Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,884
- 32,282
Ritz, hapo kwenye rangi nyekundu ulitaka kusema nini? au ndio matatizo yako ya uelewa mdogo? Hata hivyo usipate shida sana kwani kama cheo tayari ninacho, kwa vile situmii jina langu halisi hutafahamu. Vumilia uchungu ndugu yangu, wenzio pamoja na kuwa na vyeo ndani ya serikali ya magamba hatupo tayari kabisa kuwaunga mkono mafisadi.
Hata mie hunijui usipate shida sana...kwa hiyo nyie ndio mnamuangusha JK mnauza wanyama wetu nje ya nchi.