Wewe kweli osokoni Mbowe anavyompa JK mkono au siku ile Chadema walivyokwenda Ikulu wote walikuwa wanampa mkono JK walikuwa wanashukuru nini? Vipi zile kontena zipo wapi?
Dr Slaa ebu wataje hao vigogo tuwajue sio tu kusema unazo nyaraka za siri Dr Slaa, ulishawai kutuambia kuwa kuna umekamata kontena mbili umezikamata Tunduma zimejaa karatasi za kupigia kura kutoka China zilipolikuja kufunguliwa na polisi mbele ya viongozi wa Chadema wakakuta vipodozi Dr Slaa akawakimbia waandishi wa habari...tumeishakuzoea.
Ritz, wakati mwingine napata shida sana kuhusu uwezo wako duni wa kufikiri na kutafakari mambo. Hivi, yale majina ya mafisadi yaliyotajwa na Dr. Slaa pale Mwembe yanga, wewe na chama chako cha mafisadi mlichukua hatua gani dhidi yao zaidi ya kuanzisha ule wimbo wenu wa kipumbavu wa kujivua gamba?Dr Slaa ebu wataje hao vigogo tuwajue sio tu kusema unazo nyaraka za siri Dr Slaa, ulishawai kutuambia kuwa kuna umekamata kontena mbili umezikamata Tunduma zimejaa karatasi za kupigia kura kutoka China zilipolikuja kufunguliwa na polisi mbele ya viongozi wa Chadema wakakuta vipodozi Dr Slaa akawakimbia waandishi wa habari...tumeishakuzoea.
ndizo zilizoliangusha baraza zima la mawaziri la dhaifu mwaka 2008,ndizo zilimtaja dhaifu ni mmoja katika list ya mafisadi wakubwa wa nchi hii na sasa hivi mzimu unamzunguka hadi anashindwa kukaa ikuluHuyu mzee amekosa mwelekeo, yeye kila siku ni document za siri.
Hivi thamani ya pembe (sijui meno) ya Fru ni shilingi ngapi? Na huwa kwa Faru mkubwa hiyo pembe huwa inakuwa na uzito gani? Msaada kujua tafadhali.
Dr Slaa ebu wataje hao vigogo tuwajue sio tu kusema unazo nyaraka za siri Dr Slaa, ulishawai kutuambia kuwa kuna umekamata kontena mbili umezikamata Tunduma zimejaa karatasi za kupigia kura kutoka China zilipolikuja kufunguliwa na polisi mbele ya viongozi wa Chadema wakakuta vipodozi Dr Slaa akawakimbia waandishi wa habari...tumeishakuzoea.
Hata sikuelewi ulikuwa unataka kusemaje.Mie nimeulizia yale makontena ya karatasi za kupigia kura wewe umekuja na porojo zingine.Ritz, wakati mwingine napata shida sana kuhusu uwezo wako duni wa kufikiri na kutafakari mambo. Hivi, yale majina ya mafisadi yaliyotajwa na Dr. Slaa pale Mwembe yanga, wewe na chama chako cha mafisadi mlichukua hatua gani dhidi yao zaidi ya kuanzisha ule wimbo wenu wa kipumbavu wa kujivua gamba?
Siku aliposema bungeni kuhusu EPA kwa mara ya kwanza sikuamini, nilidhani Dr. Slaa anafanyia kazi porojo za kwenye mtandao(Internet) kiasi kwamba nikaona sasa Dr. watamfunga.Wakati fulani alipata kusema kuwa yeye si mtu wa kukurupuka. Akitoa 'bomu' ujue lina ukweli 100%.
Dr Slaa ebu wataje hao vigogo tuwajue sio tu kusema unazo nyaraka za siri Dr Slaa, ulishawai kutuambia kuwa kuna umekamata kontena mbili umezikamata Tunduma zimejaa karatasi za kupigia kura kutoka China zilipolikuja kufunguliwa na polisi mbele ya viongozi wa Chadema wakakuta vipodozi Dr Slaa akawakimbia waandishi wa habari...tumeishakuzoea.
Hata sikuelewi ulikuwa unataka kusemaje.Mie nimeulizia yale makontena ya karatasi za kupigia kura wewe umekuja na porojo zingine.
Nivigumu kunielewa kwa sababu uwezo wako wa kufikiri na kuelewa ni mdogo sana, la si hivyo usingekuwa una shinda hapa jamvini ukiwatetea mafisadi kwa utetezi duni sana.Hata sikuelewi ulikuwa unataka kusemaje.Mie nimeulizia yale makontena ya karatasi za kupigia kura wewe umekuja na porojo zingine.
Nivigumu kunielewa kwa sababu uwezo wako wa kufikiri na kuelewa ni mdogo sana, la si hivyo usingekuwa una shinda hapa jamvini ukiwatetea mafisadi kwa utetezi duni sana.
tatizo hapa ni kua serikali na viongozi hawajali pigeni makelele ongeeni kwenye majukwaani...mwisho wa siku wao ndio wanaenda benki kuingizia dola million 20 kwenye account yake wakati nyie mnapigwa na jua kulalamika
Wale waliotajwa mwembe yanga mliwafanyia nini?Dr Slaa ebu wataje hao vigogo tuwajue sio tu kusema unazo nyaraka za siri Dr Slaa, ulishawai kutuambia kuwa kuna umekamata kontena mbili umezikamata Tunduma zimejaa karatasi za kupigia kura kutoka China zilipolikuja kufunguliwa na polisi mbele ya viongozi wa Chadema wakakuta vipodozi Dr Slaa akawakimbia waandishi wa habari...tumeishakuzoea.
Ritz, hapo kwenye rangi nyekundu ulitaka kusema nini? au ndio matatizo yako ya uelewa mdogo? Hata hivyo usipate shida sana kwani kama cheo tayari ninacho, kwa vile situmii jina langu halisi hutafahamu. Vumilia uchungu ndugu yangu, wenzio pamoja na kuwa na vyeo ndani ya serikali ya magamba hatupo tayari kabisa kuwaunga mkono mafisadi.Na nyie Pro-Chadema JF mnaokesha jamvini kumtetea Dr Slaa achukuwe madaraka hawape vyeo.