa umma kutoshiriki shughuli za siasa. Waraka haukatazi mtumishi wa umma kuwa mwanachama, kinachokatazwa ni kuwa kiongozi wa chama au kufanya shughuli za chama cha siasa mahala pa kazi. Waraka huu unawasaidia pia CHADEMA kuliko tunavyotaka kuaminishwa.

Watumishi wa Umma wakiamua kutumika dhidi ya CHADEMA ustawi wa Chama hicho utakuwa mashakani. Inawezekana walioko kwenye utumishi wa umma wakawa CCM wengi kuliko CHADEMA kama ambavyo inawezekana pia wakawa CHADEMA wengi kuliko CCM. Lengo la Waraka huu ni kulinda maslahi ya umma wote na haki yao ya kupata haki na huduma kutoka katika utumishi wa umma bila kujali itikadi.

Pengine nielezwe humu ni nchi gani na wapi ambapo utumishi wa umma wanaruhusiwa kujihusisha na siasa za vyama mahala na wakati wa kazi? Kwa nini sisi tuwe wa kwanza?

Tusikubali kutumiwa kuhalalisha mbinu haramu kwa sababu tu ya kutaka kufikia maslahi yetu ya kisiasa. CHADEMA wakumbuke, mbinu hizo hizo zitatumika dhidi yao wakiwa madarakani.

Baba uovu huo wa kutumia itikadi za chama kama kigezo cha kupata kazi kupanda cheo nk umeanza kuvisikia leo? mzee acha kujificha nyuma ya shina la mchicha jambo hili lipo tangu enzi za chama kimoja any way naamini waraka huo ungetokea chadema ungeupinga vibaya mno pia inaonyesha wazi kuwa hukusoma vizuri maelezo ya mleta mada rudia tena kusoma majibu mengi ya maswali yako yapo huko mf kuwataka waorodheshe idadi ya watumishi wanaounga mkono upinzani nafasi zao kazini yaani vyeo nk na si kufanya siasa maeneo ya kazi kama unavyotaka kututafsiria
 
Nchi hii tunacheza michezo ya hatari kweli. Hainiingii akilini kama tunaweza kuthubutu kushabikia kitendo cha mtu kuiba nyaraka ya serikali wenyewe tunasema 'akamata'. Kuiba nyaraka ya serikali ni jambo la hatari kwa uhai wa taifa lolote haijalishupi umefanywa na nani? Leo Dr. Slaa anaiba nyaraka ya Serikali na tunamshangilia.

Mbinu hii itatumika dhidi ya Serikali ya CHADEMA siku itakapojaaliwa kuingia madarakani. Mchezo huu ukiendelea, hakuna Serikali itakayotawala. Kitendo hiki kinadhoofisha Serikali na sio kitendo ch kushabikia hata kidogo, na ndio maana kuna sheria ya bunge dhidi ya kitendo hicho. Bahati nzuri Serikali yenyewe in huruma huruma hivi.

Lakini la pili ni kuwa, tunataka sasa kuhalalisha ushiriki wa watumishi wa umma kwenye siasa. Hii ni hatari nyingine. Kitendo cha kunajisi utumishi wa umma na siasa, aidha kusaidia Chama Tawala au Chama cha Upinzani ni kitendo cha hatari na kukemea. Watumishi wa umma wakifanya kazi kisiasa hakuna maendeleo yatakayopatikana na hatari ya hujuma aidha dhidi ya wapinzani au serikali inaweza kuwa kitu cha kawaida.

Sioni tatizo lolote kuhusu Waraka huo wa kukataza watumishi wa umma kutoshiriki shughuli za siasa. Waraka haukatazi mtumishi wa umma kuwa mwanachama, kinachokatazwa ni kuwa kiongozi wa chama au kufanya shughuli za chama cha siasa mahala pa kazi. Waraka huu unawasaidia pia CHADEMA kuliko tunavyotaka kuaminishwa.

Watumishi wa Umma wakiamua kutumika dhidi ya CHADEMA ustawi wa Chama hicho utakuwa mashakani. Inawezekana walioko kwenye utumishi wa umma wakawa CCM wengi kuliko CHADEMA kama ambavyo inawezekana pia wakawa CHADEMA wengi kuliko CCM. Lengo la Waraka huu ni kulinda maslahi ya umma wote na haki yao ya kupata haki na huduma kutoka katika utumishi wa umma bila kujali itikadi.

Pengine nielezwe humu ni nchi gani na wapi ambapo utumishi wa umma wanaruhusiwa kujihusisha na siasa za vyama mahala na wakati wa kazi? Kwa nini sisi tuwe wa kwanza?

Tusikubali kutumiwa kuhalalisha mbinu haramu kwa sababu tu ya kutaka kufikia maslahi yetu ya kisiasa. CHADEMA wakumbuke, mbinu hizo hizo zitatumika dhidi yao wakiwa madarakani.

Waraka wowote wa serikali wenye lengo la kulinda maslahi ya umma wa watanzania utalindwa kwa nguvu zote.

Lakini waraka wowote wenye lengo la kuhujumu demokrasia na uhuru wa watu, tena uhuru wenyewe wa kikatiba haustahili kamwe kushabikiwa na mtu mwenye mapenzi mema na nchi hii, kwani waraka wowote wa aina hiyo unakuwa unakwenda kinyume cha katiba.

Kama ccm wanaona hawawezi kuvumilia kuilinda katiba iliyopo japo mbovu lakini ina mazuri yake, basi wapeleke muswada bungeni kuvifuta vyama vya upinzani ili wabaki wao wenyewe.

Kusambaza waraka mikoani kutaka kuwatambua watumishi wa umma wanaoviunga mkono vyma vya upinzanbi ni dalili za wazi za kushindwa kwa serikali ya ccm kuwahudumia wananchi, na ni dalili za wazi za ccm kushindwa kuwashawishi watu kwamba ni chama cha kutumainiwa na wananchi. Hata wakiandika majina yao, wanaweza kurudisha kadi za vyama vya upinzani ili kunusuru ajira zao lakini ccm na serikali yake watambue kwamba hawawezi kuifuta chadema na vyama vingine vya upinzani kwenye mioyo ya watumishi hao!!
 
Jiifunzeni kutokana na Historia. Nadhani kama kumbukumbu zangu ziko sawa, mwaka 1995 au uchaguzi wa 2000 kwa Zanzibar. Nadhani watumishi wengi upande wa visiwani walibanwa sana hasa wale walioonejana wanashabikia CUF.

Malalamiko hata ya kuhamishwa, kutopandishwa vyeo yalikuwa ni mengi kwa wafanyakazi wa umma waliokuwa wanatokea Pemba au wanashabikia CUF. Kama waraka huo upo, bila shaka hii itakuwa version nyingine ya kudumaza demokrasia.
 
serekali ya ccm iko hoi.mpaka inawaogopa watumishi wake.....zile kura mil5 zilikuwa za kina nani mpaka hamna watu wa kuwatetea ,,mpaka kutumia vitisho
 
Naungana na wewe.

Hata ukipitia CV ya Padre Dr Slaa utaona kabisa wala hafai kuwa rais wa nchi kama Tanzania. yeye alifa zaidi kuwa PAPA wa wakatoliki. Na Cv yake inamsapoti kwa hilo.

Wewe unayejua asiyefaa bila shaka unamjua/wajua wanaofaa...ni kina nani hao na wamefanya nini kwa taifa hili? Wapi wamepigania/tetea wanyonge na maskini wa taifa hili? Hebu waorodheshe hapa hao wanaofaa na sifa zao.
 
Back
Top Bottom